Bashe anusurika kutekwa

Dah.. kwa mtindo huu inabidi tung'oe kucha na meno tuvifungie majumbani maana inaonyesha wanavitafuta sana, sijui ni baada ya kumaliza tembo!!??
 
Ugomvi wa kibanda na mbowe upanua wigo hadi kwa mwajiri wake
 
Plate number kutoifahamu hata kwa kutumia ubunifu?????????? Huu ni usanii tu.
 
'Ninao maadui 11,kati yao wamo waandishi wa habari wawili.Hawa watakimbia nchi 2016 baada ya uchaguzi mkuu' Mheshimiwa fulani(napenda meno,kucha na macho yangu) kwenye kipindi cha 'dakika 45'ITV.
Labda upo kwenye hiyo 1st 11 mzee. Kila mmoja wetu awe na hadhari.
 

me me m meno yangu kwenye mi embe
 

Haswaa!
hii tunapigwa kamba
 

kila kitu ugaidi tutajuaje kama aliiba mke wa mtu au amemrusha mtu pesa
 
Sasa huyu bashe, kuendesha gari kutoka bamaga mpaka mbezi bado umeshindwa kushika numba? uemkutana nao uso kwa uso bado ukashindwa kupiga hata picha? We mwandishi wa aina gani?...Job true true....
 
Sote tunajua ni nani adui wa Bashe,haihitaji phd(only kama aliyoyasema bashe ni ya kweli)

"waandish wawili wa habari"...jiandaeni kuhama nchi 2016(hapa jamaa ana maana ya yeye akishakuwa Rais!!!!!!!!!!!!!!)
 
Wanaendelea kama kawaida hawana wa kuwakemea
 
Huu ni usanii mkubwa sana wa kutaka kutufanya wananchi hatuna akili,hizi ni mbinu chafu kabisa za kisiasa zinazojaribu kuwajengea wananchi imani kua kiongozi fulani hafai,ikumbukwe kwamba Bashe yupo kwenye kundi fulani linalopigania ucku na mchana kufa na kupona kuwania urais 2015,sasa wanataka kumpaka mpinzani wao mkubwa matope kwamba yeye ndiye yupo nyuma ya ugaidi huu.
Na kama kuna kosa kubwa ambalo alishawahi lifanya mpinzani wao huyo ni kutangaza ana maadui 11 ambao atawashughulikia ifikapo 2016(nadhani baada ya kushika nchi) sasa wanatumia maneno (kauli) yake hiyo kuwaaminisha wananchi kwamba huyu mtu hafai (MTU WA VISASI) japo ni kwa kuwatesa ikibidi kuwaua wale ambao wanadhani ni maadui wake,napenda kuwapa taadhari wale wote wanaojijua wapo kwenye ile "list" ya mheshimiwa huyo wanaweza wakatekwa kuteswa hata kuuwawa kwa malengo ya kumporomosha mtu katika medani ya kisiasa(Haya ni maoni yangu tu)
Haya yaweza tokea kati sasa hadi uchaguzi mkuu upite.
 
Kutoka sinza hadi tegeta unapoishi wewe ni umbali mrefu sana. Je wakati unafatiliwa nawe ukajua hilo ulimpigia nani simu ili akusaidie? Na kwa hadhi yako unafahamiana na viongozi wengi hata wa kwenye vyombo vya dola. Don ful us
 
Sasa huyu bashe, kuendesha gari kutoka bamaga mpaka mbezi bado umeshindwa kushika numba? uemkutana nao uso kwa uso bado ukashindwa kupiga hata picha? We mwandishi wa aina gani?...Job true true....

maswali ya msingi sana hayo nami nimejiuliza na kumuuliza pia. Inakuwaje njia pekee ya kujihami iwe ni kuingia bar badala ya kupiga simu kwa watu muhimu wakusaidie? Pengine ingekuwa ni siku ya arobaini ya mwizi, bashe ameshindwa kutusaidia
 
Lakini pia ikumbukwe kuwa ukweli wa wanasiasa ni pale atakapokwambia mama yako ni mwanamke.
 

...........Yaani kwa mbinu zote kutoka sinza had kwako hukuweza kupata mbinu ya kusoma namba za hzo gari? ungewapigia watu wa boda boda wangekufanyia kazi hiyo......
 
Yaani wang'oe watu kucha bila ganzi....halafu tena wanatoa) hahahaha.this is tanzania,
 
Ni heri sie malofa wenye vibarua vya 500,000 kwa mwezi tunaishi kwa raha kuliko matajiri wanaoishi kwa hofu kila siku,


Sent from my NOKIA 3310 using Tapatalk HD
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…