napenda
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 485
- 91
- Thread starter
- #41
Naona mmeamua kumdanganya....Mwanza Mbeya basi mi moja tu SUPERSHEM;Mbeya express na Isamilo wamewahi ibia mara mbili tu...nauli ni 51000 hadi 55000....kuingia Mbeya ni kuanzia saa saba kama hakuna police njiani.....NIMEINGIA MWANZA JUMAMOS ILIYOPITA NIMEFIKA SAA KUMI ALFAJIRI...NMIMEINGIA MBEYA LEO KUTOKA MWANZA SAA TISA NA ROBO.....kwa usalama wa viungo vyako kama makalio na miguu PANDA GARI YA DODOMA lala hapo;kesho yake PANDA GARI YA MBEYA....la sivyo itaichukia Mbeya au mwanza kabla hata hujafika Mbeya...na utamtukana sana dereva ila SUPERSHEM sio gari ni guta utafika umenyooka.OVER
Ulipanda gari gani mkuu?