Basi gani zuri la Mwanza - Mbeya?

Basi gani zuri la Mwanza - Mbeya?

napenda

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2015
Posts
485
Reaction score
91
Nataka kusafiri wiki ijayo kutoka Mwanza kwenda Mbeya, napenda mnisaidie basi gani zuri na lenye bei ya kati au nafuu.

Pia unijuze linafika Mbeya saa ngapi?

Natanguliza shukrani.
 
Naona watu wa mbeya na wamiliki wa mabasi hawapiti huku,
 
Panda NBS mpaka Mpanda. Mpanda utalala. Alfajiri unaondoka na Mbeya Express.
 
Nataka kusafiri wiki ijayo kutoka mwanza kwenda mbeya, napenda mnisaidie basigani zuri na lenye bei ya kati au nafuu, pia unijuze linafika mbeya saa ngapi, natanguliza shukrani

Ndenjela, new force, rungwe hayo yako poa
 
hanuana basi linalotoka mwamza mbeya lazima uunge tu aidha ufike dodoma au moro au dsm . mabasi mazuri ni ndenjela Rungwe , New force , JM na zingine lakini kwa kiasi kikubwa mabasi ya mbeya dar ni mazuri na ni masaa 11 au kumi na mbili unafika mbeya kutoka dsm nauli ni 350000 hadi 40000
 
hanuana basi linalotoka mwamza mbeya lazima uunge tu aidha ufike dodoma au moro au dsm . mabasi mazuri ni ndenjela Rungwe , New force , JM na zingine lakini kwa kiasi kikubwa mabasi ya mbeya dar ni mazuri na ni masaa 11 au kumi na mbili unafika mbeya kutoka dsm nauli ni 350000 hadi 40000
Usisemee usichokijua.Mza-Mby kunamabasi kama matatu hivi, Kuna Super Shem,Mbeya Express,Summry na Mara chache linakuwepo Upendo bus. Gari ambayo kila siku ipo toka Mza-Mby na Mby-Mza ni Super Shem.
Safari njema usikose kutembelea Mwanjelwa ni Kariakoo ya Mbeya.
 
super shem ila anazo aina mbili zhongtong Caesar na za kawaida mbeya saa sita hivi unaingia. kwa maelezo zaidi tembelea page moja FB inaitwa WASAFIRI TANZANIA utapata info zote. na picha za hizo basi.
 
Ulizia sn namna ya kusadiri lkn ukifika mbeya ni pm
 
hanuana basi linalotoka mwamza mbeya lazima uunge tu aidha ufike dodoma au moro au dsm . mabasi mazuri ni ndenjela Rungwe , New force , JM na zingine lakini kwa kiasi kikubwa mabasi ya mbeya dar ni mazuri na ni masaa 11 au kumi na mbili unafika mbeya kutoka dsm nauli ni 350000 hadi 40000
Mabasi yapo siku hizi yanapita barabara ya Dodoma -iringa bahati mbaya sikumbuki majina sababu si kuwa na interest nayo nilipoyaona Mbeya.
 
Back
Top Bottom