Hii simema ni nzuri, ila sasa sijui yule wa bungeni atakua anasemea wapi!?
Rudia kusoma, pesa iliyopungua kufika malengo ni 200mil so huko utalii wameomba 25mil, so kuna kwingine wameendelea kuombaNilivyoelewa ni kuwa wabunge 65 walihitaji 200,000,000 ila wakapungukiwa 25,000,000 over
Hii simema ni nzuri, ila sasa sijui yule wa bungeni atakua anasemea wapi!?
Heche anasema walijitegemea kisafari, sasa zimetumika kwa lipi?Kweli kuna ka ufisadi kapo hapo, lakini kwenye hilo ngoja nimtetee Ndugai.
Kwa barua hiyo ni wazi fedha hizo ziliombwa kwa ajili ya kuwasaidia wabunge hao katika safari ya Misri na wala hazikuhusiana na kupelekwa Stars, huko ni kukurupuka kwa Makonda ambaye haombagi ushauri kabla ya kusema hayo.
Katika fedha hizi labda tuhoji kwa namna nyingine mfano kuwaombea fedha za udhamini wabunge kwenye taasisi ya umma kwa kutumia madaraka ya kibunge. Jee kesho na kesho kutwa bunge linaweza kuihoji taasisi hiyo ikikuta kuna matumizi mabaya ya fedha?
Furaha ya Kunguru, ambae kwa hapo kunguru naamini atakuwa ni anko Magu, huu ugomvi ni kitu kizuri sana kwa kunguru ninavyodhani.Vita ya panzi hii
Sasa nimeelewa ahsanteRudia kusoma, pesa iliyopungua kufika malengo ni 200mil so huko utalii wameomba 25mil, so kuna kwingine wameendelea kuomba