Bashe anusurika kutekwa

Rwakatare na Ludovic naona wanataka kumshikisha adabu msomali
 
Bado wanaendeleza mipango yao ya kupanga mauaji na mateso?
 
Muongo tu...itawezekanaje ugundue unafuatiliwa tokea sinza ukae kimya.Kwa nini hukupiga simu polisi kuwa unafuatiliwa wangeweza kuwahi na kuwakamata mapema.Ulisubiri ufike kwako ili iweje?halafu utashindwa kusoma namba za nyuma wakati zinang'aa usiku....hao jamaa zako walishindwaje kuchukua namba za gari kwanza badala yake wakakimbilia kukupigia simu,unasema eti wakakimbia na bado pia wameshindwa kuchukua namba?

Bashe acha maigizo ya kitoto
 
Yote haya kisa urais haya malizaneni tu'
 
Pole sana bwana bashe,nazani sasa anza kujifua ili ung'olewe bila kusikia maumivu makali....mbaya wenu wandishi mnamjua...nawatajiasasa...polisi...na ccm hii lakini kwani ugomvi wako na membe ulifika wapi?
 
Mmiliki wa new habar 2006 ni Rostam azizi! swahiba wa dhaifu! Lets wait and see.......still loading.....
 
Yaani kufuatiliwa kote huko akashindwa kusoma Namba za gari.
Aaache uongo huyo Msomali
 

Ina maana hao Jamaa baada ya Kupishana nao wali kula U-turn, mbona hakuna Correletaion hapa, amekutana nao Uso kwa Uso, wakampiga Taa (sijui indicator) kuonesha wanakata kona)
Ghafla wakaanza kumfuatilia kwa Nyuma, Huyu Msomali itabid arudi kwao aisee, ni Muongo ajabu

"Nikawaambia wageuze gari lao ili wasome namba, lakini hawakufanikiwa hata kidogo kwa sababu wale jamaa walishtuka na kuamua kutimua.
Yaan hao jamaa walishtuka kuwa Ndugu zake Bashe wanataka Kusoma Number za Gari Lao, Duu, huu ni uongo Mtakatifu aisee.


My take
Haieleweki kuwa Target ilikuwa ni Bashe au Wageni wake
Namshauri Bashe aache Siasa za kutaka kuhurumiwa, atulie alambishwe Dawa, hapa Sio Somalia
 
Hapa Bashe atawadanganya baadhi ya manazi wa Chadema na wapenda majungu wa CCM tu.

Huhitaji degree kujua kwamba hii habari ni ya kutunga.
 


Kwani huyu Bashe hawezi kuwa mmoja kati ya maadui kumi na moja waliotangazwa? Kama ni mmoja wao basi hana sababu ya kumtafuta mchawi wake!!!
 
tunakoelekea sasa itabidi tutembee na dawa za ganzi ili ikitokea kutekwa unawaomba kwanza watekaji walau sekunde 1 ugonge doz yako kisha waendelee na process zao.

Watz wote bila kujali vyama vyetu tuko hatari,hakuna kiongozi wa juu mwenye dhamira ya dhati yakutaka sisi raia wa kawaida tuwe na maisha bora,kazi nikuwindana tu nakufitiniana tu
 
Mtzamo wangu hamna kitu hapo! Wanawin public sympathy, kibanda wamemfix wenyewe na wanayeyusha jamii iamini ni mtu x
 
Wahah!! Mkamateni bashe na nape na Ritz kama kuna mtu atang'olewa tena kucha . Hitakaa itokee tena.
 
Ushahidi kuwa kibanda walimfix ni article ya juzi ya zitto ambayo sidhan kibanda angeruhusu mambo ya mwaka juzi yarudiwe
 
Genge la watoa meno na kucha ni usalama wakishirikiana na miungu watu flani, ila hawaamini kama Mungu yupo, hebu tusubir
 
Mimi wala sishangai tena. Hizi ni sakarakasi za wanasiasa wa CCM wanaowania urais 2015 na wafuasi wao, waandishi wa habari walionunuliwa na hizo kambi za kuwania urais, polisi na usalama wa taifa, chini ya uongozi dhaifu wa Kikwete
 

Udhalimu huu una mwisho wake, hawa watekaji sijui ndo wanaahadi ya kuishi milele?! Pole ndugu
 
..urais mzuri,"at the expense of other peoples life" .......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…