Based ON True story

"CHAYI"
 
binadamu ni kiumbe katili sana aisee.
 
Toka hapa wacha urongo wako wewe.
 
Huwaga mnasimulia hizi mambo zenu za kusadikika kama vile mmetokea sayari ya Mars.

Kama ni tukio la kweli kwanini huwa hamtaji mahali, muda, majina n.k

Weka facts ili hata tukitaka kuthibitisha tujue pakuanzia. Sio unakuja tu na story ina hang hewani kama za abunuwasi.
 
Mbona vitu vya kawaida tu hivyo, tena mida ya usiku ndio balaa, hasa usiku mnene, ukiwa ni mtembeaji wa usiku mkubwa kuwa makini kidogo na viumbe Hai unaokutana nao njiani...
 
Nikikuuliza kwanini tusimshawishi huyo Mzee akaenda bungeni akapiga wabunge wote, Kisha aende ikulu, nk. Utasema uchawi hautumiki hivyo.

Nyie ndiyo mnahadithia watu kwamba mtu Fulani kapata pesa kwa njia za kichawi, lakini papo hapo utahadithia uchawi siyo kwa ajili ya kunufaika kiuchumi.
 
Nilisikia babu wa mpenzi wangu alikua anageuka nguruwe kwenda kula mazao ya watu na kuharibu kipindi yupo hai...hizi kitu zipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…