The Thugs001
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 425
- 914
"Kila baada ya miaka mitano, asilimia takribani 65 ya wabunge hawarudi [hawachaguliwi tena]. Kwahivyo, hata utishie namna gani, utatoka tu kama wakati wako wa kutoka umefika." - Mbunge wa Nzega Vijijini, Dkt. Hamis Kigwangalla kuhusu vitisho vya baadhi ya wabunge kwa wanaotaka kugombea ubunge kwenye majimbo yao