Bashe avua gamba

Bashe avua gamba

Status
Not open for further replies.
Bashe ni mmoja tuu anejulikana kwenye ulimwengu wa siasa za bongo... Hussein bashe acheni kutumia majina ya watu vibaya ilikupata comment nyingi fb... Such a stupid thread
 
wenye kujitambuwa hupanda basi lililo bora, jipya na nafasi ikiwemo ndani ya kutosha

sasa mtu na akili yake anajitowa chadema na kuenda ccm unategemea wassira akuachie nafasi kweli....?? Niwapumbavu tu...

bashe mjanja anafahamu fika kwamba kupitia chadema ubunge hataukosa maana basi la cdm ni jipya na kunanafasi.

mamluki huyo shauri zenu
 
kwa taarifa niliyoipata jioni hii ni kwamba Ndugu Mohamed Bashe amevua gamba na kuvaa Gwanda.
karibu aluta continue.

Anakuja kujaza nafasi ya ZZK, Chadema muwe makini sana na watu kama hawa wanaotumwa kwa kazi moja tuu....kukivuruga chama.
Huko CCM amekosa nini hata ajitoe......???
We must be very careful.....!!!
 
Nadhani sio jambo jema kufiri vibaya, lakini pia ni vizuri kufikiri vizuri.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom