Eliphaz the Temanite
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 3,018
- 1,152
Nyie ndio mlitufikisha hapa na mawazo yenu duni... In fact Tzeba was the worst Minister of Agriculture ever! Food Security kwako wewe ni mahindi ghalani, pengine yasiyo na thamani hata kusolve mahitaji ya msingi ya mkulima kitu ambacho bashe anakipinga... Mahindi ni zao la chakula at the same time ni biashara kubwa.... Using cheap thinking una institute export ban at kwa kisingizio cha usalama wa chakula at the expense ya mkulima ambaye hukumsaidia chochote wakati analima ni ushamba wa karne
We have the potential ya kuwa top exporter katika ukanda huu tukiwa na majirani wenye deficit kila mwaka.. We should see tbat as the business opportunity.. All we think ni kuweka mahindi ghalani for what??
The only true definition ya Food Security ni pesa mfukoni sina shamba hata ekari moja kwenye fridge langu kuna kila kitu, farmers should be empowered the same... Mahindi wanayolima yawawezeshe kujenga na ku solve matatizo yao msingi...
NFRA should ensure tuna mahindi ya kutosha, wawe na capacity ya kununua stock ya kutosha kulisha nchi in times of shortage.. Lakini mkulima aachwe huru kuuuza kununua anavyotaka
Serikali inapaswa kuwa mstari wa mbele kuwatafutia masoko ya mahindi wakulima zipo nchi kama China wako tayari kununua mahindi na mkulima akauza kwa kg badala ya lumbesa.... Only serikali inapaswa kuanzisha mchakato... Mzee Sumri aliuza mabasi afanye kilimo cha mahindi alichokumbana nacho ni balaa la Tzeba 2 yrs export ban... Mwisho wa siku gunia lilifika elf 18...
Go Bashe............
We have the potential ya kuwa top exporter katika ukanda huu tukiwa na majirani wenye deficit kila mwaka.. We should see tbat as the business opportunity.. All we think ni kuweka mahindi ghalani for what??
The only true definition ya Food Security ni pesa mfukoni sina shamba hata ekari moja kwenye fridge langu kuna kila kitu, farmers should be empowered the same... Mahindi wanayolima yawawezeshe kujenga na ku solve matatizo yao msingi...
NFRA should ensure tuna mahindi ya kutosha, wawe na capacity ya kununua stock ya kutosha kulisha nchi in times of shortage.. Lakini mkulima aachwe huru kuuuza kununua anavyotaka
Serikali inapaswa kuwa mstari wa mbele kuwatafutia masoko ya mahindi wakulima zipo nchi kama China wako tayari kununua mahindi na mkulima akauza kwa kg badala ya lumbesa.... Only serikali inapaswa kuanzisha mchakato... Mzee Sumri aliuza mabasi afanye kilimo cha mahindi alichokumbana nacho ni balaa la Tzeba 2 yrs export ban... Mwisho wa siku gunia lilifika elf 18...
Go Bashe............
Nimemsikiliza Bashe- Naibu waziri kilimo akielezea food security, well, amechemka sana!
Dhana ya food security haiko tu katika individual economic ability to purchase basic food stuffs kama alivyoielezea Bashe.
Food security imekuwa karibu na definitions 200 na zote zinabeba yafuatayo;
1.Physical, socia and economic ability to access and purchase basic food stuffs.
2.Availability of those basic food stuffs.
3.Ability to meet expanding food needs and offsetting fluctuations in production and prices.
Mpaka hapo nadhani atapata shule kidogo.
Pili, kumfananisha mkulima na mfanyabiashara ni kukosea sana.
Kilimo ni sekta inayopewa ruzuku sana na serikali. Umewahi kusikia mfanyabiashara akipewa ruzuku?
Unadhani ni kwanini ruzuku nyingi kutoka serikalini zinaenda kwenye kilimo?
Bashe yuko very confident but his understanding of issues is erratic at best!