Magamba ana wake wawili mke mdogo yupo Arusha kapumzika kuna kamgogoro kidogo si unajua tena bi mdogo kwa wivu
we mwenyewe unatema pumba tena za mpungaKijana mbona unaleta mambo ya Kitchen Party! Bashe kakukana na umbea wako, saizi umeamia kwa Selelii, JF, sio sehemu ya porojo
Pro-CDM-Jf, wakisema CUF wameolewa na CCM ni sawa, mimi kusema CDM wameolewa na CCM kosa la jinai, unanitolea matusi unanishataki kwa mods, sijui nimefanya kosa gani! Pro-CDM-JF, lazima mkubali kuwa Breadth kutoka kwa watu wengine, mpaka mnatia huzuni JF, sio ya CDMhivi kwanini mods wanamlea lea huyu shoga?
Mkuu Mkandara tumtendee haki Bashe, hivi wewe binafsi unaweza kwenda kinyume na mtu aliekuajili tena amekupa cheo cha mkurugenzi mtendaji wa kampuni yake?Mkuu tunashukuru kusikia msimamo wako na kuwa muwazi hapa JF, lakini inanishangaza sana kuona wewe kama mmoja wa vijana tunaokutegemea, imekuwaje kuwa mstari wa mbele kushikamana na Rostam hasa wakati anajiuzuru kama sii kujenga majungu zaidi! Na hizi habari za rangi na Ukabila yamekukuta ukigombea Ubunge, leo bila kujifunza unakuwa mbele wakati chama chako kimekwisha amua kujivua magamba na Rostam ambaye hakubaliki unamtandikia red carpet!..
Huoni kama unazidi kujipotezea nafasi ya kuaminiwa na wananchi, pamoja na yote ndani ya CCM watakuona wewe mnafiki? Mkuu Siasa ni mchezo mchafu inatakiwa uwe makini sana na sii kuonyesha emotions zako mahala ambapo viongozi wako wamefikia maamuzi ya kumwondoa. Rostam kaondolewa madarakani, alipewa barua na makamu mwenyekiti mzee Msekwa, hizi habari za kujiuzuru ni staha tu alopewa lakini lugha ilikuwa wazi kwamba asipojiuzuru chama kitamwondoa! haya wewe ndio kwanza huelewi!
RA anaweza anzisha bifu na ccm washindwe ili ionekane yeye alikuwa kidume cha igunga!
sikushangai maana hata sura yako inaonyesha wewe ni ZOMBIE. unajua hiyo post ni ya ngapi?Kijana mbona unaleta mambo ya Kitchen Party! Bashe kakukana na umbea wako, saizi umeamia kwa Selelii, JF, sio sehemu ya porojo