Bashe avua gamba

Bashe avua gamba

Status
Not open for further replies.
Leo hautasikia neno Al shabaab humu kisa amejiunga na Chama chetu pendwa.


hapaha mkuu huyu anathibitisha kwamba propaganda za udini na kukinajisi cdm kwa hila sasa ukweli unadhili na wazushi

wanatafuta jinsi ya kujinasua na udini wao...
 
Vichekesho vingine bwana?

Siku zote kwenye mkusanyiko wa mambulumundu hapakosi vituko
Lete orodha original ya michango ya watu wa UK uliyopiga!...

Familia ya marehemu wanakulilia, unasikia raha gani kuwatesa watoto wadogo wa marehemu kwa kudalalia rambirambi?
 
Ngoja atoe maoni yake kuhusu swala la zitto ndio atawajua vizuri bavicha.
 
Kama magazeti ya Udaku: BASHE AVUA GAMBA nikadhani hussein Bashe kumbe siyo!
 
Kweli Mbowe na Slaa mbona watawaachia hizo nafasi ha ha ha chagadema



leo limewashuka nabado huu msukosuko wa zzk, wengi wenye akili zao wataingia chadema, wajingawajinga watabaki

kuhubiri chuki za udini na ukabila ambao hauna tija.
 
Wenye kujitambuwa hupanda basi lililo bora, jipya na nafasi ikiwemo ndani ya kutosha

sasa mtu na akili yake anajitowa chadema na kuenda ccm unategemea Wassira akuachie nafasi kweli....?? niwapumbavu tu...

Bashe mjanja anafahamu fika kwamba kupitia chadema ubunge hataukosa maana basi la cdm ni jipya na kunanafasi.

siasa za Tanzania,,,aidha zinaweza kukupa stress au kukuondolea stress inategemea na msim,,,,,na unaweza kuandika dissertation za Ph.D zaid ya miamoja,,,,wanasiaa na wafuasi ni kama pipa na mfuniko
 
Hivi mchakato wa katiba nzee umefikia wapi?

Msituchanganye na mambo yenu ya kijinga kijinga,

Bashe Bashe basha... so what?
 
Loo! Jinsi mambo yalivyo kuelekea 2015 sita staajabika kusikia rostam nae avua gamba ava gwanda.
 
kinachohojiwa hapa huyu naye ni mgalatia? propaganda za kijinga hapa jukwaani kila siku.

Naona yale maujinga na maugonjwa yako bado unaendelea kuyatibua,
Shauri yako na mkopo wako wa akili,

Naomba hicho kimbembe chako twende kwenye Jukwaa la Dini kama sijakuvua nguo na kukubatiza kwa jina la ........mmoja,

Kwanini kuchanganya mambo wakati watu wanajadili mambo ya maana?
 
tunamkaribisha lakini ajue chadema hawacheki na nyani,hakileta za kuleta atazikokabwe
wanaangalia sura tuu hao, mbona kuna mbunge mmoja wa shinyanga alikuwa ccm baada ya kupigwa chini kwenye kura za maoni akahamia cdm ila anahudhuria majukwaa ya ccm na hawamfanyi kitu?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom