Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 27,111
- 39,289
Kwa aliyoongea Kigwangallah ni wazi serikali ya awamu hii imekua kama kokoro lililobeba ylwanaohitajika na wasiohitajika!!!Baada ya Matusi ya Kigwangallah nimeona nirudishe mjadala huu
Sijui ni sifa na vigezo gani hutumika kwa huyu bwana mtumbua majipu!!!
Inashangaza waziri mzima unaponda kiongozi ambaye hakuongoza migomo kwahiyo yeye aliyejisifu alishiriki mgomo ule atakua tayari Leo kuongoza mgomo mwingine?
Namfahamu huyu kijana tangu akiwa WAMA! Ni sifuri kichwani... Mhuni na mwenye mkono mrefu...
Napata shida kuamini aina hii ya viongozi ndo itufikishe mbali!!!