Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 2,590
- 4,277
Kutokana na maendeleo ya Technologia, ambapo zipo njia za kuaminika zaidi za kumtambua mtu; napendekeza Sheria ya Kudai mzee aliyekuwa mfanyakazi pengine kwa miaka 30 alete barua aliyopewa wakati anapata ajira kwa mara ya kwanza ili aweze kulipwa mafao yake iondolewe.
Nafikiri wanaweza kuweka taratibu zingine kama Nida, na kadi ya shirika husika (NSSF/PSSSF) au pengine wachukue alama za Vidole kabla mtu hajastaafu.
Kudai wazee barua hizo ni kuwapa usumbufu wastaafu na kutengeneza mazingira ya Rushwa
Nafikiri wanaweza kuweka taratibu zingine kama Nida, na kadi ya shirika husika (NSSF/PSSSF) au pengine wachukue alama za Vidole kabla mtu hajastaafu.
Kudai wazee barua hizo ni kuwapa usumbufu wastaafu na kutengeneza mazingira ya Rushwa