and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 28,216
- 39,693
Ndugu Dr Comrade Bashite anasubiri vikao halali vya Chama kumpitisha ili akalie kiti kujiandaa na 2030. Kanyaga twende Gen Z. Haina kwere Chuga tumekuelewa!
"chuga tumekuelewa" nani kakuambia?Ndugu Bashite anasubiri vikao tu ili akalie kiti kujiandaa na 2030. Kanyaga twende Gen Z. Haina kwere Chuga tumekuelewa!
Rais form IV failure na makamu vyeti fake
Le Profeseri?Kuna mtu alisogezwa karibu katika matukio ya hivi karibuni bila sababu licha ya kutemwa kwenye mikeka ya PM uenda ndiye atakula hilo shavu maana anaweza tumika vyovyote vile.
Ku***>Ndugu Dr Comrade Bashite anasubiri vikao halali vya Chama kumpitisha ili akalie kiti kujiandaa na 2030. Kanyaga twende Gen Z. Haina kwere Chuga tumekuelewa!
Nchi itabarikiwa Sana kupata mtu Mchapa kazi kama Paul Christian Makonda.Ndugu Dr Comrade Bashite anasubiri vikao halali vya Chama kumpitisha ili akalie kiti kujiandaa na 2030. Kanyaga twende Gen Z. Haina kwere Chuga tumekuelewa!
No, Kijana wa madini Toka BukombeLe Profeseri?