Bashe anusurika kutekwa

]
Nakuunga mkono mia.
 
Sasa huyu bashe, kuendesha gari kutoka bamaga mpaka mbezi bado umeshindwa kushika numba? uemkutana nao uso kwa uso bado ukashindwa kupiga hata picha? We mwandishi wa aina gani?...Job true true....

Bashe sio mwandish wa habar!
 
Pole yake sana, hiyo ni kazi ya siasa za Tanzania kwa sasa, kazi tunayo
 
duh yaan nchi yetu inazidi kugeuka na kuwa kama MEXICO AU COLUMBIA?
eeeh MWENYEZI MUNGU IOKOE TANZANIA
 
Kama ndivyo ilivyokuwa basi inatisha, Ingawa kuna maelezo naona yanapungua hapa, Kufuatiliwa kwa zaidi ya saa nzima na ukitilia maanani sio muda mrefu kuna matukio yametokea ingetosha kumpa hofu juu ya usalama wake...Sasa je hapo glossary ndio palikuwa mahala salama zaidi kwake ? Si hata Dokta Ulimboka alitekwa akiwa glossary ? Pili...Yeye alishindwa kusoma namba na ndugu zake nao walishindwa kusoma namba ? Na si tunafahamu kuwa plate number huwa zinareflect ? kwani unahitaji taa za gari husika ndio uone namba ? Na mwisho taahadhari aliyochukua mbona haikuwa sahihi...kwa kuendelea kuingi nyumbani na kuwaacha ndugu waondoke badala ya kubaki pamoja kwani alishahisi mambo si shwari ? Nadhani ndugu yangu aweke maelezo vizuri kidogo....Ila nampa pole kwa maswahibu hayo....
 
Bashe wewe ni mpambambanaji wa kweli mungu yupo na wewe wanaoua kwa upanga nao watauwawa kwa upanga...nadhani adui yako unamfahamu..ata na yeye atashndwa mchana kweupe
 

Membe huyo na TISS, Urais 2015 utatumaliza
 
Fyatu kuwa kama mtu mwenye akili alichofanya bwana bashe kwenda grosary ya jiran na nyumbani kwake 1. Kwanza anafahamika eneo husika na tayari atakuwa na watu wa karibu wa kujihami kwa lolote yeye si kichaa au ulitaka aendelee na safari ahatarishe uhai wake
 
Kwa hiyo ana hisi anafatiliwa na nani?
 

Unaendelea kupotosha ukweli kama kawaida yako; Sumu usitake kutunywesha sumu, upumbavu unao uongelea wewe huwezi kufanyika nchi yoyote ile duniani isipokuwa Tanzania tu; By ze way wewe umefika nchi gani tofauti na Bongo? au unafikiri hatukufahamu wewe?
 

Wow! wow!
 
Bashe ana hamu ya kutekwa.cha muhimu anunue dawa ya ganzi atembee nayo ndani ya gari.
 
Fyatu kuwa kama mtu mwenye akili alichofanya bwana bashe kwenda grosary ya jiran na nyumbani kwake 1. Kwanza anafahamika eneo husika na tayari atakuwa na watu wa karibu wa kujihami kwa lolote yeye si kichaa au ulitaka aendelee na safari ahatarishe uhai wake[/QUOTE]

Kwa historia tuliyonayo kwa matukio mawili yaliyopita Bashe hakuchukua tahadhari yoyote ya busara...Gari mbili hao wa glossary wangemlinda vipi kama kweli walikuwa ni watu wabaya ? pia hainiingii akilini kushindwa kusoma namba yeye na jamaa zake....Kwa tishio kubwa namna hiyo bado unaingia nyumbani kweli ? Na bado unawaacha jamaa waondoke wakuache hatarini ? mmmh....
 
Kuna kitu kinasumbua kidogo. Nitoke Sinza mpaka Mbezi nikihisi nafuatiliwa na baada ya yaliyomtokea mwenzangu? Nina simu na nisiweze kutaarifu polis?
Haipandi unless nina uwezo wa kudhibiti lolote.
 
Polisi hawa hawa wanaong'oa watu meno bila ganzi na kunyofoa kucha kwa koleo ndo hawa hawa wanatoa RB na ni hawa hawa wanakuja kujichunguza baadae. We are finished!!!!!!!!!!!!!!

Nimeipenda mkuu!
 
hamna habari hapo. ni udaku tu wa bashe ili aendelee kuuza gazeti lake. njaa hizi balaa. kama walikutana uso kwa uso iweje asione namba za hilo gari?

Mkuu angalia details zako vizuri hapa chini; kisha utuambie kati yako na Bashe nani mwenye njaa;

Join Date : 28th March 2013

Posts : 22
Rep Power : 305
Likes Received2
Likes Given0
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…