kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 11,120
- 24,395
Imagine hii ndo barua iliyotolewa na polisi makao makuu kuhusu hali ya ndani ya nchi.
Ndo maana tunasema tusomeshe watoto wetu shule nzuri na wasome elimu kuliko hizo aibu za kutojua lugha za watu.
Haya ndo madhara ya kuajiri watu waliopata zero form 4
Barua imetoka makao makuu ambapo ndo roho ya nchi ilipo, bora wangeandika kwa kiswahili tu hii ni aibu kabisa.
Nalia mimi baba yenu.
Ndo maana tunasema tusomeshe watoto wetu shule nzuri na wasome elimu kuliko hizo aibu za kutojua lugha za watu.
Haya ndo madhara ya kuajiri watu waliopata zero form 4
Barua imetoka makao makuu ambapo ndo roho ya nchi ilipo, bora wangeandika kwa kiswahili tu hii ni aibu kabisa.
Nalia mimi baba yenu.