Barua ya Papii Kocha kwa JK

Barua ya Papii Kocha kwa JK

There is a need for this case to be reviewed ili kuondoa uncertainity ya JK kuhusika na Papee kocha kugombea mke n.k,Vingenevyo kama wamewekewa zengwe tu ni dhambi kubwa sana na si dhani kama JK anaweza kuwa na Roho ngumu kiAsi hiki muumini mwenzangu!!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Yule jamaa huwa simuamini hata chembe, anaweza akawaambia tembeeni mkatembea afu muda mfupi baadae akasema niliwaambia kimbieni.. ndimi nyingi yule...
 
Mkuu mengi huwa napishana na wewe ila kwa hili naungana na wewe mkono. mahakama ilithibitisha pasipo shaka yoyote kuwa hawa jamaa waliwalawiti watoto. Sijajua kwanini watu wanalichukulia hili jambo kisiasa?? Isitoshe hii makitu ilitokea hata kabla JK hajaingia madarakani.....

Swali kwa wanaopingana na hii hukumu... Ingekuwa ni watoto wao wamefanyiwa hivyo bado wangesema hii makitu ni ya kisiasa?? Tuache ushabiki kwenye mabo ya dhahiri.

Wanastahili kuwa hapo walipo kama kweli walifanya huo uhayawani!!
Tatizo letu tunachukulia maneno ya mitaani lakini mwenye akili zake anaweza kujiuliza, huyo mwanamke waliyekuwa wanamgombania ana cha nini mno cha kumfanya mtu anunue system mzima na kukomoa familia yote!! Angalau kuna wengine wanajiuliza kwamba haileti sense baba na wana wafanye jambo kama hilo; afadhali ingekuwa baba peke yake....lakini jaribu kumuuliza mtu anayehoji hivyo, kwamba je, unakubali kuna watu wanalala na mama zao wazazi kwa sababu za ushirikina....kwamba mganga kamuambia "if you want thisi, itabidi u- do na mama yako mzazi..."....wengi ukiwauliza hivi, wanakiri hayo mambo yapo sana; kisha mtu huyo huyo muulize, kama ndio wewe, umepewa option ama ya kulala na mama yako mzazi au ya kuvilawiti vitoto ukishirikiana na wanao; utakubali nini....wengi wanasema kulala na mana ngumu, heri upige mtungo vitoto.....lakini hapo hapo unakuta wanasema haiwezekani wakati wanakubali kabisa kwamba wapo watu wanaolala na mama zao!!!!! And by the way, ikiwa watu wanaweza kubaka mama zao wazazi, watashindwa nini kufanya walichofanya Nguza na wanae!!!

In short, pale hakuna lingine....ni ushirikina tu.....tusisahau wale ni wanamuziki ambao mara kwa mara walikuwa wanafanya kazi pamoja. So, kitu ambacho kinawezekana pale ni kwamba walipigiwa changa la macho na waganga wa kienyeji kwamba "if you wanna be at the top for long, do this, do that...!" Na waafrika kwa kuendekeza upuuzi, hatujambo!!
 
Hivi so far wametumikia adhabu kwa muda gani? Sijui kama nipo sahihi au laa lakini hainiingii akilini eti baba na wanawe watatu wenye akili timamu sehemu moja na kwa wakati mmoja wanawalawiti watoto kwa zamu tena tukio hilo kufanyika mara kadhaa kwa siku tofauti. Labda kama walikuwa wanayafanya hayo wakiwa wamelewa?
 
Ushahidi uliotolewa mahakamani haukuwa na nguvu ya kuwatia hatiani hao ndugu wote, ulionekana kama ushahidi wa kupikwa. Lakini kwasababu kesi ilimhusu Jk kwakuwa Nguza alikuwa anamla hawara yake ndo basi

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
mkuu mengi huwa napishana na wewe ila kwa hili naungana na wewe mkono. Mahakama ilithibitisha pasipo shaka yoyote kuwa hawa jamaa waliwalawiti watoto. Sijajua kwanini watu wanalichukulia hili jambo kisiasa?? Isitoshe hii makitu ilitokea hata kabla jk hajaingia madarakani.....

Swali kwa wanaopingana na hii hukumu... Ingekuwa ni watoto wao wamefanyiwa hivyo bado wangesema hii makitu ni ya kisiasa?? Tuache ushabiki kwenye mabo ya dhahiri.

Wanastahili kuwa hapo walipo kama kweli walifanya huo uhayawani!!

huna uhakika ndio maana unasema kama kwel walifanya, ajuaye ukwel ni mfungwa, anayedaiwa kutendewa na mungu tu, na kwa maneno na mantng'uniko hayo kama hawakushisirik mwisho wa mshitak ni mbaya,kama wanahusika wanazid kujipalia moto.kama alivyoomba mfungwa mwenyez mungu awe nao.
 
There is a need for this case to be reviewed ili kuondoa uncertainity ya JK kuhusika na Papee kocha kugombea mke n.k,Vingenevyo kama wamewekewa zengwe tu ni dhambi kubwa sana na si dhani kama JK anaweza kuwa na Roho ngumu kiAsi hiki muumini mwenzangu!!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Wairejee vipi wakati rufani walikata na ikasikilizwa lakini bado ikaonekana wana hatia kasoro dogo mmoja ambae ilikuja kuthibitika kwamba wakati yale yanatokea yeye alikuwa yupo mkoa....huyu aliachia lakini wengine wote wakaonekana wana hatia....!! Tena hata Mabere Marando ambae alikuwa ni Wakili wao aliwahi kuhojiwa kama yule dogo anaweza kudai fidia; nae akajibu "ili mradi yupo huru, hayo mengine aachane nayo" na wala hakuonesha kutoridhishwa na hukumu!
 
Tatizo letu tunachukulia maneno ya mitaani lakini mwenye akili zake anaweza kujiuliza, huyo mwanamke waliyekuwa wanamgombania ana cha nini mno cha kumfanya mtu anunue system mzima na kukomoa familia yote!! Angalau kuna wengine wanajiuliza kwamba haileti sense baba na wana wafanye jambo kama hilo; afadhali ingekuwa baba peke yake....lakini jaribu kumuuliza mtu anayehoji hivyo, kwamba je, unakubali kuna watu wanalala na mama zao wazazi kwa sababu za ushirikina....kwamba mganga kamuambia "if you want thisi, itabidi u- do na mama yako mzazi..."....wengi ukiwauliza hivi, wanakiri hayo mambo yapo sana; kisha mtu huyo huyo muulize, kama ndio wewe, umepewa option ama ya kulala na mama yako mzazi au ya kuvilawiti vitoto ukishirikiana na wanao; utakubali nini....wengi wanasema kulala na mana ngumu, heri upige mtungo vitoto.....lakini hapo hapo unakuta wanasema haiwezekani wakati wanakubali kabisa kwamba wapo watu wanaolala na mama zao!!!!! And by the way, ikiwa watu wanaweza kubaka mama zao wazazi, watashindwa nini kufanya walichofanya Nguza na wanae!!!

In short, pale hakuna lingine....ni ushirikina tu.....tusisahau wale ni wanamuziki ambao mara kwa mara walikuwa wanafanya kazi pamoja. So, kitu ambacho kinawezekana pale ni kwamba walipigiwa changa la macho na waganga wa kienyeji kwamba "if you wanna be at the top for long, do this, do that...!" Na waafrika kwa kuendekeza upuuzi, hatujambo!!

tatizo mahakama zetu haziaminiki ,zimepoteza kabisa uaminifu kwa wananchi, mimi ninachoshangaa kwanini wamseme FastJet kuhusika kwenye kesi hii tu wakati kesi kama hizi zimeamuliwa nyingi tu hapa nchini. Sipingi kuwa papii na wanae hawawezi kufanya vile lakini mahakama hata kama ilifikia uamuzi ule, sio uthibitisho kuwa kweli walifanya. Wao na FastJet ndo wanajua ukweli wa ishu hii. Kesi ngapi zimeamuliwa visivyo? Umesahau POLICCM waliotaka kumbambikia mtu fuvu la kichwa cha mtu morogoro? Je wangefanikiwa unadhani kesi ingeenda mahakamani ingeamuliwa nini? Kuna vitu hatuvijui kwenye kesi hii.
 
Tukumbuke hata wazazi wa watoto hao walikataa watoto wao hawakulawitiwa na wengi wao walikuwa mabikira. Uzuri ni kuwa watoto hao wapo na siku moja kwa umoja wao watajitokeza kuusema ukweli wanaoujua. Bado kidogo hili litimie.

hivi hakuna waliopata kuhudhuria hii kesi watupe maelezo zaidi?
 
kifungo cha maisha ni noma sana wEwe kama wakikunyima msamaha kunywa sumu ujifie
Mungu yupo atakusaidia 2 kaka
 
Wakati unabaka watoto wa watu uliona sawa eeeee, tena mimi ningekuwa JK baada ya kupokea hii barua ningeamuru aongezewe adhabu ya viboko vi5 kila asubuhi. Pumbavuuuuuuuuuuuu


Kamnanihii mwanasha au next x uone kama hujawekewa AK 47 chumbani wacha hao waliolawiti utajuta kuzaliwa bongo
 
BARUA YA PAPII KOCHA KWA RAIS JAKAYA
KIKWETE
YAH: MAOMBI YA KUPEWA MSAADA (MSAMAHA)
WA KUFUTIWA ADHABU YA KIFUNGO
NILIYOPEWA NA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI
KISUTU.
Husika na somo hilo hapo juu.
Mimi ni mfungwa katika gereza kuu Ukonga. Kwa
heshma na taadhima na kwa kutambua utu na
huruma yako ya kiMUNGU ulionayo dhidi ya
binadamu wenzako pamoja na mamlaka
uliokabidhiwa na Jamuhuri ya Muungano wa
Tanzania. Naanguka na kushika miguu yako
mitukufu muheshimiwa rais. Nakuomba msaada
(msamaha) kwako muheshimiwa rais, kwa njia hii
ya maandishi kusudi niweze kuondolewa adhabu
ya kifungo cha maishagerezani,niliyohukumiwa
na mahakama tajwa hapo juu. Mh.Rais mimi
nimefungwa nikiwa bado kijana mwenye umri
mdogo, na ukweli kutoka moyoni sikufanya kosa
hilo. Si mimi, baba yangu Nguza wala ndugu
yangu yeyote aliyefanya kitendo kile. Lakini
wenye mamlakawakatuona tuna hatia na kuamua
kuteketeza kizazi chetu gerezani.
Natamani kiama ifike ili mwenyezi Mungu aweke
wazi ukweli wote uliojificha nyuma ya pazia.
Mpaka sasa natambua wazi hatima pamoja na
dhamana ya maisha yangu ipo katika mikono
yako
mitukufu Mh. Rais Naomba huruma yako
muheshimiwa Rais maana mimi ni mtoto wako
ninaehitaji
huruma yako wewe mzazi. Lakini pia sisi ni
binadamu wenye nafsi na miili kama wengine.
Waliotumia mamlaka yao kutuweka gerezani nao
ni binadamu pia, wenye miili na nafsi. Ipo siku
nafsi zetu zitapaswa kutoa hesabu ya
tuliyoyafanya hapa duniani. wakati huo miili
yetu tunayoitumia
kunyanyasa wanyonge itakuwa imeoza
mavumbini.
Natumaini kauli yako ya mwisho ndio itakayoleta
pumzi ya uhai nafsini mwangu. Nakutakia kazi
njema, afya njema na maisha marefu.
Mungu akubariki.
Wako mtiifu
Mfungwa NO:836'04
JOHNSON
NGUZA (PAPII KOCHA)
.......
 
kwa hiyo wale watoto hawakufanyiwa hivyo vitendo ama hawakufanyiwa na kina nguza???..napatwa na maswali mengi niamini upande upi
 
BARUA YA PAPII KOCHA KWA RAIS JAKAYA
KIKWETE
YAH: MAOMBI YA KUPEWA MSAADA (MSAMAHA)
WA KUFUTIWA ADHABU YA KIFUNGO
NILIYOPEWA NA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI
KISUTU.
Husika na somo hilo hapo juu.
Mimi ni mfungwa katika gereza kuu Ukonga. Kwa
heshma na taadhima na kwa kutambua utu na
huruma yako ya kiMUNGU ulionayo dhidi ya
binadamu wenzako pamoja na mamlaka
uliokabidhiwa na Jamuhuri ya Muungano wa
Tanzania. Naanguka na kushika miguu yako
mitukufu muheshimiwa rais. Nakuomba msaada
(msamaha) kwako muheshimiwa rais, kwa njia hii
ya maandishi kusudi niweze kuondolewa adhabu
ya kifungo cha maishagerezani,niliyohukumiwa
na mahakama tajwa hapo juu. Mh.Rais mimi
nimefungwa nikiwa bado kijana mwenye umri
mdogo, na ukweli kutoka moyoni sikufanya kosa
hilo. Si mimi, baba yangu Nguza wala ndugu
yangu yeyote aliyefanya kitendo kile. Lakini
wenye mamlakawakatuona tuna hatia na kuamua
kuteketeza kizazi chetu gerezani.
Natamani kiama ifike ili mwenyezi Mungu aweke
wazi ukweli wote uliojificha nyuma ya pazia.
Mpaka sasa natambua wazi hatima pamoja na
dhamana ya maisha yangu ipo katika mikono
yako
mitukufu Mh. Rais Naomba huruma yako
muheshimiwa Rais maana mimi ni mtoto wako
ninaehitaji
huruma yako wewe mzazi. Lakini pia sisi ni
binadamu wenye nafsi na miili kama wengine.
Waliotumia mamlaka yao kutuweka gerezani nao
ni binadamu pia, wenye miili na nafsi. Ipo siku
nafsi zetu zitapaswa kutoa hesabu ya
tuliyoyafanya hapa duniani. wakati huo miili
yetu tunayoitumia
kunyanyasa wanyonge itakuwa imeoza
mavumbini.
Natumaini kauli yako ya mwisho ndio itakayoleta
pumzi ya uhai nafsini mwangu. Nakutakia kazi
njema, afya njema na maisha marefu.
Mungu akubariki.
Wako mtiifu
Mfungwa NO:836'04
JOHNSON
NGUZA (PAPII KOCHA)
.......


Inahuzunisha kwa kweli lakini hii barua imafikaje jamiiforums.
Na kingine hata hio barua ingesomwa rais hawez kutoa msamaha kwa baadhi ya uhalifu
 
Kama kweli hawakufanya hilo kosa basi sheria itende haki lakini kama walifanya ilo kosa sheria pia itende haki inayostahili.
 
Back
Top Bottom