Mangi na penda kukupa pongezi sana kwa maelezo yako mafupi lakini yenye maana sana, ukweli kuwa wengi humu ndani wanakurupuka tuu kuhukumu watu bila sababu za msingi.
Lakini Tanzania kila jambo lina wezekana kwani siku mbili tumesikia Lema alivyo shinda kesi hivyo sina imani sana na watoa hukumu kwani hoja iliyo mfanya lema ashinde ilikuwa ndogo sana hata mimi ningeweza kuona kuwa hakupaswa kuvuliwa ubunge wake.
Ila ndio ilivyo tokea, turudi kwenye kesi ya Nguza na vijana wake, kuna wale wawili waliwekwa ndani pia kwa hukumu hiyo hiyo ila ilipo kwenda huku na kule ikaonekana hawakuhusika ni mahakama hizi hizi za tanzania zilifanya jambo hili. ukweli ni kwamba ningekuwa ni wale watoto ningeweza kufunga mashitaka kwa walio nizushia na kwa serekali pia kunifunga bila kosa.
Hivyo na imani kuwa hawa jamaa wameonewa sana hivyo kijana kama ameandika barua hiyo hakuna haja ya kumshambulia amesha sema mara nyingi hakuhusika sifahamu hao wanaotaka kwanza akiri kama alifanya au hakufanya wanataka kujua nini?
Lakini Tanzania kila jambo lina wezekana kwani siku mbili tumesikia Lema alivyo shinda kesi hivyo sina imani sana na watoa hukumu kwani hoja iliyo mfanya lema ashinde ilikuwa ndogo sana hata mimi ningeweza kuona kuwa hakupaswa kuvuliwa ubunge wake.
Ila ndio ilivyo tokea, turudi kwenye kesi ya Nguza na vijana wake, kuna wale wawili waliwekwa ndani pia kwa hukumu hiyo hiyo ila ilipo kwenda huku na kule ikaonekana hawakuhusika ni mahakama hizi hizi za tanzania zilifanya jambo hili. ukweli ni kwamba ningekuwa ni wale watoto ningeweza kufunga mashitaka kwa walio nizushia na kwa serekali pia kunifunga bila kosa.
Hivyo na imani kuwa hawa jamaa wameonewa sana hivyo kijana kama ameandika barua hiyo hakuna haja ya kumshambulia amesha sema mara nyingi hakuhusika sifahamu hao wanaotaka kwanza akiri kama alifanya au hakufanya wanataka kujua nini?