Barua ya wazi(Open letter) kwako Fredrick Bundala Skywalker

Jamaa ni down to earth vibaya mno. Nilipishana nae kwenye media station flani akanisalimia fresh tu japo presenters wengine tena hawana hata nusu ya brand yake walikuwa wanapita tu,
Mungu ampe mafanikio zaidi
Jamaa yuko peace sana. Kuna mwaka nilikuwa na shida naye nikawa naomba mwongozo wake nikamtumia msg kwenye namba ya studio kwamba anipe namba yake. Jamaa kiroho safi tu kabla kipindi hakijaisha akanitumia.
 
Mimi BabaMorgan ni miongoni mwa wafuasi wako kati ya wale wengi wanaopenda kile unachokifanya unapokuwa nyuma ya kipaza sauti(mic) uwezo wako ni masterpiece.

Nimefurahi sana kuanzishwa na kufanya vizuri kwa channel yako ya YouTube Simulizi na Sauti huu ni ushahidi tosha kuwa unafanya kazi nzuri ambayo imekubalika ndani na nje ya Tanzania.

Kipindi upo Radio Free Africa nilitamani sana kuona picha yako bahati mbaya haikuwezekana kutokana na teknolojia ya wakati huo unfortunately yakatokea yakutokea mkatoka RFA na huo ndio ulikuwa mwanzo wa RFA kupoteza mvuto. Ikapita miaka mingi bila ya kujua upo wapi na unafanya nini wengi tuliamini ndio mwisho wa kusikia sauti yako as you know ule msemo wa vizuri havidumu.

Mara paah nacheki TV nakutana na kipindi chako kinaitwa Chill na Sky what a surprise.. mtu ambaye nilikuwa na wish kumuona anafananaje namuona kwenye Televisheni akiwahoji watu maarufu tena katika ubora wa hali ya juu kwangu mimi ilikuwa moja kati ya siku zangu nzuri.

After that nikaanza kufuatilia kazi zako YouTube ndipo hapo nikakutana na channel yako Simulizi na Sauti channel ambayo ina contents zilizokwenda shule kuanzia zile za udaku, Elimu kupitia Fix you, interview za wasanii na wafanya biashara kimsingi unajua unachofanya by the way ile Interview na Mkunde Binti mdogo anayemiliki Hardware ilini inspire sana.

Before sijajua kama umerudi kwenye game nilikuwa na list yangu ya watangazaji ambao nilikuwa nawapenda kufuatilia show zao maana na wao wanafanya vizuri list ilikuwa hivi
1. Salama Jabir kipindi Salama na
2. Khaled Gangana kipindi nipe tano
3. Millard Ayo
Since nimenotice umerudi kwenye game na still unawasha moto kama zamani umeingia directly kwenye list ya watangazaji naowakubali hususani show zao.

Juzi kati nilikuona Posta ilibidi nisimame nikucheki tu nilitamani kuja kukupa hi na nikuombe japo hata selfie ila ilibidi nikaze kiume nipunguze shobo maana hata simu yenyewe ya selfie sina si unajua Itel tena Chama la wana.

Skywalker keep doing it brother unafanya kazi nzuri sana. Binafsi nitaendelea kuangalia kile unachofanya and if you don't mind Thursday ni Throw back ingependeza kama ungekuwa unatuletea interview za wasanii waliofanya vizuri zamani na mitikasi yao si unajua tena tushakuwa wahenga.

Mwisho nilipenda ulivyokiri kuwa ulikuwa na ndoto za kuja Dar es salaam hii dream tunashare maana na mimi kipindi nipo Namtumbo ulikuwa huniambii chochote kuhusu Dar es salaam.
Hongera kwa kujipa promo.Biashara ni matangazo. Ila ulitakiwa kulipia tangazo ujue.
 
Wewe na idol wako karibuni Sana Dsm....DSM ni ya kila mtu...

Watangazaji Wengi wanakosea Sana kufanya interview na watu "official" only ..
Binafsi natamani kuona watangazaji wanawafanyia interview watu ambao sio official lakini walikuwepo "jikoni"..

Kuna list ya watu natamani kusikia interview zao...
Madereva na wapishi wa Ikulu..
Wake za Marais..wake za waziri mkuu
Hasa Estér Sumaye....au Mrs Lowassa...
Wanasiasa kama Bulembo na Mzee Mkuchika...insiders kabisa....

Watoto wa Lowasa,Sumaye...etc...

Interview ni kipaji cha ajabu ..Hadi Leo sijawahi furahia interview kama za Larry King na Yule muiingereza alikuwa Al-Jazeera...
Umenena vyema mkuu
 
Mimi BabaMorgan ni miongoni mwa wafuasi wako kati ya wale wengi wanaopenda kile unachokifanya unapokuwa nyuma ya kipaza sauti(mic) uwezo wako ni masterpiece.

Nimefurahi sana kuanzishwa na kufanya vizuri kwa channel yako ya YouTube Simulizi na Sauti huu ni ushahidi tosha kuwa unafanya kazi nzuri ambayo imekubalika ndani na nje ya Tanzania.

Kipindi upo Radio Free Africa nilitamani sana kuona picha yako bahati mbaya haikuwezekana kutokana na teknolojia ya wakati huo unfortunately yakatokea yakutokea mkatoka RFA na huo ndio ulikuwa mwanzo wa RFA kupoteza mvuto. Ikapita miaka mingi bila ya kujua upo wapi na unafanya nini wengi tuliamini ndio mwisho wa kusikia sauti yako as you know ule msemo wa vizuri havidumu.

Mara paah nacheki TV nakutana na kipindi chako kinaitwa Chill na Sky what a surprise.. mtu ambaye nilikuwa na wish kumuona anafananaje namuona kwenye Televisheni akiwahoji watu maarufu tena katika ubora wa hali ya juu kwangu mimi ilikuwa moja kati ya siku zangu nzuri.

After that nikaanza kufuatilia kazi zako YouTube ndipo hapo nikakutana na channel yako Simulizi na Sauti channel ambayo ina contents zilizokwenda shule kuanzia zile za udaku, Elimu kupitia Fix you, interview za wasanii na wafanya biashara kimsingi unajua unachofanya by the way ile Interview na Mkunde Binti mdogo anayemiliki Hardware ilini inspire sana.

Before sijajua kama umerudi kwenye game nilikuwa na list yangu ya watangazaji ambao nilikuwa nawapenda kufuatilia show zao maana na wao wanafanya vizuri list ilikuwa hivi
1. Salama Jabir kipindi Salama na
2. Khaled Gangana kipindi nipe tano
3. Millard Ayo
Since nimenotice umerudi kwenye game na still unawasha moto kama zamani umeingia directly kwenye list ya watangazaji naowakubali hususani show zao.

Juzi kati nilikuona Posta ilibidi nisimame nikucheki tu nilitamani kuja kukupa hi na nikuombe japo hata selfie ila ilibidi nikaze kiume nipunguze shobo maana hata simu yenyewe ya selfie sina si unajua Itel tena Chama la wana.

Skywalker keep doing it brother unafanya kazi nzuri sana. Binafsi nitaendelea kuangalia kile unachofanya and if you don't mind Thursday ni Throw back ingependeza kama ungekuwa unatuletea interview za wasanii waliofanya vizuri zamani na mitikasi yao si unajua tena tushakuwa wahenga.

Mwisho nilipenda ulivyokiri kuwa ulikuwa na ndoto za kuja Dar es salaam hii dream tunashare maana na mimi kipindi nipo Namtumbo ulikuwa huniambii chochote kuhusu Dar es salaam.
Daah maisha haya huyo mwamba Sky walker nimesoma nae school moja pale musoma technical High school zamani musoma alliance class la 2008 jamaa alikua kichwa tangu zamani. Akiwa Radio Victoria FM musoma alikua moto sana.
 
Jamaa ni down to earth vibaya mno. Nilipishana nae kwenye media station flani akanisalimia fresh tu japo presenters wengine tena hawana hata nusu ya brand yake walikuwa wanapita tu,
Mungu ampe mafanikio zaidi
Huyo ni ngosha always mangosha ndio wako ivo except wanyantuzu.
 
Mimi BabaMorgan ni miongoni mwa wafuasi wako kati ya wale wengi wanaopenda kile unachokifanya unapokuwa nyuma ya kipaza sauti(mic) uwezo wako ni masterpiece.

Nimefurahi sana kuanzishwa na kufanya vizuri kwa channel yako ya YouTube Simulizi na Sauti huu ni ushahidi tosha kuwa unafanya kazi nzuri ambayo imekubalika ndani na nje ya Tanzania.

Kipindi upo Radio Free Africa nilitamani sana kuona picha yako bahati mbaya haikuwezekana kutokana na teknolojia ya wakati huo unfortunately yakatokea yakutokea mkatoka RFA na huo ndio ulikuwa mwanzo wa RFA kupoteza mvuto. Ikapita miaka mingi bila ya kujua upo wapi na unafanya nini wengi tuliamini ndio mwisho wa kusikia sauti yako as you know ule msemo wa vizuri havidumu.

Mara paah nacheki TV nakutana na kipindi chako kinaitwa Chill na Sky what a surprise.. mtu ambaye nilikuwa na wish kumuona anafananaje namuona kwenye Televisheni akiwahoji watu maarufu tena katika ubora wa hali ya juu kwangu mimi ilikuwa moja kati ya siku zangu nzuri.

After that nikaanza kufuatilia kazi zako YouTube ndipo hapo nikakutana na channel yako Simulizi na Sauti channel ambayo ina contents zilizokwenda shule kuanzia zile za udaku, Elimu kupitia Fix you, interview za wasanii na wafanya biashara kimsingi unajua unachofanya by the way ile Interview na Mkunde Binti mdogo anayemiliki Hardware ilini inspire sana.

Before sijajua kama umerudi kwenye game nilikuwa na list yangu ya watangazaji ambao nilikuwa nawapenda kufuatilia show zao maana na wao wanafanya vizuri list ilikuwa hivi
1. Salama Jabir kipindi Salama na
2. Khaled Gangana kipindi nipe tano
3. Millard Ayo
Since nimenotice umerudi kwenye game na still unawasha moto kama zamani umeingia directly kwenye list ya watangazaji naowakubali hususani show zao.

Juzi kati nilikuona Posta ilibidi nisimame nikucheki tu nilitamani kuja kukupa hi na nikuombe japo hata selfie ila ilibidi nikaze kiume nipunguze shobo maana hata simu yenyewe ya selfie sina si unajua Itel tena Chama la wana.

Skywalker keep doing it brother unafanya kazi nzuri sana. Binafsi nitaendelea kuangalia kile unachofanya and if you don't mind Thursday ni Throw back ingependeza kama ungekuwa unatuletea interview za wasanii waliofanya vizuri zamani na mitikasi yao si unajua tena tushakuwa wahenga.

Mwisho nilipenda ulivyokiri kuwa ulikuwa na ndoto za kuja Dar es salaam hii dream tunashare maana na mimi kipindi nipo Namtumbo ulikuwa huniambii chochote kuhusu Dar es salaam.
Daah umemsifia sana hii nzuri kumsema mtu kwa mazuri.
Ngoja nikamcheki
 
Daah maisha haya huyo mwamba Sky walker nimesoma nae school moja pale musoma technical High school zamani musoma alliance class la 2008 jamaa alikua kichwa tangu zamani. Akiwa Radio Victoria FM musoma alikua moto sana.
Victoria fm ya malima kwasakwasa Bundala akiendesha kipindi cha amka na majoka ila sidhani kama Fred ni class of 2008
 
Mimi BabaMorgan ni miongoni mwa wafuasi wako kati ya wale wengi wanaopenda kile unachokifanya unapokuwa nyuma ya kipaza sauti(mic) uwezo wako ni masterpiece.

Nimefurahi sana kuanzishwa na kufanya vizuri kwa channel yako ya YouTube Simulizi na Sauti huu ni ushahidi tosha kuwa unafanya kazi nzuri ambayo imekubalika ndani na nje ya Tanzania.

Kipindi upo Radio Free Africa nilitamani sana kuona picha yako bahati mbaya haikuwezekana kutokana na teknolojia ya wakati huo unfortunately yakatokea yakutokea mkatoka RFA na huo ndio ulikuwa mwanzo wa RFA kupoteza mvuto. Ikapita miaka mingi bila ya kujua upo wapi na unafanya nini wengi tuliamini ndio mwisho wa kusikia sauti yako as you know ule msemo wa vizuri havidumu.

Mara paah nacheki TV nakutana na kipindi chako kinaitwa Chill na Sky what a surprise.. mtu ambaye nilikuwa na wish kumuona anafananaje namuona kwenye Televisheni akiwahoji watu maarufu tena katika ubora wa hali ya juu kwangu mimi ilikuwa moja kati ya siku zangu nzuri.

After that nikaanza kufuatilia kazi zako YouTube ndipo hapo nikakutana na channel yako Simulizi na Sauti channel ambayo ina contents zilizokwenda shule kuanzia zile za udaku, Elimu kupitia Fix you, interview za wasanii na wafanya biashara kimsingi unajua unachofanya by the way ile Interview na Mkunde Binti mdogo anayemiliki Hardware ilini inspire sana.

Before sijajua kama umerudi kwenye game nilikuwa na list yangu ya watangazaji ambao nilikuwa nawapenda kufuatilia show zao maana na wao wanafanya vizuri list ilikuwa hivi
1. Salama Jabir kipindi Salama na
2. Khaled Gangana kipindi nipe tano
3. Millard Ayo
Since nimenotice umerudi kwenye game na still unawasha moto kama zamani umeingia directly kwenye list ya watangazaji naowakubali hususani show zao.

Juzi kati nilikuona Posta ilibidi nisimame nikucheki tu nilitamani kuja kukupa hi na nikuombe japo hata selfie ila ilibidi nikaze kiume nipunguze shobo maana hata simu yenyewe ya selfie sina si unajua Itel tena Chama la wana.

Skywalker keep doing it brother unafanya kazi nzuri sana. Binafsi nitaendelea kuangalia kile unachofanya and if you don't mind Thursday ni Throw back ingependeza kama ungekuwa unatuletea interview za wasanii waliofanya vizuri zamani na mitikasi yao si unajua tena tushakuwa wahenga.

Mwisho nilipenda ulivyokiri kuwa ulikuwa na ndoto za kuja Dar es salaam hii dream tunashare maana na mimi kipindi nipo Namtumbo ulikuwa huniambii chochote kuhusu Dar es salaam.
Afanye assignment zake sawa sawa kabla ya kuhoji watu wenye akili... asome na ajiandae kabla ya kuwahoji watu na history zao .. ile interview yake na Imam Abas ilimuanika sana.. mambo mengi ya Dsm na kuhusu background ya bongo fleva yanampiga chenga.. otherwise he good 👍
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom