Na mimi hoja yangu ni kwamba, wengi wanaona haiingii akilini kwa kitu kama hicho kufanywa na mzazi akishirikiana na watoto wake!! Yaani, kama zile tuhuma ingekuwa ni za mzee peke yake, au Papii peke yake; kuna wengine labda wangeamini lakini wanapata taabu kuamini kusikia ulikuwa ni "mtungo" wa baba na wanae! Kutokana na hilo, ndio maana nikasema ikiwa watu kwenye imani zao za kishirikina wanafikia kulala na mama zao wazazi, sasa kuna lipi la ajabu mtu kushiriki mtungo na wanae? Lipi gumu? Kupiga mother au kupiga mtungo kwa kushirikiana na watoto wako? So, binafsi naamini kwamba katika hali ya kawaida, haiingii akilini mtu mzima kushiriki mtungo na wanae lakini linapokuja suala la ushirikika, yawezekana!