Hivi kuna msomi anayeshindwa kutofautisha kauli hizi 'Tutawapatia katiba mpya ndani ya siku 100'' na "Tutaanza mchakato wa katiba mpya ndani ya siku 100' na akaendelea kukubalika kuwa ni msomi?
Halafu ni wananchi gani waliokatishwa tamaa na CHADEMA kusimamia nidhamu kupitia katiba yake? Aseme amekata tamaa yeye binafsi na maswahiba wake waliokiuka katiba kwa utovu wa nidhamu kisha wakaadhibiwa.Aache kuwatumia watanzania kufikisha ujumbe wake binafsi na kikundi cha watu wachache.Unafiki wawasomi nchi hii ni usaliti mkubwa kwa taifa
Hivi huwezi kujadiliana na mtu kistaarabu? Why unapenda kuwa tusi watu pasina msingi? Btw hii ni post tu ya mtu, how far unauhakika maneno yaliyo andikwa kwenye post aliyasema Bashiru? Punguza kukurupuka kijana.una bore.
FYI: kuna kufuata sheria,kanuni na katiba na ukashinda,lakini kumbuka siasa ni zaidi ya hivyo vitu. Chadema ni chama cha siasa,sio chombo cha kusimamia sheria...
1.Adrew chenge alishinda (kisheria) kesi ya mauaji, nani mtaani anaamini hakumpamia yule dada na kumsababishia kifo?
2.Zombe kashinda kesi ki sheria kuhus mauaji ya wachimba madini, nani mtaani ana muona zombe ni mtu mwema asiye na hatia?
3.Bungen wapunge wa ccm hupitisha mambo na kuwashinda wapinzani either kwa kutumia kanuni HALALI kabisa au wingi wao.Lakini je wananchi wanawaelewa? Wanafurahishwa?
siasa ni zaidi ya sheria,katiba,kanuni,etc....ni USHAWISHI!...chadema ni chama cha siasa kina anza kukosa huo ushawishi,kinapoteza mvuto wa kisiasa,hata kama hatua zilizo chukuliwa ni "sahihi" lakini ukweli huu pia wa kupoteza mvuto ni lazima usemwe.
NB: I caution you
Ben Saanane wewe ndo msingi wa kuvurugika cdm,tokana na aina ya siasa unazofanya...kama kweli sio pandikizi la ccm,pls jaribu kubadilika uwe mtu mzima.Think mature,act wisely,..the demage u hv caused to the party has no repair,but water under the bridge. Grow up!