Barua ya Papii Kocha kwa JK

Lakini mbona hiyo barua ni very simpo one ..mie nimeisoma naona kama barua ya kawaida saaana ,,mheshimiwa anaweza kuisoma na kuweka pembeni ..hebu aandike nyingine yenye kuonyesha msisitizo ....
 
Lakini mbona hiyo barua ni very simpo one ..mie nimeisoma naona kama barua ya kawaida saaana ,,mheshimiwa anaweza kuisoma na kuweka pembeni ..hebu aandike nyingine yenye kuonyesha msisitizo ....

If he did na akasamehewa, je na wengine wenye issues kama yeye wasamehewe? why kwa nini?
 
Ninavyojua barua kama hiyo lazima ingegusia ni nini kimetokea na kwanini yeye anaona anastahili kusamehewa. Sasa unaomba tu msamaha kwa kigezo cha umri wakati pale kuna kosa la jinai, sidhani kama ni njia nzuri ya kuomba huo msamaha. Yeye ali appeal kwa vigezo fulani fulani vya kisheria. Atumie namna kama ile kuomba msamaha badala ya kuomba general tu kama vile alienda enda tu kuhukumiwa bila makosa.
 
Makulu,
ninacho jiuliza ni kwamba je,itakua 'immorality' ya Presedent wetu kufungua website kama mfano Jamii Forums au Blog ya Jaydee na zinginezo ambazo maudhui yake sio yale wengi wetu tuna ya-consider mabaya?
Huko akikuta malalamiko ya wananchi wake juu ya utawala wake na hata wale wenye kutafuta njia ya kuwasiliana nae wakati hawawezi kufanya hivyo (kama alivyo fanya Papii Kocha)wakati pale mezani anayo computer yenye access ya internet
 
Mwacheni ale mvua zake. kuna wangapi waliosingiziwa kesi na wanakula mvua bana. huyu mahakama imemuona ana hatia sasa hukumu inatenguliwa kwa kipande cha karatasi chenye maandishi yafananayo na barua?
 
Papii Kocha bana, sasa yeye badala ya kumtumia Bi Kidude anamtumia Jide. Yaani Bi kidude ni fasta akimwambia tu JK Zindukaa, papi kocha arudi mtaani Zinduka JK. Ni fasta tu.

Siku ya kiyama kuna watu hata kabla ya kuhukumiwa na Mwenyezi Mungu watajipeleka wenyewe motoni. Hasa washtaki wa uongo, mashahidi wa uongo, mahakimu waongo, mawakili waongo, na viongozi waongo wenye kulinda hadhi na uchungu binafsi badala ya haki yenye ukweli.

Je Papii Kocha msamaha ni wa nini? Kwa kosa lipi? Sheria ipi? Je ungeandika yote barua isingefika??????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????
 
Mwacheni ale mvua zake. kuna wangapi waliosingiziwa kesi na wanakula mvua bana. huyu mahakama imemuona ana hatia sasa hukumu inatenguliwa kwa kipande cha karatasi chenye maandishi yafananayo na barua?

Acheni kumfundisha kazi Mh. Presidenti.... yeye ndio anajua atafanya nini........ akiamua kumuongezea kifungu kama inawezekana badala cha maisha akampa kingine zaidi ya hicho cha maisha au kumuachia huru, kila mtu na bahati yake bwana mkubwa.
 
Makulu,
ninacho jiuliza ni kwamba je,itakua 'immorality' ya Presedent wetu kufungua website kama mfano Jamii Forums au Blog ya Jaydee na zinginezo ambazo maudhui yake sio yale wengi wetu tuna ya-consider mabaya?
Huko akikuta malalamiko ya wananchi wake juu ya utawala wake na hata wale wenye kutafuta njia ya kuwasiliana nae wakati hawawezi kufanya hivyo (kama alivyo fanya Papii Kocha)wakati pale mezani anayo computer yenye access ya internet

