GeoMex
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 5,431
- 19,776
Mkuuu hayo ndo mambo ya wakati huo. Watu walikua watukufu....hata huu uheshimiwa ufutiliwe mbaliDuh, Mtukufu Rais?
Hongera sana mkuu Pohamba kweli historia haidanganyi. Ndio maana hata hivi sasa huu ukimya wa mwigulu nadhani anasoma upepo. Na akipenya hapo atakuwa chuma cha pua kwelikweli. Wizara vichomi hizo