Kang
JF-Expert Member
- Jun 24, 2008
- 5,493
- 2,247
Wna Jamii nimesoma barua ya resignation ya Sakina Datoo kwend kwa boss wake amabayo ina mambo mengi sana, jamabo ambalo naomba kuuliza je alichokifanya Sakina kwa kuandika ile barua ambayo inamhusu yeye na mwajiri wake na kuipost Huku Jamii ni sawa!! Na je IPP hawana zile document za confidentiality, kwa sababu naona mengi aliyo yaandika mle ni internal information amabazo zilipaswa kuwa siri kai yake na mwajiri wake,
Does it add value sie tukiresign tupost zile barua humu
Naomba msaada
Nani kakwambia Sakina ndo kaipost barua hapa?