Basi gani zuri la Mwanza - Mbeya?

Basi gani zuri la Mwanza - Mbeya?

Na kwa mwendo wa sahivi wa tochi ni lazima upige magoti kwenye gari, safari ya masaa 6 sahivi ni masaa 10
Hii sekta watawala wamefail sana,juzi nikitoka Arusha nimemtumia muda wa zaidi ya saa 3 kutoka Chalinze kuingia Dsm licha ya kwamba hakukuwepo foleni.

Kama CCM itashinswa uchaguzi,uongozi ujao watatue na kumaliza kero hizi za barabarani. Mfano nilijiuliza kwa nini vijiji na umachinga unafanywa kan dit
 
super sami,super shem na isamilo,nilipanda wakati fulani ila nikaapa kuwa sitapanda tena safari ya moja kwa moja,heri ulale dodoma then siku ya pili mbeya unaingia saa tisa jioni
hizo gari ni za kampuni moja kwa hiyowana tabia ya kwamba gari ya mbeya ikifika iringa inaisubiri ile inayoishia iringa then abiria wa mbeya wote wanashuka wanajaa kwny hyo ya mbeya,hapo usiku sasatrafik hakuna kwa hiyo mnajazana ka kuku hivi na wafanyakazi wake ni wababe mnoooooo
nauli ni 50,000/=,
Nakushsuri ujempaka dodoma then siku ya pili fika mbeya.
 
super sami,super shem na isamilo,nilipanda wakati fulani ila nikaapa kuwa sitapanda tena safari ya moja kwa moja,heri ulale dodoma then siku ya pili mbeya unaingia saa tisa jioni
hizo gari ni za kampuni moja kwa hiyowana tabia ya kwamba gari ya mbeya ikifika iringa inaisubiri ile inayoishia iringa then abiria wa mbeya wote wanashuka wanajaa kwny hyo ya mbeya,hapo usiku sasatrafik hakuna kwa hiyo mnajazana ka kuku hivi na wafanyakazi wake ni wababe mnoooooo
nauli ni 50,000/=,
Nakushsuri ujempaka dodoma then siku ya pili fika mbeya.

Inafika Saa ngapi iringa?
 
Inafika Saa ngapi iringa?
Mwanza-Iringa via Mtera mnaingia saa moja jioni. Na mbeya mnaingia saba kasoro robo- hiyo ni stendi ya zamani. Kama kweli unataka kusafiri na hauna uhakika wa wapi ufikie kwa maana ya hotel/guest house tuwasiliana. Dodoma, Mtera, Migoli, Iringa, Ifunda, Mafinga, Makambako, Uyole, Mbeya, Mbozi na Border ya wajanja pale Tunduma. Karibu.
 
Mwanza-Iringa via Mtera mnaingia saa moja jioni. Na mbeya mnaingia saba kasoro robo- hiyo ni stendi ya zamani. Kama kweli unataka kusafiri na hauna uhakika wa wapi ufikie kwa maana ya hotel/guest house tuwasiliana. Dodoma, Mtera, Migoli, Iringa, Ifunda, Mafinga, Makambako, Uyole, Mbeya, Mbozi na Border ya wajanja pale Tunduma. Karibu.

Daaah, kumbe nikomee iringa nilale kesho yake niendelee
 
hanuana basi linalotoka mwamza mbeya lazima uunge tu aidha ufike dodoma au moro au dsm . mabasi mazuri ni ndenjela Rungwe , New force , JM na zingine lakini kwa kiasi kikubwa mabasi ya mbeya dar ni mazuri na ni masaa 11 au kumi na mbili unafika mbeya kutoka dsm nauli ni 350000 hadi 40000
kama hujui kitu kaa kimya.. Kenge wewe... Basi zipo za njia mbili aidha iringa-Mtela to mwanza au... Njia ya Chunya-tabora to mwanza au mbeya...

Achague yeye.. Ya kupitia Chunya ataingia mbeya saa NNE asbh...

Kupitia mtera ataingia mbeya usiku wa manane
 
Daaah, kumbe nikomee iringa nilale kesho yake niendelee

Huna haja ya kulala iringa...super sum zipo mbili ile inayokomea iringa na ile ya mbeya... Panda ya mby moja kwa moja...... Au panda bus ya hbs'yaani sabena, au sasebosa hii njia ni ya vumbi... Ila utalala njian na znatoka tbra saa saba mchana na kuingia saa NNE asbh kesho yake
 
Huna haja ya kulala iringa...super sum zipo mbili ile inayokomea iringa na ile ya mbeya... Panda ya mby moja kwa moja...... Au panda bus ya hbs'yaani sabena, au sasebosa hii njia ni ya vumbi... Ila utalala njian na znatoka tbra saa saba mchana na kuingia saa NNE asbh kesho yake

Mkuu hapo kwenye red zinakesha zinatembea au kuna sehemu zinasimama mnalala?
 
Daaah, kumbe nikomee iringa nilale kesho yake niendelee

Uko sahihi hasa kama huna haraka sana. Lakini kwako kama hujazoea mikoa ya nyanda za juu kusini itakusaidia ukianzia hapo Iringa maana kwa sasa kuna baridi kali hasa kwa muda huo unapoingia mbeya.
 
kuna HBS au sabena mwanza-mbeya kupitia tabora,lpole makongoros.Hii ni njia fupi sana.
 
Back
Top Bottom