Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Basi la Kampuni ya Abood Bus Service linalofanya safari zake kati ya Dar es salaam kwenda Morogoro, limepata ajali ya kugongana na gari dogo aina ya Toyota Raum Jana maeneo ya Mikese mkoani Morogoro.
Taarifa zinasema hakuna vifo na abiria walioko kwenye basi wametoka salama pamoja na dereva wa gari dogo kupata majeraha madogo.
Chanzo cha ajali hiyo ni dereva wa basi la Abood Bus Service, kuovertake gari iliyokuwa mbele yake bila kuangalia usalama, hivyo kusababisha kugongana uso kwa uso na gari dogo.
Taarifa zinasema hakuna vifo na abiria walioko kwenye basi wametoka salama pamoja na dereva wa gari dogo kupata majeraha madogo.
Chanzo cha ajali hiyo ni dereva wa basi la Abood Bus Service, kuovertake gari iliyokuwa mbele yake bila kuangalia usalama, hivyo kusababisha kugongana uso kwa uso na gari dogo.