Ezekiely Charlese
Member
- Dec 19, 2013
- 74
- 13
RIP hawa watoto mungu azilaze mahala pema peponi
Wadau nimepita hapa Singida nikitokea Arusha nimekutana na basi la Abiria mali ya kampuni ya Mtei. Chanzo ni kwamba gari hilo limemgonga bodaboda aliyekuwa amebeba watoto wawili waliofikwa na mauti.Hakika inasikitisha sana kwa upande wa wafiwa na kwa kuchomwa basi hili kwani mabegi na mali za abiria zilizokuwamo ndani ya gari vyote vimeteketezwa.
Haya mabasi ya mtei si yanamilikiwa na mzee mtea ambaye anamiliki pia chama cha chadema? Au....
Mtei huyuhuyu anaemiliki chama cha siasa?
Acha kujifanya unajua wewe sio kila kitu lazima ujifanye na wewe upo mtei ni ukoo mkubwa sana na umegawanyika edwin mtei wa cdm hahusiki na hii kampuni wala hana shea.
Ndo huyo bwana unatoka povu la nini! Ndo huyo alokuwa gavana wa bank kuu wa kwanza tz/ cjui waziri wa mshiko tz
Mwenye mabasi keshatangulia mbele ya haki yanasimamiwa na vijana wake na mja alifariki mwaka jana.
Polen wafiwa,polen abilia mlioalibikiwa na mali zenu!!nafikil ingekuwa busara zaidi kama wangemwazibu dereva.
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
duu hii kali sasa gari linachomwa dreva anaachwa duu..
Mungu akusamehe maana mwenye mabasi yuko hai; anashirikiana na watoto wake anaishi kijiji cha Kiranyi, barabara ya silent inn, juu kidogo ya tank la maji.