Kurunzi
Platinum Member
- Jul 31, 2009
- 10,175
- 11,572
siasa za Tanzania,,,aidha zinaweza kukupa stress au kukuondolea stress inategemea na msim,,,,,na unaweza kuandika dissertation za Ph.D zaid ya miamoja,,,,wanasiaa na wafuasi ni kama pipa na mfuniko
Mkuu kwani ulifikiri siasa ni nini? siasa ndiyo kila kitu katika mfumo wowote wa maisha so lazima Tuukunali na tubadilike tuache siasa za zamani za kulialia ntuingie kwenye siasa za mapinduzi hii siasa ya kufuata watu imepitwa na wakati ni kujiangalia sisi kama sisi tunapambanaje kwenye hizi taasisi za kisiasa na kuleta mabadiliko.
Kulialia siasa ni mchozo mchafu tutasubiri sana ili siku moja iwe mchezo msafi.