fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 5,608
- 7,167
Kama kuna mtu anajua nini huyu jamaa alokosea atutonye maana alikuwa waziri mbunifu na mwenye uwezo wa hali ya juu wa kujieleza
Yeyote aliyeshiriki uchaguzi feki wa 29 October hana Uzuri wowote.Kama kuna mtu anajua nini huyu jamaa alokosea atutonye maana alikuwa waziri mbunifu na mwenye uwezo wa hali ya juu wa kujieleza
aliifanyaje hiyo bbt?
Novena ilimfanyaje bashe? na alikosea nini hadi hiyo novena imkoseshe uwaziri?Novena inaendelea kufanya kazi japi kwa wanaomfahamu mrehemu wanasema hakuwa na afya njema sana.
Na ccm huwa wanapasiana mipira kwa hiyo wakianza kudondoka ni mnyororo pia.
Mungu amalze mahali.anapostahili kwa yale aliyoyashiriki kuyatenda
Hujui Bashe ndio one of top liutenants wa ccm mtandaoNovena ilimfanyaje bashe? na alikosea nini hadi hiyo novena imkoseshe uwaziri?
Ok sasa kama team nchimbi ni kosa,vipi mbona nchimbi mwenyewe ana cheo?Kosa kubwa ni kuwa Team Nchimbi
ambako huko kwenye mtandao anafanya kitu gani?Hujui Bashe ndio one of top liutenants wa ccm mtandao
Fuatilia ile press ya wale masheikh wa Samia waliomsema Nchimbi na TEC utaelewa vizuri.Ok sasa kama team nchimbi ni kosa,vipi mbona nchimbi mwenyewe ana cheo?
Hebu tuelezeni kwa utuo ni kipi hasa kinaendelea hao uliowataja wamekosa vyeo?Tulia, Doto, Bashe na wengine jiandaeni Jenister keshatangulia Kifo ni kifo tu hatutaki taharuki.
Fuatilia ile press ya wale masheikh wa Samia waliomsema Nchimbi na TEC utaelewa vizuri.