Barua ya Malcom X: Huko Makka Saudi Arabia

Kwani mkuu kipindi Malcom anaenda Saudia si ulikua unaishi kule? Au umesahau tena
Mkuu ukweli mchungu,malcom x alifeli kuwaunganisha baba zetu.Alileta sera za kiarabu na uislamu kwa African american na akawagawa.Hana tofauti na Martin Luther King jr,alileta sera za wazungu na ukristo kwa African american na akawagawa.WOTE WALIFELI
 
Kibaraka wa waarabu na ndio maana waafrika weusi hawakumuelewa waliona anazingua.Kaukimbia uafrika na kuukumbatia uarabu,na katika hood na pan africanism alionekana snitch na kibaraka wa waarabu.Kama mwenzie martin luther king jr alivyokua kibaraka wa wazungu.
 
MKUU TOFAUTISHA WAHABESHI NA WANUBI NA MACHOTARA WA KIARABU NA KIHABESH NA KINUBI WANAOTAJWA KWENYE HADITHI ZA KIMAPOKEO ZA DINI YA KIARABU IITWAYO UISLAMU.....WAPO TOFAUTI NA WABANTU,KWA WAARABU WABANTU WOOTE NI ZANJI NA HOPELESS STUPID HUMAN BEING AND THEY DESERVED HELL..AU HUJAWAHI KUKAA NA WAARABU NA KUJUA IMANI ZAO NA MITAZAMO YAO YA KINAFIKI NA CHUKI DHIDI YA WABANTU
 

Attachments

  • Screenshot_20230421-113257_1.jpg
    20.6 KB · Views: 8
  • Screenshot_20230422-175358_1.jpg
    52.8 KB · Views: 10
Mkuu ukweli mchungu,malcom x alifeli kuwaunganisha baba zetu.Alileta sera za kiarabu na uislamu kwa African american na akawagawa.Hana tofauti na Martin Luther King jr,alileta sera za wazungu na ukristo kwa African american na akawagawa.WOTE WALIFELI
1. Malcom X amesababisha takriban weusi milioni 3 wasilimu

2. Weusi hao walikua wakiuana wenyewe kwa wenyewe makundi ya vijana na Magangster, muda mwingine wanaspend jela kuliko Uraiani

3. Uisilamu umekua chanzo kikubwa cha kubadilisha vijana jela za Marekani, kutoka kua wauaji na wasiotii sheria mpaka kua raia wazuri.

Ulikua ukiona raha weusi kuuana wenyewe kwa wenyewe?
 
Mkuu hizo story tu za kufikirika,maana hayo maisha ya unaowaita wamesilimu hayana tofauti na hapo kabla in every angle of their life including my homie,s up there.Labda kama wamebadilisha majina tu na kuchukua majina ya kiarabu hapo sawa.
 
Hicho ulichokiongea kinahusiana nini na comment yangu?

Luqman ameishi muda ambao hata Yesu Hajazaliwa, maelfu ya miaka kabla ya Yesu. Kabla weusi wa Ethiopia hawajachanganika kama unavyowaona Leo.

Pia Tunaongelea Uisilamu na Quran kama jamaa wa juu alivyoongea naona mpo busy kuleta Nonsense zisizohusiana na Uisilamu, Sheria zote za kiisilamu zinafuata Quran na Sunnah
 
Nimekutumia attachment,unaweza kuzifafanua,kama wewe ni mkweli na sio mnafiki au shabiki tu wa kidini mkuu???
 
Mannigga waote walioslimu wakiwa jela,wakitoka hawana tofauti na manigga waliobaki kwenye hood,s.Au hujui mkuu???
 
Ethiopia hakuna weusi(Wabantu) mkuu bali walikaa wanubi,kabla ya waabeshi.Au hujui mkuu???
 
Mkuu hizo story tu za kufikirika,maana hayo maisha ya unaowaita wamesilimu hayana tofauti na hapo kabla in every angle of their life including my homie,s up there.Labda kama wamebadilisha majina tu na kuchukua majina ya kiarabu hapo sawa.
Kwa Hio wewe unajua kuliko Serikali ya Marekani?
 
Uislamu wa kiarabu haujafanya manigga kuacha street violence,bali ni pan africanisim (Bantu ideology)ndio inaporomote peace.Au hujui mkuu???
 
Attachment ya Quran na Sunnah? Ama hata hujui Quran na Sunnah? Unajiita Msomi wakati hata kufanya Citation hujui
Mm msomi wa tamaduni za kibantu (BANGINDA) na sio msomi wa tamaduni za kiarabu(UISLAMU) ambao walikua wakoloni huku kwetu mkuu.
 
Alipoteaga
 
Ethiopia hakuna weusi(Wabantu) mkuu bali walikaa wanubi,kabla ya waabeshi.Au hujui mkuu???
We ndo kilaza usieelewa,

Ethiopia sio pure black sababu wamechanganyika na race nyengine, Huyo Luqman yupo hapo kabla hata Aksum Empire haijakuepo, ni zamani sana hata kabla Ethiopia hawajatawala Yemen ama wayahudi kuja Ethiopia, na Alikua mweusi kama vitabu vinavyosema.

Mfano wake unachobisha hapa ni kama mkaazi wa Zanzibar miaka 3000 iliopita useme alikuwa ni Mpemba, haimake sense sababu Mpemba kapAtikana kwa mchanganyiko wa Mwarabu na mbantu baada ya Waoman kwenda zanzibar miaka Mia kadhaa iliopita,

Hakukua na mhabesh miaka zaidi ya 3000 iliopita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…