Barua ya Sakina ya kujiuzulu hii hapa

Status
Not open for further replies.
Wadau hii barua kwa vyovyote vile ilikuwa ni 'confidential' kati ya mwandikaji na mwandikiwa,mbona hatujiulizi imetuaje kwenye jamvi la JF,nani kailikisha? kwa manufaa ya nani? Wakati tunajadili content tujiulize pia na hayo.
 
Sakina is not ethical, how come atoe confidential discussion kati yake na RM kuhusu MD katika barua ambayo anam cc MD??? Jamani professionalism iko wapi hapo?? Acheni kutetea madudu ya huyu dada!!!
 
kama kuna mtu hakuliona hili kuanzia mwanzo atakuwa na ugonjwa ya unamsababishia ashindwe kuona mbali.
 
Huyu huyu Sakina alipoondoka Mwananchi aliwachamba sana na kudai aliondoka kule kwa sababu hakukukuwa na uhuru wa kitaaluma. Na sasa anamwaga tuhuma za aina hiyo hiyo kwa IPP Media. Lazima tujiulize: ana ajenda gani huyu ponjoro? halafu interestingly, alipoondoka Mwananchi watu walifurahi na kusema ni good riddance, na siku ilipotangazwa kuwa amepigwa chini IPP vijana wa pale Guardian walienda kunywa bia kufurahia. Hapendeki huyu mdada! Lazima akae chini ajiulize.
 
mwanzo nilimchukulia huyu dada kirahisi tu nikadhani kwa vile Mengi kawalipuwa waajemi wale, basi dada kamaindi. kumbe sio. she is focused, professional, dedicated, loyal, etc. huu ugonjwa umezagaa sana wa kuchanganya kazi na maslahi binafsi. kwa mtu anayependa kujikomba, atafanya kile bosi anataka hata kama sio professional, ila kwa mtu makini kama sakina ni tofauti. namsifu sana huyu dada. kwa mara nyingine inadhihirisha ni jinsi gani ngozi yetu ilivyo na matatizo. nilikuwa nasoma gurdian muda si mrefu nikashangaa naendelea tu kitu ambacho si kawaida kwangu. kumbe kuna kazi imefanyika ndani ya mwaka mmoja tu! ya kuliboresha. once again, the problem with africans is implementation and maintenance

Everyone would have better known that Newspaper/media houses have respective editorial policy, which an employee (professional newsman/lady) should serve; violation of which amounts to severe punishment. That is what any policy violating employee deserves to get, period.
 
Kajieleza vilivyo, sijui aliahidiwa nini siku alipojiunga na IPP Media na sasa yamemkuta. Unajua ajira hizi za watu binafsi ni ngumu na hazina uhakika na usalama kazini, sio sawa na ajira za serikalini au mashirika kwani yana taratibu zinazoeleweka.

Hata hivyo, pamoja na Dada Sakina kumwaga machungu yake katika resignation letter yake, haijakaa sawa kwani katika resignation unatoa taarifa yako ya kuacha kazi, unamshukuru employer kwa ushirikiano wake, na kwenda zako mbele mbele; kama unaanika machungu yako huku unaacha kazi unategemea mwajiri afanye nini ?, hapo hakuna compromise tena mambo yameharibika. Ila kama hapo kabla ulishakaa na kudiscuss naye mwajiri wako, basi atakuelewa vyema kwamba ulishampasha, na hakuna haja tena ya kumwaga mchele. Haya mambo yakija last minute, na wakati umeshafanya decision ni kama vile ' sitaki nataka. Anyway, hongera kwani ana msimamo always, ni heshima kwake.
 
Mimi naona WEWE NDIO UMEANDIKA PUMBA, nia ya Sakina haikuwa kwa ajili ya kumlipua MENGI na haikuwa kwa ajili ya PUBLIC consumption mpaka tumepata copy aliyopelekewa Mshana. alichoongea kinaonekana ni facts na zina staitistics kama ni kumpimga mpinge kwa facts.

"Hivi huyu mwanamke anajua biashara inachukua mda gani kujenga kweli",

Kama wewe ni Bongo lala kuna watu ni VICHWA na creative ndio maana unamuona kama alivyo, kweli mapenzi ni KIPOFU.
mbona amekimbia alivyoambiwa akaanzishe thisday on sunday, mbona ajatumia uwe u-creative wake + na wako kuanzisha gazeti lenu
wewe ndio kichwa chako maji unadhani sakina ndio amejenga the guardian, nawakati kabla yake yeye the gurdian ilikuwepo na baada yake yeye itaendelea kuwepo

ame tick ilo jina la mshana makusudi na kuileta hapa JF ili ionekane kama mshana ndio amelikisha, ni wazi ana bifu na mshana, kama katimuliwa katimuliwa tuuu no sympath
 
Barua ni ndefu mno kwa kuacha kazi...hadi hapo ilipofikia muajiri gani atachukua muda na kusoma barue ndeeefu kama hii......Points za maana...

Thanks to your employer for the opportunities you have had during your employment.
Regardless of why you are resigning or how you feel about it, if you mention why you are leaving, make sure that you do not include anything negative or disparaging about the company, your supervisor, your co-workers, or your subordinates. This letter will be included in your employment file and could be shared with potential future employers, therefore, it should be professional and polite.....

Au kama hivi halafu unaishia kiaina....


Your Name
Your Address
Your City
Your Phone Number
Your Email

Date
Name
Title
Organization
Address
City
Dear Mr./Ms. Last Name:
Please accept this letter as formal notification that I am leaving my position with XYZ company on Xth of this month. Thank you for the opportunities you have provided me during my time with the company. If I can be of any assistance during this transition, please let me know.

Mbona simpo tu......
 
Hongera sana Dada Sakina kwa ushujaa wako...

Umewafungua macho watanzania...We need courageous people to open up and speak up if we are to have a true democracy in the Media..

Wadau Sakina hakujipeleka Ipp Media..RM alikuwa anafuata fuata sana ajiuge kwneye group yake...Tunajua Mengi ni mbagusi and hela zote anayotamba nae ni maki wa wayahudi and alipigiwa simu kutoka Israel amshushe cheo Sakina lasivyo hata senti moja hatapata tena...

Hiyo barua iliyowekwa hapa ni ukweli wala hana haja ya kuomba kazi....She is known for her hard work.. Na wale wanaofikiri anjiunga na Habari Corp kujiunga na RA, hiyo siyo ukweli..ukweli ni she will not be dragged to do what she does not want...Wana JF Sakina is professional

Whatever yakeandikwa kwenye resignation letter ni ukweli, RM anapenda sifa za uwongo tu ili apoteshe jamii...muda umefika kutambua mafisadi wakweli..wamejaa serekalini na siyo magabachori tuu....

mambo ndivyo hivyo....

hayo maneno ya mengi hana hela hayajaanza leo, yameanza siku nyingi tunajua hizo ni chuki za kutaka watu weusi wote wawe maskini...

mengi anaela nyingi tuuuuu ndio maana yule sakina alienda pale kufata hela, na alienda ippmedia kwa ajili ni media kubwa TZ, kama timu ippmedia ni real madrid

kama hupendi mengi ana hela kajinyonge

mengi is the symbol of black businessmen in TZ, a lot of people like u are trying to bring him down. there is only one way for mengi (up )
 
mimi nachoweza kuwaambia huyu dada sakina ana mawili matatu hivi aidha kapigwa mkwara na mafisadi kwa kuelezwa tu na wewe uko vitani unamsaidia huyo bwana mengi? au kashauriwa na hao tena kwa kumfuata kwenye familia yake mwombeni mtoto wenu ajitoea kwa huyo jamaa kama kazi hata sisi twaweza kumpa kwani shida yake sisi pesa tunazo anataka mshahara kiasi gani? au kakwaruzana na maana watu kama sakina hawapendi directives za kazi anataka uhuru ukimingilia kaacha kazi yako na ndio maana barua yake fupi haina maelezo lakini aminini nawaambia kazi ya habari yataka ujasiri kati ya hayo mojawapo limemkuta huyo dada na hataukimwita leo hii kwenye tv hawezi kukuambia kilichomkuta!! chaos
 
Kwa kutumia mawazo ya critical theorist wa media kama kina George Marcus na Habermas wa Chicago school ya enzi hiyo mtakubaliana nami kuwa media house in represent mawazo ya mmiliki wa hiyo media. Hivyo kwa kuepuka bias katika media ni vigumu mno, na labda hakuna. Kuna vipindi bias inazidi lakini haiwezi kuondoka. Magazeti ya vyama ni bias na inakubalika why not ya mtu binafsi? Serikali nayo ina magazeti yake na hua ina bias zake. Kutoa sababu ya kua unaondoka kwa kua mtu ni bias na vyombo vyake sio sababu ya msingi. Ila kama upendeleo ni wa wazi na unahujumu amani hiyo inakubalika. All in all upendeleo upo kwa vyombo vyote vya habari duniani.
 
mimi nachoweza kuwaambia wana jf kuwa huyu dada wala msiumize kichwa na ufupi wa barua yake kilichomkuta ni kati ya haya aidha kapigwa mkwara na mafisadi kuwa uko vitani na wewe? achana na huyo mzee mengi kama utaki haya.... endelea na my be kafuatwa kwenye familia yake na kuelezwa kuwa mshaurini huyo mtoto wenu achane na huyo mzee kama ishu ni kazi na mshahara wa maana hata sisi twaweza kumpa pesa tunazo na tena kwa mujibu wa mchangiaji mmoja kuwa mengi analingaia pesa za wayahudi na kiswahili alichoandika na lafudhi yake ndi hiyo hiyo anayoitumia ukimsoma utahisi huyu dada lazima atakuwa kapigwa mkwara kwa udini na rangi, sasa kazi hizi zinataka ujasiri yawezekana kabisa preshaa ilikuwa kubwa au kwa jinsi nijuavyo mimi kazi hizi ikimkuta mtu mwenye msimamamo kama sakina ukimwingiliya kazi yake kwa dirictives kinyume na taaluma yake, kakuachia kazi yako.sasa ataeleza nini hata umwite leo kwenye tv hawezi kusema chochote. kati ya hayo moja limemkuta huyu dada sakina!!
 
Na mpongeza sana dada Sakina kwa hatua haliyo chukua kwani watz wachache ambao wako makini kwa kujali kazi zao bila kufuata matakwa ya waajiri ambao wapo kimaslai zaidi. Fundisho kwa watz wote pia kujali kazi.
heshima kwako mama.
 
I applaud - as a Journalist - Sakina for upholding the professional ethics of Journalism, something that many Journalists of Tanzania DO NOT HAVE the audacity to do!

I also applaud her for saying NO to Reggie Mengi! Hawa watu matajiri wanadhani kwa kuwa tu wao ni matajiri, we are like going to roll over and play dead, wag our tails, and say: Yess Masssa!

Hell! No way! Zama hizo zimekwisha!

Big Up Sakina! I had a feeling you WOULDNT LAST at IPP Media! I was proven right! Wengine tulisema UMENUNULIWA, kumbe sivyo!

./Mwana wa Haki
 
Nafikiri labda wengi wangejiuliza historia ya Mengi na udini na hata kujishuku na kuanza kutoa michango kwa kujenga misikiti, I think Mengi huyu dada amekuumbua na kukumaliza kwenye jamii ya Waislamu, Kwani Je ingekuwa huyu Dada ameweka Picha yake na Balozi wa Vatican kwel iangekau demoted ?

Mengi ni mtu anaetumiwa remote control hana power kwenye IPP media , sifikiri kwamba kila mtu ni YES MAN Sorry IPP ndio kila siku nikaona Bora Nisome Michuzi Blog kwani naona IPP imepoteza mwelekeo for long time.
Tanzania have long way to go ikiwa hata Mhariri anaamuliwa nini cha kuandika na kuchapisha is very sad. Wakenya wametuacha ndio hata Kibaki ameichukia hiyo shirika ya habari kwa kuadnika ukweli mara nyingi. Kenya imesonga mbele kwenye uhuru wa habari bado tuko kwenye UNYERERE STYLE ile style ya DAILY NEWS.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom