Tatizo letu tunachukulia maneno ya mitaani lakini mwenye akili zake anaweza kujiuliza, huyo mwanamke waliyekuwa wanamgombania ana cha nini mno cha kumfanya mtu anunue system mzima na kukomoa familia yote!! Angalau kuna wengine wanajiuliza kwamba haileti sense baba na wana wafanye jambo kama hilo; afadhali ingekuwa baba peke yake....lakini jaribu kumuuliza mtu anayehoji hivyo, kwamba je, unakubali kuna watu wanalala na mama zao wazazi kwa sababu za ushirikina....kwamba mganga kamuambia "if you want thisi, itabidi u- do na mama yako mzazi..."....wengi ukiwauliza hivi, wanakiri hayo mambo yapo sana; kisha mtu huyo huyo muulize, kama ndio wewe, umepewa option ama ya kulala na mama yako mzazi au ya kuvilawiti vitoto ukishirikiana na wanao; utakubali nini....wengi wanasema kulala na mana ngumu, heri upige mtungo vitoto.....lakini hapo hapo unakuta wanasema haiwezekani wakati wanakubali kabisa kwamba wapo watu wanaolala na mama zao!!!!! And by the way, ikiwa watu wanaweza kubaka mama zao wazazi, watashindwa nini kufanya walichofanya Nguza na wanae!!!
In short, pale hakuna lingine....ni ushirikina tu.....tusisahau wale ni wanamuziki ambao mara kwa mara walikuwa wanafanya kazi pamoja. So, kitu ambacho kinawezekana pale ni kwamba walipigiwa changa la macho na waganga wa kienyeji kwamba "if you wanna be at the top for long, do this, do that...!" Na waafrika kwa kuendekeza upuuzi, hatujambo!!