Barua: Zitto akataa posho za vikao

Barua: Zitto akataa posho za vikao

kweli hawa chadema ni wanafiki huwa wanakazana kuongea bungeni ooooh sisi hatutaki posho! baadaye wana saini wanatia kibindoni, pesa pesa pesa weeeeeeeeeh ilimsaliti YESU.
Jina lako na post zako vinakusuta, umekuja kwa hila!!!!!!!!!!!!
 
&lt;span style=&quot;font-family: courier new&quot;&gt;&lt;font size=&quot;4&quot;&gt;&lt;font color=&quot;#000080&quot;&gt;&amp;quot;Katika ilani ya uchaguzi ya CHADEMA ya mwaka 2010, CHADEMA kilikataa posho. Kikawaelekeza wabunge wake wazipinge bungeni. Hatuwezi kuungana na wenzetu wanAoziunga mkono&amp;quot;. Alisema Marando.&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Hata hivyo taarifa kutoka ofisi za bunge hadi jana zinasema ni Zitto Kabwe pekee ndiye mbunge wa CHADEMA ambaye aliacha kusaini posho huku wengine wote wakitia kibindoni. &lt;br /&gt;<br />
&lt;/font&gt;&lt;font color=&quot;#2f4f4f&quot;&gt;&lt;br /&gt;<br />
source Mwananchi.-29/08/2011 page 4 &lt;/font&gt;&lt;font color=&quot;#000080&quot;&gt;&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
UTAWATAMBUA KWA MATENDOOOO..MATENDOO&lt;br /&gt;<br />
<br />
<br />
<br />
&lt;/font&gt;&lt;/font&gt;&lt;/span&gt;
&lt;br /&gt;<br />
&lt; Hakuna ukweli ndani yake.

r /&gt;
 
Sina hakika kama CHADEMA wamechukua posho. Mimi binafsi naamini wabunge hawa ni watu makini na kamwe hawawezi kwa pamoja kukubali kusaini hizo posho.Kama kuna evidence yoyote tafadhali iwekwe hapa ili umma usiendelee kupotoshwa na wafanyabiashara wa gazeti la MCL
 
Sina hakika kama CHADEMA wamechukua posho. Mimi binafsi naamini wabunge hawa ni watu makini na kamwe hawawezi kwa pamoja kukubali kusaini hizo posho.Kama kuna evidence yoyote tafadhali iwekwe hapa ili umma usiendelee kupotoshwa na wafanyabiashara wa gazeti la MCL

Nilipoona avarta yako nikafikiria vinginevyo kumbe sivyo...
Mawazo yako mazuri mkuu!
 
Nimepitia michango karibu yote, walichokuwa wakifanya wachangiaji wengi ni
kuhukumu kwa assumption bila kujua sheria na kanuni za bunge zinasemaje.
Lakini nadhani baada ya ufafanuzi huu wa Zitto wengi watakuwa wameelewa
isipokuwa wale wachache waliokunywa maji ya bendera ambao kwa kawaida
hata uwaeleze vipi kuhusu CDM hawakuelewi...

Una macho lakini hauoni,una Ubongo lakini unatumia Moyo kufikiri, haya rudia tena kusoma....

Napenda nifafanue masuala kadhaa hapa.

Kuhusiana na mimi kama an indivual MP, nilipewa kazi na chama kama Waziri kivuli Fedha na tangazo la posho alilitoa Naibu wangu ndugu christina Lissu. Mie nikalitolea ufafanuzi kwa vyombo vya habari. Wabunge wa CCM wakaanza kunishambulia na kusema ni unafiki kwamba ninatangaza posho zifutwe ilhali nazichukua, Nikamwandikia Spika barua kuwa posho zangu ziende kwenye charity org jimboni kwangu. Hili nalo likaonekana kama ni unafiki pia. Nikaamua kuzikataa kabisa. Hivyo toka tarehe 8 Juni mimi sipokei posho ya vikao. Njia ninayotumia ni kutosaini mahudhurio Bungeni ili wasipate sababu ya kunilipa.

Sasa kuna mchangiaji hapa kasema usiposaini ndani ya siku tatu unaadhibiwa. Kanuni inasema Mbunge asipohudhuria MIKUTANO mitatu ya Bunge anakuwa amejifukuza ubunge. Tutofautishe mikutano na VIKAO. Kikao ni kila siku na mkutano ni session nzima, mfano session iliyopita ilikuwa ni mkutano wa 4 wa Bunge nk.