Kuna utaratibu wa kusoma blogu karibu zote zenye habari au vitu kuhusu tanzania na updates zake muda wowote zinapotoka kuhifadhiwa kwenye komputa na zingine huwa zina printiwa kwa ajili ya kufanyiwa kazi kwahiyo unavyoandika hivi ukafikiri imeisha angalia sana
 
Mie barua hii nahisi kama vile ni ya kizushi.,na kama ni ya kweli basi Lady JD amechemka kuiweka kwenye Blog yake kabla haijamfikia mkuu.,mchana wa leo nimesikia katika kipindi cha XXL Clouds FM kuwa JD alipewa barua hiyo aifikishe kwa mkuu, lakini kwa kuwa si rahisi yeye kuonana nae akaamua aipost kwanza kwenye Blog yake wakati juhudi za kuiwasilisha kwa mlengwa zinaendelea ili wananchi wasikie kilio cha Papii na labda mkuu mwenyewe anaweza kukutana nayo kwenye hiyo Blog.
Naamini hii barua ilikuwa ni ya Rais personal.,sasa imekuwaje huyu JD akaisoma tena na kuiweka kwenye mtandao kabla aliyeandikiwa hajaipokea?
 
......;

Naanguka na kushika miguu yako mitukufu muheshimiwa rais.
Na kuomba msaada (msamaha) kwako muheshimiwa rais


So inaamanisha Papii amekiri kosa (la kulawiti) na anaomba msamaha ili atoke jela.
Hivi utaratibu wa kupata msamaha wa rais huwa unakuwaje?
Unaandika barua(kama hiyo) au unaendelea kutumikia adhabu huku ukingojea huruma ya rais?
 
Hivi blogu ya jd kuna terms of use ya chochote anachoweka pale ? Je kuna maelezo ya ziada ya jinsi anavyopokea barua na mengine ambayo amebandikakwenye blogu yake ? Tukijua hilo litasaidia sana blogu nyingi hazina tou hata tovuti na forums hichi ni kitu cha kuangalia sana
 
Hivi blogu ya jd kuna terms of use ya chochote anachoweka pale ? Je kuna maelezo ya ziada ya jinsi anavyopokea barua na mengine ambayo amebandikakwenye blogu yake ? Tukijua hilo litasaidia sana blogu nyingi hazina tou hata tovuti na forums hichi ni kitu cha kuangalia sana

maelezo yako yana kanganya kidogo sijakuelewa mkuu
 
Barua iko too simple lakini kuna mambo mawili yamejificha hapa.

kwanza

Huyu nguza inawezekana kabisa hakutaka kuweka mambo hadhani, Kwa mfano hakutaka kuzungumzia kama alisingiziwa au la! Nafikiri ingekuwa si busara kama angesema kwamba "Mheshimiwa nisaheme kwa sababu nilisingiziwa ".

Vile vile issue hii ina muhusu Nguza na Muheshimiwa kwa hiyo chochote atakachoandika lzm kiandikwe kwa umakini.

pili

Inawezekana katenda na anaona chance iliyobakia ni Msamaha wa rais....

Kesi hii inamambo mengi ndani yake...

Nimesikiza maojiano ya mtoto wa nguza aliyetoka gerezani kwenye VOA nae pia kaongea too general.

lkn anasema anaamini 100% watatoka generani yani baba yake na Kaka yake.
tusibiri tuone mwisho wa hili...
 
maelezo yako yana kanganya kidogo sijakuelewa mkuu

Unajua blogu ya JD ni ya habari nilichouliza mimi kuna maelezo yoyote kwenye blogu yake yanayoeleza jinsi anavyopokea habari na kuziweka kwenye blogu yake na jinsi watu wanavyoweza kutumia kazi za blogu hiyo ? najua kwamba ni blog spot kwahiyo watu wafuate maelezo ya blogger ambayo ni mali ya google lakini kulitakiwa kuwe na maelezo ya ziada haswa yanayoendana na sheria za nchi husika kama tanzania blogu na tovuti nyingi hazina hivyo hata jf haina terms of use ambayo inaendana na na mazingira ya tanzania
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom