Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,159
- 162,580
Mpaka 2015 tutasikia na kushuhudia mengi!
kwa taarifa niliyoipata jioni hii ni kwamba Ndugu Mohamed Bashe amevua gamba na kuvaa Gwanda.
karibu aluta continue.
hakika mkuu huwez kushabikia CCM ukiwa na akili timam.Hivi kuwa mshabiki wa magamba,ni lazima kidogo uwe fyatu?
Nyie mbona mnapenda kushabikia mambo..hawa wasomali hawana uchungu wowote na nchi hii kwa nini mna sensationalise mambo?kwa taarifa niliyoipata jioni hii ni kwamba Ndugu Mohamed Bashe amevua gamba na kuvaa Gwanda.
karibu aluta continue.
Huyu ni nani hata ahitaji attention yetu kiasi hiki? CHADEMA inapokea wanachama wapya kila siku. Tembelea matawi ya CHADEMA upate takwimu kamili. Tawi dogo kabisa la Gongo la Mboto pale linaingiza wanachama kati ya saba hadi 15 kwa siku. Wanaodhani migogoro itaimaliza CHADEMA wanapoteza muda wao tu.kwa taarifa niliyoipata jioni hii ni kwamba Ndugu Mohamed Bashe amevua gamba na kuvaa Gwanda.
karibu aluta continue.
BAK wewe jinsia gani maana hicho kicheko chako nlitegemea kitoke kwa faiza,lara1 na wengineo wa dizaini hiyo?Hehehehe Ajuza mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu siyo!?
Naona yale maujinga na maugonjwa yako bado unaendelea kuyatibua,
Shauri yako na mkopo wako wa akili,
Naomba hicho kimbembe chako twende kwenye Jukwaa la Dini kama sijakuvua nguo na kukubatiza kwa jina la ........mmoja,
Kwanini kuchanganya mambo wakati watu wanajadili mambo ya maana?
Chadema walitie maanani,manake "waarabu wa pemba wanajuana kwa vilemba".Huyo ni msaliti in future.
Ameondolewa Vyeo Zitto = Tumepta Mhadhiri wa Chuo Kikuu Bungando, Rodrikc Kabangila
Ameondolewa Vyeo Kitila = Tumepata Ibrahimu Bashe (banker)
Amejiuzulu Mwenyekiti wa Singida = Tumepata Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madakrati nchini MAT
Amejiuzulu Chitanda wa Lindi = Amejiunga WAkili wa Mahakama Kuu, Elinkunda George.
Mungu akiwa yupo upande wetu nani atashindana na sisi?
Ameondolewa Vyeo Zitto = Tumepta Mhadhiri wa Chuo Kikuu Bungando, Rodrikc Kabangila
Ameondolewa Vyeo Kitila = Tumepata Ibrahimu Bashe (banker)
Amejiuzulu Mwenyekiti wa Singida = Tumepata Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madakrati nchini MAT
Amejiuzulu Chitanda wa Lindi = Amejiunga WAkili wa Mahakama Kuu, Elinkunda George.
Mungu akiwa yupo upande wetu nani atashindana na sisi?
kwa taarifa niliyoipata jioni hii ni kwamba Ndugu Mohamed Bashe amevua gamba na kuvaa Gwanda.
karibu aluta continue.
Spot on.Bila shaka wanajaza nafasi ya zzk
Vichekesho vingine bwana?
Siku zote kwenye mkusanyiko wa mambulumundu hapakosi vituko
BAK wewe jinsia gani maana hicho kicheko chako nlitegemea kitoke kwa faiza,lara1 na wengineo wa dizaini hiyo?