Sasa, ikitokea sitasaini pia katika mkutano wa 5 na wa 6 wanaweza kuanza mchakato wa kunifukuza Ubunge. Lakini je mchakato huo utategemea karatasi za mahudhurio tu? Kwa mfano, nikiwa Bungeni ninauliza swali au kuchangia hoja, hansard inarekodi kuwa nilikuwepo Bungeni. Karatasi ya mahudhurio inaonyesha sikuwepo Bungeni. Audio na video records zinaonyesha nilikuwepo Bungeni, watanifukuza kwa vigezo vipi?

Katika harakati lazima ni lazima kuchallenge rules ili zibadilike. Nadhani katika hili tutafanikiwa...

...Haya, Wabunge wengine wa Chadema wameshindwa vipi kufanya alivyofanya Zitto??..uwa nasikitika sana ninapoona watu wazima wenye akili zao wanaendekeza ushabiki kwenye mambo ya msingi...
 
Una macho lakini hauoni,una Ubongo lakini unatumia Moyo kufikiri, haya rudia tena kusoma....



...Haya, Wabunge wengine wa Chadema wameshindwa vipi kufanya alivyofanya Zitto??..uwa nasikitika sana ninapoona watu wazima wenye akili zao wanapoleta ushabiki kwenye mambo ya msingi...

Anayetumia ushabiki kati yangu na wewe ni nani?
Matatizo ya nyumbani kwako usiniletee mimi, please...
 
Kwanza kabisa mapenda kunukuu maneno ya Mh. Zitto. Kisha ningependa kumuuliza maswali kwa ufahamu zaidi.

  1. Napenda nifafanue masuala kadhaa hapa.
    Moja, sisi kama Kambi ya Upinzani inayoundwa na CHADEMA tulikwishaamua kwamba posho za vikao sio stahili sahihi kwa Mbunge. Mnadhimu Mkuu wa Kambi alikwishaandika kwa Spika wa Bunge kutaka kutenganisha fomu za mahudhurio na fomu za posho. Mbunge wenje pia katika moja ya michango yake alisema Bunge litengenishe fomu hizi mbili.
    Kuhusiana na mimi kama an indivual MP, nilipewa kazi na chama kama Waziri kivuli Fedha na tangazo la posho alilitoa Naibu wangu ndugu christina Lissu. Mie nikalitolea ufafanuzi kwa vyombo vya habari. Wabunge wa CCM wakaanza kunishambulia na kusema ni unafiki kwamba ninatangaza posho zifutwe ilhali nazichukua. Nikamwandikia Spika barua kuwa posho zangu ziende kwenye charity org jimboni kwangu. Hili nalo likaonekana kama ni unafiki pia. Nikaamua kuzikataa kabisa. Hivyo toka tarehe 8 Juni mimi sipokei posho ya vikao. Njia ninayotumia ni kutosaini mahudhurio Bungeni ili wasipate sababu ya kunilipa.
    Sasa kuna mchangiaji hapa kasema usiposaini ndani ya siku tatu unaadhibiwa. Kanuni inasema Mbunge asipohudhuria MIKUTANO mitatu ya Bunge anakuwa amejifukuza ubunge. Tutofautishe mikutano na VIKAO. Kikao ni kila siku na mkutano ni session nzima, mfano session iliyopita ilikuwa ni mkutano wa 4 wa Bunge nk.
    Sasa, ikitokea sitasaini pia katika mkutano wa 5 na wa 6 wanaweza kuanza mchakato wa kunifukuza Ubunge. Lakini je mchakato huo utategemea karatasi za mahudhurio tu? Kwa mfano, nikiwa Bungeni ninauliza swali au kuchangia hoja, hansard inarekodi kuwa nilikuwepo Bungeni. Karatasi ya mahudhurio inaonyesha sikuwepo Bungeni. Audio na video records zinaonyesha nilikuwepo Bungeni, watanifukuza kwa vigezo vipi?
    Katika harakati lazima ni lazima kuchallenge rules ili zibadilike. Nadhani katika hili tutafanikiwa.
    Hivyo, wabunge wa chadema sio wanafiki kwani tayari wameandika rasmi kutaka fomu tofauti za kujaza mahudhurio. Pili, Zitto hasaini kama njia ya kutoa changamoto kwa rules. Lakini pia ninaamini kwa dhati kabisa kwamba posho ya kikao (sitting allowance) sio stahili halali (legitimate?)Kwa mbunge anayelipwa mshahara kwa kazi ile ya kukaa na kutunga sheria, kuisimamia serikali na kuwakilisha wananchi.
Hebu tupe ufafanuzi kwa mambo yafuatayo.


Nadhani waliowengi wamekuelewa kutokana na ufafanuzi wako. Labda kwa kuongezea hapo nitoe pia maelezo kuwa hata Mh. Mbowe alishalitolea ufafanuzi jambo hili tena kwa umahiri mkubwa sana. Katika kumbukumbu zangu Mh. Mbowe alisema, Swala si kufuta POSHO zipo zilizohalali kama Per DieM lakini siyo SITTING Allowance. Pia likazuka suala la Spika MAKINDA kukemea wabunge wote wanaokataa posho hizo kwamba watachukuliwa hatua za kinidhamu kwa sababu ni kukiuka kanuni za Bunge. Swali linakuja Nani aliyewachanganya Wabunge ni Spika au Mh. Zitto! Jambo la msingi ilikuwa ni kufuta posho zote kuanzia kwa Wabunge hadi Serikalini rejea maneno ya WAZIRI Mkuu –Posho zisizo za lazima kufutwa, swali je hayo yametekelezwa? Kwa mantiki hiyo endapo Chadema wangezikataa ina maana hata baadhi ya stahiki zao zilizo halali wangezikosa kwa sababu form za kusaini posho hizo hazikutenganishwa. Ingekuwa ni halali kwa wananchi kuwalaumu Chadema ikiwa tu form hizo zingekuwa zimetenganishwa kisha wakaamua kuzichukua zote, lakini kwa hili hatuwezi kuwatupia lawama chadema. Swali langu kwa Mh. Zitto. Unatuambia nini wananchi kuhusu Posho yako kupelekwa Jimboni kwako, je zimekwishapelekwa? Ikiwa zitapelekwa je utasaini form hizo? Sasa kutakuwa na tofautigani na Wabunge waliozichukua kisha wakaenda majimboni mwao na kuwasaidia wapigakura wao? Bado ni kizungumkuti kwani inaonekana Serikali haijawa tayari kutekeleza adhima hiyo ya kufuta posho legelege. Ni mawazo tu yenye mlengo wa kati.
 
Kwanza nakupongeza sana kwa kuyatenda uliyoyasema.

Lakini hii haiondoi ukweli kuwa Wabunge wenzako wa CHADEMA wameshindwa kutembea kwenye maneno yao, wameendelea kuchukua posho walizosema kuwa "ni malipo haramu" na wakaenda mbali zaidi kuziita kuwa ni "wizi", siamini kama mtu makini anaweza kuendelea kuchukua malipo ya wizi.

Hii inaonyesha kuwa Wabunge wengine wa CHADEMA hawakuwa serious na hili, waliongea tu ili kupata point kisiasa, wangekuwa wapo serious wangeweza kusimama kwenye maneno yao, na kufanya ulivyofanya, na ata pale mikutano mitatu itakapoisha bila kusaini katarasi ya maudhurio, ingekuwa ni mtihani mkubwa zaidi kwa Bunge kuwachukulia hatua kwa Wabunge woote wa Chadema kuliko Mbunge Mmoja, na kama wangewachukulia hatua, hilo lingekuwa bonge ya turufu ya kisiasa kwa CHADEMA.

Tunachokipata hapa ni kuwa Wabunge wengine wa CHADEMA kama ilivyo kwa Shibuda wanazipenda hizi posho, lakini tofauti yao na Shibuda ni kuwa wao wanaongea wasiyoyaamini "kinafiki" kwa kisingizio cha "karatasi ya mahudhuri"wakati Shibuda yupo wazi.

Narudia tena....

WABUNGE WOOTE WA CHADEMA WANAOENDELEA KUCHUKUA POSHO NI WANAFIKI, ZITTO KAONYESHA NJIA, WALIO NA NIA YA DHATI YA KUANZISHA MCHAKATO WA KUZIFUTA POSHO HIZI WAIGE MFANO WAKE, wahenga walisema Matendo Hukidhi Haja MAridhawa Kuliko Maneno...

Naomba tusiwahukumu hawa wabunge bila kupata the other side of the story kutoka kwao. Refer my previous post niliyoeleza uhusiano unaotia shaka kati ya Zito na Mwananchi..Na fatilia tabia binafsi ya Zito anapokuwa na viongozi wakubwa wa serikali ambao ni CCM. Zito ni opportunist sana. Ameshawahi kuwa na ugomvi mkubwa sana na viongozi wenzie wa CDM kwa sababu ya tabia zake za undumilakuwili.

Naomba tujiulize;
Kwa nn hii habari inakuja sahv bada ya bunge kuisha wakati limedumu kwa miezi 3 na kipindi chote hiki wabunge hawa wamekuwa wakichukua hizo posho?
Zitto alichukua jitahada gani kuwashawishi viongozi wenzake wa CDM ili wabunge wote wa CDM wawe na msimamo mmoja kama wake hasa ukizingatia yy ni 1 wa viongozi waandamizi na wenye ushawshi mkubwa sana ndani ya chama?
 
Anayetumia ushabiki kati yangu na wewe ni nani?
Matatizo ya nyumbani kwako usiniletee mimi, please...

Yaan Bishop umesoma tena na bado hauelewi??mmh...

Nimepitia michango karibu yote, walichokuwa wakifanya wachangiaji wengi ni
kuhukumu kwa assumption bila kujua sheria na kanuni za bunge zinasemaje.
Lakini nadhani baada ya ufafanuzi huu wa Zitto wengi watakuwa wameelewa

isipokuwa wale wachache waliokunywa maji ya bendera ambao kwa kawaida
hata uwaeleze vipi kuhusu CDM hawakuelewi...

Haya labda unifafanulie sasa ni kanuni gani hiyo iliyowalazimisha Wabunge wengine wa Chadema kuchukua posho kwenye mkutano uliopita??? na kwanini kanuni hiyo iwazuie wao na wakati huohuo ikamruhusu Zitto kuudhuria vikao bila kuchukua posho???

Jibu ni rahisi sana...hawapo tayari kuziachia hizo posho...
 
Yaan umesoma tena na bado haujaelewa??mmh...



Haya ni kanuni gani hiyo inayowalazimisha Wabunge wengine wa Chadema kuchukua posho lakini zinamruhusu Zitto kuudhuria vikao bila kuichukua hiyo posho? jibu ni rahisi sana...Wabunge wengine hawapo tayari kuziachia hizo posho...

Nadhani unachanganya mambo, wamesaini kwenye daftari la mahudhurio
na si kwamba wamechukua posho, kilichofanyika ni kutumia mahudhurio hayo
kuonesha kuwa wamechukua posho... hata hivyo sidhani kama malumbano
haya unayotaka kuyaanzisha yananisaidia chochote...
 
Nadhani unachanganya mambo, wamesaini kwenye daftari la mahudhurio
na si kwamba wamechukua posho, kilichofanyika ni kutumia mahudhurio hayo
kuonesha kuwa wamechukua posho...

Naona Mwalimu wako alipata shida sana, maana ata hayo maelezo mafupi ya Zitto haujayaelewa, kwaheri...
 
haya mkubwa, ngoja nimtafute huyo robot, nikimpata ataniwezesha niweze kucheza na JF. Unajua bro hata kuchuku quote ya mtu ili kuitumia kusisitiza jambo nimejitahidi kufanya bt nimeshindwa?

inabidi nitafute tution ya namana ya kutumia features za JF, ili nishiriki kikamilifu.

kwa mfano wewe unaanza na kunukuu maneno yangu, then unarespond from what i have written. nielekeze hata hiyo nadhani nitaweza tu
 
Nadhani unachanganya mambo, wamesaini kwenye daftari la mahudhurio
na si kwamba wamechukua posho, kilichofanyika ni kutumia mahudhurio hayo
kuonesha kuwa wamechukua posho... hata hivyo sidhani kama malumbano
haya unayotaka kuyaanzisha yananisaidia chochote...
Posho wamechukua hakuna ubishi hapa.
 
haya mkubwa, ngoja nimtafute huyo robot, nikimpata ataniwezesha niweze kucheza na JF. Unajua bro hata kuchuku quote ya mtu ili kuitumia kusisitiza jambo nimejitahidi kufanya bt nimeshindwa?

inabidi nitafute tution ya namana ya kutumia features za JF, ili nishiriki kikamilifu.

kwa mfano wewe unaanza na kunukuu maneno yangu, then unarespond from what i have written. nielekeze hata hiyo nadhani nitaweza tu

Haya angalia chini ya posti yangu upande wa kulia kuna maneno:
Reply na jingine limeandikwa Reply With Quote, bofya kwenye
hili neno la pili, yatakuja maneno niliyoandika, baada ya hapo acha
nafasi kati ya maneno yangu na hayo unayotaka kuandika, huku
maneno yangu yakiwa ndani ya alama ya (/QUOTE) juu na chini,
hapo utakuwa umejibu posti ya mtu kwa kunukuu maneno yangu...
 
Back
Top Bottom