.....Pole sana daktari....kama utakumbuka mwaka 2010 december ...nilikuambia namna hapa hapa ubaoni namna gani mshkaji anakukandia...kwenye vijiwe vya kishua..tunamsikiliza...,maandiko aliyoyatoa Bashe Leo yamedhibitisha na kwenda mbali zaidi...na yamedhihirisha ...hata kashfa nyingine zilizofuatia baaada ya 2010 dhidi ya HK....architect alikuwa Bashe...you can see that from his article herewith attached...To Bashe ,kitendo cha kujibu mwenyewe moja kwa moja si cha kiungwana..bora ile ya kusema kwa washkaji...hata ikifika huku ..ilikuwa haina nguvu sana ....lakini njia ya direct confrontation dhidi ya HK...Haijapendeza..wote nyie ni vijana....na mwaka 2015 sio mbali ,tuatapata jibu kuwa kweli nzega mbunge ni nani...na kudhibitisha kuwa kaama kweli aliyepo ni HOUSEBOY aliyekuwa akichunga nyumba kabla ya tajiri mwenyewe kuhamia....Ahsanteni sana mliotukana na mliochangia, na wale mliohukumu, naomba mfahamu yafuatayo, kwamba I am a bold young man and I am never afraid of putting up a fight. Lakini sintomshambulia Bashe kwa kuwa amejibu ujumbe huo akiwa na hasira na kwa kuwa hoja zote hizo ni marudio ya mambo yale yale na ambayo, yote, kwa bahati nzuri nimeishayatolea ufafanuzi zaidi ya mara moja! Kwa wale wenye kiu ya kuujua ukweli au basi hata kutaka kunihukumu kwa kunisikiliza ili ubalance, basi utayapata majibu humu JF. Search either KIGWANGALLA au kigwangala na utapata orodha ya post zilizonitaja na uta-link hapa kuwapa faida wanaJF wengine! Wakatabahu,HK.
MTM, siungi mkono hoja yako. Elewa kuwa Bashe amejibu hoja za Mh. Hamisi alizopost kwenye wanabidii forum. Nawewe usijekuwa ni ile empire ya akina Liz walimfadhiri hamis aingie mjengoni kwa hira. Hata vivyo, utaona kuwa Bashe kajibu hoja kama zilivo orodheshwa na Mh, sioni mantiki ya kuoanisha majibu haya na scandal ya umeme la sivyo tutakuwa tunamhakikishia mh Hamis kuwa lolote atalbwabwaja juu ya Bashe halitajibiwa.Wanajamii sikilizeni kwa makini, haya yamekuja baada ya Hamis kuuliza swali la umeme ambalo Rostam, Bashe na Lowassa ndio Prime member................Haya yote CCM waliyajua hata kabla ya uchaguzi, alas they didnt realise kwamba Hamis was fighting from within.Hii yote ni ile vita ya mafisadi na ccm safiMtasikia mengi sana, ila kama mnaipenda Tanzania mtanielewaHamis amegusa mslahi ya wakubwa wa mafisadi and Bashe is their korokoroni
Ahsanteni sana mliotukana na mliochangia, na wale mliohukumu, naomba mfahamu yafuatayo, kwamba I am a bold young man and I am never afraid of putting up a fight. Lakini sintomshambulia Bashe kwa kuwa amejibu ujumbe huo akiwa na hasira na kwa kuwa hoja zote hizo ni marudio ya mambo yale yale na ambayo, yote, kwa bahati nzuri nimeishayatolea ufafanuzi zaidi ya mara moja! Kwa wale wenye kiu ya kuujua ukweli au basi hata kutaka kunihukumu kwa kunisikiliza ili ubalance, basi utayapata majibu humu JF. Search either KIGWANGALLA au kigwangala na utapata orodha ya post zilizonitaja na uta-link hapa kuwapa faida wanaJF wengine!
Wakatabahu,
HK.
Ahsanteni sana mliotukana na mliochangia, na wale mliohukumu, naomba mfahamu yafuatayo, kwamba I am a bold young man and I am never afraid of putting up a fight. Lakini sintomshambulia Bashe kwa kuwa amejibu ujumbe huo akiwa na hasira na kwa kuwa hoja zote hizo ni marudio ya mambo yale yale na ambayo, yote, kwa bahati nzuri nimeishayatolea ufafanuzi zaidi ya mara moja! Kwa wale wenye kiu ya kuujua ukweli au basi hata kutaka kunihukumu kwa kunisikiliza ili ubalance, basi utayapata majibu humu JF. Search either KIGWANGALLA au kigwangala na utapata orodha ya post zilizonitaja na uta-link hapa kuwapa faida wanaJF wengine!
Wakatabahu,
HK.
Pamaja na kuwa alifanya mtihani mingine migumu (kama unavyodai) Hii haimuondolea kosa la kuchakachua nafasi ya kijana wa watu ambaye ameishia kusukuma mikokoteni. Kwamba Kigwangala alikuwa na uwezo darasani hilo halima mantiki hapa, Kwa wakati akiwa darasa la saba na kwa mtihani ule uliofanywa na Kigwangala na yule kijana msukuma mkokoteni, Kigwangala alifeli na kama angehitaji kuendelea kusoma kwa nini asingeenda private school. Hata kama akipata uprofesa kosa lake halifutiki.Jamani tuwe rational kidogo, hivi kwa darasa la saba kama kuna lolote lililotokea yeye Kigwangala alikuwa nafasi gani kulishawishi? Kwa umri huo ni wazi walioshiriki walikuwa ni watu wazima na yeye kama mtoto alipaswa tu kutekeleza. Lakini pia hatua kutoka primary hadi kuwa daktari ni kubwa sana, wengi tu walifaulu or rather kuchaguliwa std VII lakini hawakumaliza hata form two leo hii Hamis ni Daktari tunaweza kuhoji uwezo wake wa darasani ukizingatia mitihani migumu aliyofaulu?
Ahsanteni sana mliotukana na mliochangia, na wale mliohukumu, naomba mfahamu yafuatayo, kwamba I am a bold young man and I am never afraid of putting up a fight. Lakini sintomshambulia Bashe kwa kuwa amejibu ujumbe huo akiwa na hasira na kwa kuwa hoja zote hizo ni marudio ya mambo yale yale na ambayo, yote, kwa bahati nzuri nimeishayatolea ufafanuzi zaidi ya mara moja! Kwa wale wenye kiu ya kuujua ukweli au basi hata kutaka kunihukumu kwa kunisikiliza ili ubalance, basi utayapata majibu humu JF. Search either KIGWANGALLA au kigwangala na utapata orodha ya post zilizonitaja na uta-link hapa kuwapa faida wanaJF wengine!
Wakatabahu,
HK.
Bashe ni Kichwa kumbe!
I loved this part, CCM mtavuana nguo sana kukata ubishi hilo jimbo ni la Lucas Selelii....... unafahamu hili kwa 2015 u will face me again if god wish,politically u have never been threat to me jimbo la nzega ninafahamu mtu pekee ambae ninaamini ni threat kwangu ni LUCAS LUMAMBO SELELII not you.
Dr Kingwangalla,
Tuhuma nzito dhidi yako ni kuwa hukufaulu mtihani wa kwenda shule ya sekondari. Badala yake inadaiwa kuwa ulitumia jina la kijana aliyekuwa amefaulu, Hamis Andrea, kuendelea na masomo Shule ya Sekondari Kigoma. Yeye hakufahamu matokeo ya mtihani huo, lakini nyinyi mliofahamu mnadaiwa kutomfahamisha na kufanya mlivyofanya. If this is true, as Ndugu Bashe asserts, do you believe you acted honestly? Na misrepresentation of facts, je?
Unadhani mamlaka ya elimu ingekuwa na taarifa tuliyopewa hivi sasa ingelikutunukia shahada uliyonayo? Na Hamis Andrea je ambaye maisha yake yanaelezwa kuwa ni duni kutokana kitendo mlichokifanya? Ninadhani uzito wa tuhuma hizi mbili ni wazi; na, kwa hiyo, kama mbuge utapashwa, upende usipende, kiuzungumzia kwa kina elimu yako ya msingi hadi sekondari ili umma uelewe ulifikaje hapo ulipo.
Ahsanteni sana mliotukana na mliochangia, na wale mliohukumu, naomba mfahamu yafuatayo, kwamba I am a bold young man and I am never afraid of putting up a fight. Lakini sintomshambulia Bashe kwa kuwa amejibu ujumbe huo akiwa na hasira na kwa kuwa hoja zote hizo ni marudio ya mambo yale yale na ambayo, yote, kwa bahati nzuri nimeishayatolea ufafanuzi zaidi ya mara moja! Kwa wale wenye kiu ya kuujua ukweli au basi hata kutaka kunihukumu kwa kunisikiliza ili ubalance, basi utayapata majibu humu JF. Search either KIGWANGALLA au kigwangala na utapata orodha ya post zilizonitaja na uta-link hapa kuwapa faida wanaJF wengine!
Wakatabahu,
HK.
Ahsanteni sana mliotukana na mliochangia, na wale mliohukumu, naomba mfahamu yafuatayo, kwamba I am a bold young man and I am never afraid of putting up a fight. Lakini sintomshambulia Bashe kwa kuwa amejibu ujumbe huo akiwa na hasira na kwa kuwa hoja zote hizo ni marudio ya mambo yale yale na ambayo, yote, kwa bahati nzuri nimeishayatolea ufafanuzi zaidi ya mara moja! Kwa wale wenye kiu ya kuujua ukweli au basi hata kutaka kunihukumu kwa kunisikiliza ili ubalance, basi utayapata majibu humu JF. Search either KIGWANGALLA au kigwangala na utapata orodha ya post zilizonitaja na uta-link hapa kuwapa faida wanaJF wengine!
Wakatabahu,
HK.
na huo ndiyo ulikuwa mchezo wa viongozi wa Elimu na wanasiasa miaka ya 1970,1980 and early 1990's katika mkoa wa Tabora.
Kigwagalla, what ever you call yourself, you must admit kuwa you faked the name. Jina la hamis andrea si lako, your mother killed someone's future just for you. You will live with it for the rest of your life, unless unakiri hilo na kuomba msamaha and do something kwa mmiliki halali wa jina hilo. Nilikuwa nakufagilia sana, mimi kama mmoja wa watu waliosoma Tabora miaka ya 80 na ambaye nilinusurika na uharamia kama alioufanya mama yako, nakuona unanuka harufu mbaya ya uuaji wewe na mama yako, na kwa standard za kiongozi makini, bora na mwadilifu hufai hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi. Kitendo alichokifanya mama yako ni cha uuaji. Ukubali au ukatae. Fikiria kuwa mwanao akifanyiwa hivyo wewe binafsi ungejisikiaje?
Ni bahati mbaya kuwa chama chenu - CCM kimeshakuwa chama cha kishenzi, hakioni aibu kuwakumbatia watu kama wewe, hupaswi hata kuwa mwakilishi wa wana Nzega. yaani unamwakilisha mwana nzega uliyemwibia jina? take that position and think critically ikiwa kweli wewe una taaluma ya udaktari! you stink! hufai kabisa.