Sanda Matuta
JF-Expert Member
- May 9, 2007
- 949
- 134
- Thread starter
- #41
Unajua blogu ya JD ni ya habari nilichouliza mimi kuna maelezo yoyote kwenye blogu yake yanayoeleza jinsi anavyopokea habari na kuziweka kwenye blogu yake na jinsi watu wanavyoweza kutumia kazi za blogu hiyo ? najua kwamba ni blog spot kwahiyo watu wafuate maelezo ya blogger ambayo ni mali ya google lakini kulitakiwa kuwe na maelezo ya ziada haswa yanayoendana na sheria za nchi husika kama tanzania blogu na tovuti nyingi hazina hivyo hata jf haina terms of use ambayo inaendana na na mazingira ya tanzania
Sawa,sasa what is the bottom line?
Je unahisi chombo kama JF na hiyo Blog haziwezi kutumika kama vyombo vya habari?na kama hivyo ndivyo then umechelawa na hi alert kwani hao waandishi wetu habari nyingi wanazitoa humu humu mitandaoni