Bashiru Ally: Vyama vya siasa Vya Maslahi

Bashiru Ally: Vyama vya siasa Vya Maslahi

Unapoleta maada unapaswa kuwa neutral ili upate wachangiaji wengi yaan ulivyo onyesha tu kwamba uko upande wa mbowe na babu nilisikia harufu mbaya kama umefunja yai viza.


Hio ni tabia ya waandishi wetu ya kuripoti tu matukio bila kuhoji, naona na wewe umeingia mkenge huo.

Magamba nao wana tabia hii ya kutohoji, wao ni ndiooooooooo....
 
Mhadhiri wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam Bw. Bashiru Ally amesema upinzani hauongezeki nchini kwa sababu hakuna uwajibikaji ndani vyama na kwamba wananchi wamekata tamaa.
Amesema vyama vinaweza kuahidi katiba ndani ya siku 100 na wananchi wakakimbilia hayo matumaini hewa kumbe lengo lao na kuingia Ikulu.

Anaendelea kusema mgogoro wa Chadema umewakatisha tamaa wananchi kwani wapo watu waliowekeza nguvu,muda na fedha wakidhani wamepata chama Mbadala.Kwamba kilichotokea ni kama mimba imetoka.


Source: jamhuri jan.13-20,2014


My take:Huyu eti ni msomi.

Kinachomtia upofu ni udini au mapenzi ya uccm?

Wewe ndio siyo msomi, ulitaka aseme CDM ni nzuri ndio ukubali kuwa ni msomi. Umeonesha wazi tatizo kubwa lililoko CDM ni kutokubali mawazo mbadala, kama wewe ambae nadhani PhD huna umeweza kumbeza Dr. Bashiri Ally simply because ametoa maoni ambayo hukuyakubali utashindwaje kumwita ZZK msaliti wakati huna hata chembe ya ushahidi? Acheni ushabiki wenye kubebwa na hisia matokeo yake mnaonekana wababaishaji.

Kama hukubaliani na maoni yake mpinge kwa hoja na siyo kubeza elimu yake wakati anakuzidi elimu. Kama unasema ZZK ni msaliti toa ushahidi na u prove kwamba ni msaliti. Hivyo ndivyo wasomi wanavyopingana kwa hoja
 
Mhadhiri wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam Bw. Bashiru Ally amesema upinzani hauongezeki nchini kwa sababu hakuna uwajibikaji ndani vyama na kwamba wananchi wamekata tamaa.
Amesema vyama vinaweza kuahidi katiba ndani ya siku 100 na wananchi wakakimbilia hayo matumaini hewa kumbe lengo lao na kuingia Ikulu.

Anaendelea kusema mgogoro wa Chadema umewakatisha tamaa wananchi kwani wapo watu waliowekeza nguvu,muda na fedha wakidhani wamepata chama Mbadala.Kwamba kilichotokea ni kama mimba imetoka.


Source: jamhuri jan.13-20,2014


My take:Huyu eti ni msomi.

Kinachomtia upofu ni udini au mapenzi ya uccm?
Your take is not only free speech but also a biased hate speech

1-2-hate-speech-free-speech.jpg
 
lakini mleta mada ameleta baadhi tu ya maneno ambayo anadai amesema bashiru hajatupa story nzima tujue alikuwa anaongea nini toka mwanzo hadi mwisho na namna alivyokuwa akikiongea hicho kitu ili tuweze kuona na kusema.

hata biblia ukiwa unasoma vimistari viwili bila kusoma sura nzima unaweza ukatoka na maana zisizo.
 
Umesahau kuwa hata hoja ya Elimu bure ni uongo kabisa haiwezekani(kwa mujibu wa chama chako).Leo Lowassa anaiunga mkono hoja hiyo ya ilani ya CHADEMA mwaka 201
Kwanza niombe radhi mimi sina chama maana walioko kwenye vyama (viongozi) majority wako tu kama kwenye ajira kama zingine tu. hawana lolote ambalo naona wana la Zaidi...Kwa vyama hivi na mawazo yakina NAPE, BEN SAANE, MNJIKA do not expect me to be a political member at all....

Lowasa ni mpenda madaraka kama ninyi wa chama mbadala lakini kisichoelewa tatizo la nchi yetu na majawabu yake... majawabu ya matatizo ya Tanzania sio kugawa huduma yoyote bure!!!!

That is wrong regardless is coming from any part any person.

Kama mnapata mawazo mazuri lakini hivyo ndivyo mlivyo then I wish nchi yangu ingeondoa mambo ya vyama kabisa!
 
Mhadhiri wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam Bw. Bashiru Ally amesema upinzani hauongezeki nchini kwa sababu hakuna uwajibikaji ndani vyama na kwamba wananchi wamekata tamaa.
Amesema vyama vinaweza kuahidi katiba ndani ya siku 100 na wananchi wakakimbilia hayo matumaini hewa kumbe lengo lao na kuingia Ikulu.

Anaendelea kusema mgogoro wa Chadema umewakatisha tamaa wananchi kwani wapo watu waliowekeza nguvu,muda na fedha wakidhani wamepata chama Mbadala.Kwamba kilichotokea ni kama mimba imetoka.


Source: jamhuri jan.13-20,2014


My take:Huyu eti ni msomi.

Kinachomtia upofu ni udini au mapenzi ya uccm?

Udini unamsumbua ndo maana hata hakatakati
 
Kwanza niombe radhi mimi sina chama maana walioko kwenye vyama (viongozi) majority wako tu kama kwenye ajira kama zingine tu. hawana lolote ambalo naona wana la Zaidi...Kwa vyama hivi na mawazo yakina NAPE, BEN SAANE, MNJIKA do not expect me to be a political member at all....

Lowasa ni mpenda madaraka kama ninyi wa chama mbadala lakini kisichoelewa tatizo la nchi yetu na majawabu yake... majawabu ya matatizo ya Tanzania sio kugawa huduma yoyote bure!!!!

That is wrong regardless is coming from any part any person.

Kama mnapata mawazo mazuri lakini hivyo ndivyo mlivyo then I wish nchi yangu ingeondoa mambo ya vyama kabisa!

Muumini wa Jungle democracy!
 
Huyu ni msomi uchwara. chadema walisema wataanzisha mchakato wa upatikanaji wa katiba mpya ndani ya siku 100 baada ya kushinda uchaguzi na si anavyopotosha huyo mdini Bashiru Ali kuwa itapatikana ndani ya siku 100.
 
Mzee wengine tunafuatilia kwa makini sana haya mambo, version ya kusema mchakato na sio katiba yenyewe ilikuja baada ya wenye akili zao ku-hoji... mkakuta heri ku-edit,

Mfano wa uongo wenu ni cement TZS 5000/-,Masanduku ya Kura Mbeya etc... kuhakikisha nyumbaz zote za majani za wananchi zinaelekwa mabati...

Lakini mimi mkuu silaumu sana maana nani mwenye experience ya kuongoza (taasisi) actively kwenye viongozi wa chama chako ni Mwenyekiti wenu tu? don't tell me as board member b'se board meet only 4 times a year.

Nipe mtu aliyoongaza taaisi kama Lowasa (AICC), Sita(TIC) etc... give me from you leaders... nikuamini munayosema! Mengi yenu mnasema tu mkipewa hamuwezi... mambo mengi yenu ni ya kufikirika tu kama vile mtoto anaposema nikiwa mkubwa nataka kuwa Dr, Engineer etc.

mkuu hakuna kisichowezekana! hapa ni dhamira tu ya kudhubutu! kisichowezekana ni kurejesha roho tu!
 
Bashiri ni mchambuzi na mtunzi wa Mashaihiri ya kiswahili na wala sio mchambuzi wa SIASA
awaachie wachambuzi wa kisiasa wachambue, pia na yule dogo wanayeshirikiana kuchambua hamna kitu pale
na huyu anayeendesha kipingi hicho chanel ten inaonyesha uzee ushaingia maana anashabikia uijinga tuu
 
Mhadhiri wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam Bw. Bashiru Ally amesema upinzani hauongezeki nchini kwa sababu hakuna uwajibikaji ndani vyama na kwamba wananchi wamekata tamaa.
Amesema vyama vinaweza kuahidi katiba ndani ya siku 100 na wananchi wakakimbilia hayo matumaini hewa kumbe lengo lao na kuingia Ikulu.

Anaendelea kusema mgogoro wa Chadema umewakatisha tamaa wananchi kwani wapo watu waliowekeza nguvu,muda na fedha wakidhani wamepata chama Mbadala.Kwamba kilichotokea ni kama mimba imetoka.


Source: jamhuri jan.13-20,2014


My take:Huyu eti ni msomi.

Kinachomtia upofu ni udini au mapenzi ya uccm?
Hivi usomi maana yake si kutetea kile ambacho CDM wanaona nisawa. Na kwanini suala hili lihusishwe na dini na uccm. Kumbe ukiongea dhidi ya vyama fulani vya upinzani unagusa imani za watu siyo. Huu ukereketwa wa udini na UCDM utatupeleka pabaya.
atheist.png index.jpg
 

Attachments

  • atheist.png
    atheist.png
    11.9 KB · Views: 52
Mhadhiri wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam Bw. Bashiru Ally amesema upinzani hauongezeki nchini kwa sababu hakuna uwajibikaji ndani vyama na kwamba wananchi wamekata tamaa.
Amesema vyama vinaweza kuahidi katiba ndani ya siku 100 na wananchi wakakimbilia hayo matumaini hewa kumbe lengo lao na kuingia Ikulu.

Anaendelea kusema mgogoro wa Chadema umewakatisha tamaa wananchi kwani wapo watu waliowekeza nguvu,muda na fedha wakidhani wamepata chama Mbadala.Kwamba kilichotokea ni kama mimba imetoka.


Source: jamhuri jan.13-20,2014


My take:Huyu eti ni msomi.

Kinachomtia upofu ni udini au mapenzi ya uccm?

mbona sijaona sehemu alio taja dini hapo!!. wewe ni kipofu kwani hupendi kusikiliza maoni tofauti na mapenzi yako. jirekebishe kila mtu anaweza kutoa maoni yake na yaheshimiwe.
 
mbona sijaona sehemu alio taja dini hapo!!. wewe ni kipofu kwani hupendi kusikiliza maoni tofauti na mapenzi yako. jirekebishe kila mtu anaweza kutoa maoni yake na yaheshimiwe.




kusikia harufu ya mavi sio lazima uyaone. Bashiru aliwezaje kuona Watz eti wamekata tamaa?

Anataka kutuaminisha kuwa Watz wanafurahia kuitwa majangili na kuuawa na serikali yao?

Au watz wanafurahia kuona Tembo wanamalizwa na Kinana huku serikali ikikazana kuuza UNGA usiku na mchana?

Kwanini hakusema wananchi wanamekata tamaa na ccm au mbona hajasema ccm ni mimba iliyotoka?
 
kusikia harufu ya mavi sio lazima uyaone. Bashiru aliwezaje kuona Watz eti wamekata tamaa?

Anataka kutuaminisha kuwa Watz wanafurahia kuitwa majangili na kuuawa na serikali yao?

Au watz wanafurahia kuona Tembo wanamalizwa na Kinana huku serikali ikikazana kuuza UNGA usiku na mchana?

Kwanini hakusema wananchi wanamekata tamaa na ccm au mbona hajasema ccm ni mimba iliyotoka?

umekurupuka ebu rudia kusoma tena ulicho andika!!!. pia uliwahi kujiuliza ili kua mwenyekiti ni lazima uwe mkwe au shemeji wa mzee mmiliki wa chagadema?!!!!!! chaga saccos.
 
Tatizo la wasomi wetu badala ya kufundisha vijana nayeye anaingia ktk siasa, nilimwona ch 10 akiikashifu rasimu ya katiba yeye ametumwa atetee serikali 2, Yeye mwenyewe mchumia tumbo nimemdhrau sana kwa kitendo cha kumshambulia Jaji Warioba kama msomi alitakiwa aongee vitu kisomi zaidi siyo mashambulizi.

Mhadhiri wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam Bw. Bashiru Ally amesema upinzani hauongezeki nchini kwa sababu hakuna uwajibikaji ndani vyama na kwamba wananchi wamekata tamaa.
Amesema vyama vinaweza kuahidi katiba ndani ya siku 100 na wananchi wakakimbilia hayo matumaini hewa kumbe lengo lao na kuingia Ikulu.

Anaendelea kusema mgogoro wa Chadema umewakatisha tamaa wananchi kwani wapo watu waliowekeza nguvu,muda na fedha wakidhani wamepata chama Mbadala.Kwamba kilichotokea ni kama mimba imetoka.


Source: jamhuri jan.13-20,2014


My take:Huyu eti ni msomi.

Kinachomtia upofu ni udini au mapenzi ya uccm?
 
sasa issue ya udini hapo ijetoka wap, kwani ccm cku hizi ni chama cha waislam na chademachama cha wakristo au.
 
umekurupuka ebu rudia kusoma tena ulicho andika!!!. pia uliwahi kujiuliza ili kua mwenyekiti ni lazima uwe mkwe au shemeji wa mzee mmiliki wa chagadema?!!!!!! chaga saccos.

Mtoto wa mgawa chumvi wakati wa uchaguzi ni bure kabisa.

Ridhiwan,Salma,Membe na Kawambwa....Nyumba moja

Hussein Mwinyi
January Magamba
Nape mtoto wa kambo wa Moses
Adam Malima
Mathayo D.Msuya
.
.
.
.
.Vita kawawa
Zainab kawawa
Bint
 
Mtoto wa mgawa chumvi wakati wa uchaguzi ni bure kabisa.

Ridhiwan,Salma,Membe na Kawambwa....Nyumba moja

Hussein Mwinyi
January Magamba
Nape mtoto wa kambo wa Moses
Adam Malima
Mathayo D.Msuya
.
.
.
.
.Vita kawawa
Zainab kawawa
Bint

Nnamashaka na waalimu wako!!.
 
Back
Top Bottom