a45
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 1,325
- 1,402
Jose where were u ???People fall in love in mysterious way
Jose where were u ???People fall in love in mysterious way
Umenifanya nicheke rafiki. Hapa ndio mahala pake mwaya.Kumbe hapa,kuna mitongozano lmubashara kabisa au ni utani tu?
Heee! kumbe mleta mada yuko serious,wacha nisubirie jibu la mtongozwaji...Umenifanya nicheke rafiki. Hapa ndio mahala pake mwaya.
Kila aina ya mtongozo unapatikana humu. Hahahaaaa.
Hahaaa. Kaleta hisia zake tu. Na usije shangaa na wewe siku unakukuta uzi unaokuhusu wa kudondokewa. Lol.Heee! kumbe mleta mada yuko serious,wacha nisubirie jibu la mtongozwaji...
Aisee! Kweli jf ni zaidi ya nilivyoidhania,Hahaaa. Kaleta hisia zake tu. Na usije shangaa na wewe siku unakukuta uzi unaokuhusu wa kudondokewa. Lol.
Hahaaaa. Usijali rafiki. Karibu.Aisee! Kweli jf ni zaidi ya nilivyoidhania,
Kumbe kuna mitongozano,mikopo,dini,kijiwe cha story za kikubwa na kadha wa kadha.
Nikidindokewa itabidi, nikutafute unipe ushauri maana na huu ugeni wangu nisije kutana na libazazi.
Jirani nipatie samari ya huu ujumbeMama sabii ukuje huku
Dada yangu unatia mgeni frustration kiasi hicho!Umenifanya nicheke rafiki. Hapa ndio mahala pake mwaya.
Kila aina ya mtongozo unapatikana humu. Hahahaaaa.
Aisee! Kweli jf ni zaidi ya nilivyoidhania,
Kumbe kuna mitongozano,mikopo,dini,kijiwe cha story za kikubwa na kadha wa kadha.
Nikidindokewa itabidi, nikutafute unipe ushauri maana na huu ugeni wangu nisije kutana na libazazi.
Msalimie Mareth na mwambie nina maongezi naeHahaaaa. Usijali rafiki. Karibu.