Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 23,517
- 70,333
Kuanzia tarehe 1 Mei 2021 BASATA wanaanza kutumia rasmi kanuni ya kuzipitia/kuchuja nyimbo mpya za Wasanii wote Tanzania kabla ya kupelekwa kwenye vituo vya Radio/TV
“hii sio sheria mpya, ilikuwepo kabla ila haikua imeanza kutekelezwa, wimbo ukipitishwa Msanii anapewa cheti”
Chanzo: MillardAyo
My take: Wasanii walijisahau sana kwa kutunga lyrics zisizokuwa na maadili na kusababisha mmomonyoko wa maadili nchini.
Nyimbo nyingi za kizazi kipya hazisikiliziki asilani kwa watu wenye kujielewa.
“hii sio sheria mpya, ilikuwepo kabla ila haikua imeanza kutekelezwa, wimbo ukipitishwa Msanii anapewa cheti”
Chanzo: MillardAyo
My take: Wasanii walijisahau sana kwa kutunga lyrics zisizokuwa na maadili na kusababisha mmomonyoko wa maadili nchini.
Nyimbo nyingi za kizazi kipya hazisikiliziki asilani kwa watu wenye kujielewa.