Now and then
JF-Expert Member
- Dec 19, 2024
- 614
- 1,722
Bashe nilijua wewe Kwakuwa Una asili ya kisomali, basi ungehakikisha unawainua vijana Ila mmeishia kuwapotezea muda vijana na kujipigia hela inasikitisha sana Mkuu.
Kwani mradi ume kufa!?Bashe nilijua wewe Kwakuwa Una asili ya kisomali , basi ungehakikisha unawainua vijana Ila mmeishia kuwapotezea muda vijana na kujipigia hela inasikitisha sana Mkuu .
Elezea kwa kina ili tatizo lijulikaneBashe nilijua wewe Kwakuwa Una asili ya kisomali , basi ungehakikisha unawainua vijana Ila mmeishia kuwapotezea muda vijana na kujipigia hela inasikitisha sana Mkuu .
Wasomali huwainua vijana?Kwakuwa Una asili ya kisomali , basi ungehakikisha unawainua vijana
Ule mradi mgumu sana kuendeshwa na vijana wasio na uzoefu wa kilimo. Ulikuwa kinadharia zaidi siyo vitendo.
kilimo cha pdf sio poaUle mradi mgumu sana kuendeshwa na vijana wasio na uzoefu wa kilimo. Ulikuwa kinadharia zaidi siyo vitendo.
Bora hamkupita maana % kubwa walioenda huko wamerudi 0-0Wasomali huwainua vijana?
Huu mradi ulikuwa na walakini, nakumbuka tuliomba zaidi ya vijana mia tunaofahamiana lakini hakupita hata mmoja kati yetu, inawezekanaje?
Very sad hii miradi bora kufanywa na wawekezajiBora hamkupita maana % kubwa walioenda huko wamerudi 0-0
Baadhi ya waliofanikiwa walikuwa na mtu jikoni aliye wafanyia mpango.Wasomali huwainua vijana?
Huu mradi ulikuwa na walakini, nakumbuka tuliomba zaidi ya vijana mia tunaofahamiana lakini hakupita hata mmoja kati yetu, inawezekanaje?
Juzi kati ikaletwa ishu ya Zimbwe, mashabiki wakasahau kila kitu.Kama wachawi na waganga wa nchi hii huwa kazi yao kubwa ni kututuliza hasira kwa manufaa ya watawala basi wamefanikiwa kwa % kubwa
Unazalishaa tani 900 kwa sikuKwani mradi ume kufa!?
Mradi bado upoUle mradi mgumu sana kuendeshwa na vijana wasio na uzoefu wa kilimo. Ulikuwa kinadharia zaidi siyo vitendo.
Upo ila matokeo yapoje kulinganisha na muda uliotumika?Mradi bado upo