Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
Huyo ni msaliti in future.
Kwani kuna future tena ya CCM?
Huyo ni msaliti in future.
Hivi wasomali wote walioko kwenye siasa wanaitwa bashe?
Hongera... umetumia uhuru wako
Dhambi na laana ya kula rambi rambi itakutafuna sana aisee
Hajavua? Nilitaka na mimi ni like habari hii mkuu kumbe ni habari fakeTuache uongo
Vichekesho vingine bwana?
Siku zote kwenye mkusanyiko wa mambulumundu hapakosi vituko
Hivi Mbumbumbu ni nani kati ya Lukosi na adolay ambaye anamjua Hussein Bashe na Mohamedi Bashe?
Ni kwa mwenye akili za KICHAA ndiye anayejiunga CHADEMA leo
ni KIPOFU ndio anaiona inanyemelea Madaraka 2020 na hasa kwa Jimbo la Nzega
Kwa Ikulu ni bado sana, malizeni matatizo ya ndani na mkishindwa muulizeni Mrema alivyokoswa koswa kumalizwa na kina Marando kule Tanga, km sio kuvuliwa kibaraghashee na kufichwa chini ya meza, aliyekuwa na kibandiko alirushwa ghorofani na MUNGU mkubwa yupo hai lakini kiuno. ....
Bado safisheni MASHUSHU na wenye tamaa ya MADARAKA km Biashara kwao
Kama ana sifa za kuwa mbunge na wananchi wakamchagua tatizo liko wapi? Usiwe na akili kama afande Chris Mwalukosi!
Source ni yeye mwenyewe amenihakikishia. Unataka nini tena?Source please,isije ukawa umeona skipper alilolivaa ukajua ndio kahamia cdm?
Kwani kuna future tena ya CCM?