domokrasi
Member
- Sep 27, 2006
- 36
- 3
Mambo ndiyo hayo!
Assuming maelezo ya Sakina ni kweli, i.e. Mengi/Israel, namshauri akaombe kuajiriwa na gazeti la Uhuru, halafu aandike habari za kusifia CUF, CHADEMA etc
Mambo ndiyo hayo!
Ukiitazama hiyo barua ya Sakina inaelekea imetoka ofisi ya Ndg Mr.Mshana!ndiye aliye scan na kuitundika humu,ukitazama waliye pelekewa nakala ni watu wa 5 ile sehemu yenye Jina la Mr Mshana ndipo paliopo kuwa ticked kwa hiyo ina maana hiyo barua ilioyo kuwa scan imetoka ofisi ya Mshana!
Assuming maelezo ya Sakina ni kweli, i.e. Mengi/Israel, namshauri akaombe kuajiriwa na gazeti la Uhuru, halafu aandike habari za kusifia CUF, CHADEMA etc
Sakina hili soo kajitakia mwenyewe.Wengi tukijiuliza hivi atakuwepo pale mpaka lini?Assuming maelezo ya Sakina ni kweli, i.e. Mengi/Israel, namshauri akaombe kuajiriwa na gazeti la Uhuru, halafu aandike habari za kusifia CUF, CHADEMA etc
It is indeed very sad to see sakina leae IPP Media.
It seems Mr MENGI is already in the claws of Zionists and this is dangerous for Tanzania!
We wait and see............but Mr Mengi is also very frienddly to Muslims..Will he agree if the Zionists tell him not to?
Wna Jamii nimesoma barua ya resignation ya Sakina Datoo kwend kwa boss wake amabayo ina mambo mengi sana, jamabo ambalo naomba kuuliza je alichokifanya Sakina kwa kuandika ile barua ambayo inamhusu yeye na mwajiri wake na kuipost Huku Jamii ni sawa!! Na je IPP hawana zile document za confidentiality, kwa sababu naona mengi aliyo yaandika mle ni internal information amabazo zilipaswa kuwa siri kai yake na mwajiri wake,
Does it add value sie tukiresign tupost zile barua humu
Naomba msaada
Wna Jamii nimesoma barua ya resignation ya Sakina Datoo kwend kwa boss wake amabayo ina mambo mengi sana, jamabo ambalo naomba kuuliza je alichokifanya Sakina kwa kuandika ile barua ambayo inamhusu yeye na mwajiri wake na kuipost Huku Jamii ni sawa!! Na je IPP hawana zile document za confidentiality, kwa sababu naona mengi aliyo yaandika mle ni internal information amabazo zilipaswa kuwa siri kai yake na mwajiri wake,
Does it add value sie tukiresign tupost zile barua humu
Naomba msaada