blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 10,517
- 12,702
Ni wazi sasa we jamaa unazeeka vibaya..Kuna list ya watu natamani kusikia interview zao...
Madereva na wapishi wa Ikulu..
Wake za Marais..wake za waziri mkuu
Hasa Estér Sumaye....au Mrs Lowassa...
Wanasiasa kama Bulembo na Mzee Mkuchika...insiders kabisa....
Watoto wa Lowasa,Sumaye...etc...