Bashe avua gamba

Status
Not open for further replies.
siasa za Tanzania,,,aidha zinaweza kukupa stress au kukuondolea stress inategemea na msim,,,,,na unaweza kuandika dissertation za Ph.D zaid ya miamoja,,,,wanasiaa na wafuasi ni kama pipa na mfuniko

Mkuu kwani ulifikiri siasa ni nini? siasa ndiyo kila kitu katika mfumo wowote wa maisha so lazima Tuukunali na tubadilike tuache siasa za zamani za kulialia ntuingie kwenye siasa za mapinduzi hii siasa ya kufuata watu imepitwa na wakati ni kujiangalia sisi kama sisi tunapambanaje kwenye hizi taasisi za kisiasa na kuleta mabadiliko.

Kulialia siasa ni mchozo mchafu tutasubiri sana ili siku moja iwe mchezo msafi.
 
Sisi kwetu habari ni habari tu Kama zanzibar ushindi ni ushindi tu hata Kama ni wa mashindano ya chakula.
 
Mkishashindwa hoja mnaleta viroja, kicheko hicho hakina jinsia maalum hapa jamvini kinatumika na wote, ila wewe Buku 7 mkosa hoja unataka kuleta za kuleta.
sawa mkuu ila ukijaribu kufatilia michango yangu humu huwezi jua mimi ni mfuasi wa chama gani na wala cjaja kuwakilisha chama chochote humu, nimekuja kuelimika sanasana unaweza kujua mimi ni muumini wa dini gani, ila hicho kicheko ni cha mashoga.
 
Mh ila sasa hivi atapewa zengwe la uraia wake, bashe kawapange babu na bibi yako mapemaaa!
 
Last edited by a moderator:
Hujitambui wewe yaani uko hapa tangu 2011 lakini hujawahi kuona kicheko kama hicho toka kwa jinsia mbili hapa jamvini. Kweli una akili za kushikiwa. Haya pita lumumba kesho tatu asubuhi ukachukue bahasha yako kwa kuandika pumba. Pumbaf mkubwa wee

sawa mkuu ila ukijaribu kufatilia michango yangu humu huwezi jua mimi ni mfuasi wa chama gani na wala cjaja kuwakilisha chama chochote humu, nimekuja kuelimika sanasana unaweza kujua mimi ni muumini wa dini gani, ila hicho kicheko ni cha mashoga.
 
Kuna mbumbumbu zaidi yako LUkosi?
Hivi Mbumbumbu ni nani kati ya Lukosi na adolay ambaye anamjua Hussein Bashe na Mohamedi Bashe?
Ni kwa mwenye akili za KICHAA ndiye anayejiunga CHADEMA leo
ni KIPOFU ndio anaiona inanyemelea Madaraka 2020 na hasa kwa Jimbo la Nzega
Kwa Ikulu ni bado sana, malizeni matatizo ya ndani na mkishindwa muulizeni Mrema alivyokoswa koswa kumalizwa na kina Marando kule Tanga, km sio kuvuliwa kibaraghashee na kufichwa chini ya meza, aliyekuwa na kibandiko alirushwa ghorofani na MUNGU mkubwa yupo hai lakini kiuno. ....
Bado safisheni MASHUSHU na wenye tamaa ya MADARAKA km Biashara kwao
 
Last edited by a moderator:
Hussein Bashe ni tofauti na Ibrahim mohamed, Ibrahim Mohamed ni mdogo wa hussein Bashe na hajawhi kuwa mwanachama wa ccm, Ibrahim mohamed ni mwanachama wa siku nyingi wa chadema ,mod hii habari ya hussein kuhamia chadema ni ya uongo na upotoshaji mkubwa ni bora uiondoa jf ni jukwaa la great thinker habari ya uongo kama hii ya kuondoa na mleta mada apigwe ban.
 


Mgonjwa wa kujitambuwa, ndiye huishabikia ccm kwasababu haijui haki yake, ndugu zake na jamaa zake wanastahili nini kutoka erikali inayotawala ya ccm.

1. Elimu ya Tanzania inapoteza mwelekeo kila mwaka na watu kama wewe ukwaju ndo wahitimu wa elimu duni, ndugu na jamaa zako wataishia kulala nyumba za nyasi na tembe wewe ukishabikia ccm kwa malipo ya 7000/day

2. Afya ya watanzania inapoteza mwelekeo kila mwaka na watu wanapewa huduma duni, ndugu na jamaa zako wataishia kufa kwa malaria, kipindupindu nk hususan hapo Dar es salaam wewe ukwaju ukiimba ccm yajenga nchi kwa ujinga tu ilhali mvua kidogo tu dar mafuliko

3. Ndugu na jamaa zako huko vijijini wanauziwa mafuta ya taa bei sawa na petrol, eti kwasababu ccm wanashindwa kukamata Ridhiwani kwa uchakachuzi -------- ukwaju unaendelea kuwapongeza ccm, mama yako anateseka na moshi wa kuni wewe 7000/day za uzushi unaona deal....?????

4. Miaka hamsini ya Uhuru tunajisifia kilometa uchwara za lami Reli za kati na tazara zimeuwawa kwa maslahi ya malori ya kikwete na mwanaye Ridhawani kufanya biashara ya usafirishaji, mfumko wa bei juu wewe ukwaju na wapum.mbavu wenzako mnaisifia ccm kwa ujuha na uji.nga uliowajaa vichwan.

.
.
. Hivi nawewe ukwaju unajiona intellectual????
 

labda nisaidie,siasa za kufuata watu ni zipi,,,siasa za kulialia ni zipi na za mapinduzi ni zipi????
 
Ndg.Chayowa kwa taarifa yako, Mohammed Bashe ni mdogo wa Hussein Bashe!... Wanashindwa kukuambia tu...
 

kama unahisi siasa ni MCHEZO MCHAFU na unaamini hivo ua totaaly wrong,,,,,ni literature gani inasema SIASA NI MCHEZO MCHAFU,????
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…