Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 14,238
- 22,668
Kupitia account zake msanii wakazi amemlipua vikali msanii boss wa wasafi diamond..
NASIBU USIPOTOSHE WATU, KWA KUPINDISHA UKWELI NA KUONGEA UNAFIKI.
Nimeona clip ya interview yako. Maelezo yako sio sahihi kuhusu soko la muziki la nje, na nashangaa wewe kujidai unahubiri unity na kutokatishana tamaa baada ya wewe mwenyewe kusanda huko “international”… kabla ulikuwa kimya kama sio perpetrator mwenyewe.
Muziki wa Tanzania haujaanza kufanya vizuri sasa hivi, infact sasa hivi ndio unafanya vibaya zaidi historically, maana wewe ndio Number 1 artist, lakini hata kujaza watu elfu 6 ughaibuni kimbembe, Waafrika wanaweka Historia duniani wewe umerudi kupambana na Ally Kiba.
Mimi binafsi nilikuwa nakukubali kwa nidhamu yako ya kazi (work ethics) na uthubutu, ila sasa umekuwa miyeyusho. Tunaelewa na kuheshimu kwamba umekuwa mfanyabiashara… maybe ndio imekuathiri upande wa muziki na huo ushindani usio na tija ambao huko duniani hamuwezi upeleka umepelekea kutaka kutia huruma.
Ngoja nimalizane na maswala ya Chama (ACT Wazalendo) na pia ku post kazi za Wasanii ambao wanafanya Sanaa kwa Level ya juu kwanza, alafu nitarudi kudadavua nachomaanisha kwa kutumia hiyo clip yako and beyond.
Beberu
*********************
Anyway wakazi ameongea ukweli shida ya huyu bwana huwa ni untouchable kabisa ukimgusa , hasa chawa wake ..
Pia baada ya muda mfupi chawa wa diamond nao wakamjia Juu kama inavyoonekana
NASIBU USIPOTOSHE WATU, KWA KUPINDISHA UKWELI NA KUONGEA UNAFIKI.
Nimeona clip ya interview yako. Maelezo yako sio sahihi kuhusu soko la muziki la nje, na nashangaa wewe kujidai unahubiri unity na kutokatishana tamaa baada ya wewe mwenyewe kusanda huko “international”… kabla ulikuwa kimya kama sio perpetrator mwenyewe.
Muziki wa Tanzania haujaanza kufanya vizuri sasa hivi, infact sasa hivi ndio unafanya vibaya zaidi historically, maana wewe ndio Number 1 artist, lakini hata kujaza watu elfu 6 ughaibuni kimbembe, Waafrika wanaweka Historia duniani wewe umerudi kupambana na Ally Kiba.
Mimi binafsi nilikuwa nakukubali kwa nidhamu yako ya kazi (work ethics) na uthubutu, ila sasa umekuwa miyeyusho. Tunaelewa na kuheshimu kwamba umekuwa mfanyabiashara… maybe ndio imekuathiri upande wa muziki na huo ushindani usio na tija ambao huko duniani hamuwezi upeleka umepelekea kutaka kutia huruma.
Ngoja nimalizane na maswala ya Chama (ACT Wazalendo) na pia ku post kazi za Wasanii ambao wanafanya Sanaa kwa Level ya juu kwanza, alafu nitarudi kudadavua nachomaanisha kwa kutumia hiyo clip yako and beyond.
Beberu
*********************
Anyway wakazi ameongea ukweli shida ya huyu bwana huwa ni untouchable kabisa ukimgusa , hasa chawa wake ..
Pia baada ya muda mfupi chawa wa diamond nao wakamjia Juu kama inavyoonekana