Barua ya Papii Kocha kwa JK

Barua ya Papii Kocha kwa JK

kwa hiyo wale watoto hawakufanyiwa hivyo vitendo ama hawakufanyiwa na kina nguza???..napatwa na maswali mengi niamini upande upi

Chezea wakubwa wewe, hivi huwa unamsikia tena Ulimboka?
 
Inahuzunisha sana pale unapo fikiria kwamba familia ndio inateketea maana hakuna tena uridhi hapo au kuzaliana tena ili ukoo uendelee. Very sad
 
inauzunisha sana...ipo siku ukweli uta julikana hapahapa duniani...
 
Chezea wakubwa wewe, hivi huwa unamsikia tena Ulimboka?
kumbukumbu zangu ni kwamba vile vitoto vilihojiwa na mEDIA MBALIMBALI (ITV Ikiwamo) japo havikuoneshwa nyuso zao,na jinsi vilivyokua vinaelezea kama ni maigizo they deserve ''ACADEMY AWARD NOMINATION''
 
hata mi nliskia eti hawakutenda yale makosa ila walikula vya mkubwa,na sijui ukweli ni upi na mkubwa mwenyewe ni nani...haya maisha haya!acha tu
 
hata mi nliskia eti hawakutenda yale makosa ila walikula vya mkubwa,na sijui ukweli ni upi na mkubwa mwenyewe ni nani...haya maisha haya!acha tu

Na mim naskia mzee alikula ya mkubwa....
 
Ukitaka kujua hii nchi imeshikwa na wenyewe, niambie mara ya mwisho kusikia wimbo wao ule wa Salima uliishia wapi? Omba hata redioni kama mtapigiwa!
 
Huruma sana~! Inakerajeee kama si kweli??? Pole kwa familia hii kwa kweli!
 
Ukitaka kujua hii nchi imeshikwa na wenyewe, niambie mara ya mwisho kusikia wimbo wao ule wa Salima uliishia wapi? Omba hata redioni kama mtapigiwa!

Mkuu unamaanisha nini hapa mbona sijakuelewa?! Ina maana ule wimbo wa Salma ndio umesababaisha mpaka kizazi chote cha Nguza kinyee debe
 
Mkuu unamaanisha nini hapa mbona sijakuelewa?! Ina maana ule wimbo wa Salma ndio umesababaisha mpaka kizazi chote cha Nguza kinyee debe
Mtafute wakili wao Mabere Marando analo File lao mkuu!
 
Anaombaje msamaha wakati hajakiri kosa? Na akikiri kosa aongezewe miaka 60 jela na viboko juu. Unaomba msamaha wakati kifungo cha maisha hakina msamaha? Kiri hadharan kama uliwaumiza wale watoto .
 
Wakati unabaka watoto wa watu uliona sawa eeeee, tena mimi ningekuwa JK baada ya kupokea hii barua ningeamuru aongezewe adhabu ya viboko vi5 kila asubuhi. Pumbavuuuuuuuuuuuu

Wakati anawabaka hao watoto wewe ulimwona:shut-mouth:
 
Huyu na babake si nilisikia walifungwa kwa kusingiziwa na aliyetaka wafungwe ndie huyo huyo wanamuomba msamaha! hapo chacha mi sidhani kama itawezekana hii kitu kwani jamaa alijiapiza lazima waozee jela sidhani kilipizo chake mwenyewe anaweza kukivunja manake kinaweza kikamrudia yeye akimaliza utawla wake anaweza zamishwa....!

Bora mkuu umelisema hilo, na ndio maana katika barua yake amekuwa mwelevu wa kuomba msamaha yeye kama yeye , na bila kukili wala kukanusha.Na waungwana walisema ukweli huwa haufichiki na MUNGU si JK .:confused2:
 
Tatizo letu tunachukulia maneno ya mitaani lakini mwenye akili zake anaweza kujiuliza, huyo mwanamke waliyekuwa wanamgombania ana cha nini mno cha kumfanya mtu anunue system mzima na kukomoa familia yote!! Angalau kuna wengine wanajiuliza kwamba haileti sense baba na wana wafanye jambo kama hilo; afadhali ingekuwa baba peke yake....lakini jaribu kumuuliza mtu anayehoji hivyo, kwamba je, unakubali kuna watu wanalala na mama zao wazazi kwa sababu za ushirikina....kwamba mganga kamuambia "if you want thisi, itabidi u- do na mama yako mzazi..."....wengi ukiwauliza hivi, wanakiri hayo mambo yapo sana; kisha mtu huyo huyo muulize, kama ndio wewe, umepewa option ama ya kulala na mama yako mzazi au ya kuvilawiti vitoto ukishirikiana na wanao; utakubali nini....wengi wanasema kulala na mana ngumu, heri upige mtungo vitoto.....lakini hapo hapo unakuta wanasema haiwezekani wakati wanakubali kabisa kwamba wapo watu wanaolala na mama zao!!!!! And by the way, ikiwa watu wanaweza kubaka mama zao wazazi, watashindwa nini kufanya walichofanya Nguza na wanae!!!

In short, pale hakuna lingine....ni ushirikina tu.....tusisahau wale ni wanamuziki ambao mara kwa mara walikuwa wanafanya kazi pamoja. So, kitu ambacho kinawezekana pale ni kwamba walipigiwa changa la macho na waganga wa kienyeji kwamba "if you wanna be at the top for long, do this, do that...!" Na waafrika kwa kuendekeza upuuzi, hatujambo!!

Hiyo familia ni kutoka congo na style ya uchawi wa namna hiyo hakuna sema lingine.
 
Back
Top Bottom