Barua ya Kighoma Malima kujiuzulu, amlaumu Kikwete

FAKE NEWS

Member
Feb 16, 2017
59
160
Soma kwa makini hii barua kisha tuambie umejifunza nini? Na kwa nini zamani mawaziri walikuwa wanajibika kuliko siku hizi?
418f810e-db0d-4fd7-ae51-0938f5f2d477.jpg
 
Jk ni Mwanasiasa na hiyo ndio ilikuwa Kick yake 1995 mpaka akaingia 3 bora ya Mbio za Urais kwa kuwa alionekana ni Mwanasiasa Jasiri ( alikuwa na Miaka 5 tu Kama Waziri akiwa na Miaka 45) kumtuhumu Mwanasiasa Kama Prof Kighoma Tena wa Enzi zile

Prof Malima alikuwa Mjenzi mzuri sana wa hoja lakin tusisahau Jk alikuwa anasoma Majibu ya CAG sio Mawazo yake

Zile zilikuwa Figisu za Mbio za Urais 1995 huku ikionekana Prof Malima alikuwa na nia ya Urais!

Kwny Siasa zetu kuonesha Nia ya kuwania Urais ni Changamoto sana


Kwa haraka haraka naweza kusema Jk ndio Waziri Pekee wa Fedha kwa zaid ya Miaka 20 aliyetoka pale Hazina bila ya Msuko suko

Kighoma Malima, Wizara ya Fedha ndio chanzo cha kupotea

Prof Simon Mbilinyi 1996 Wizara ya Fedha ndio chanzo cha kupotea kisiasa

Daniel Yona na Mramba Wizara ya Fedha ndio chanzo cha Matatizo ya kufungwa yaliyomkuta

Zakhia Hamdani Meghji Wizara ya Fedha ndio chanzo cha kupotea 2007

Mustapha Mkulo Wizara ya Fedha ndio iliyosababisha akapotea

William Mgimwa Wizara ya Fedha ndio ilipelekea Kifo chake

Jk ndio pekee kafanikiwa kutoka Treasury na kuendelea na Siasa zake Tangu 1990!
 
Jk ni Mwanasiasa na hiyo ndio ilikuwa Kick yake 1995 mpaka akaingia 3 bora ya Mbio za Urais kwa kuwa alionekana ni Mwanasiasa Jasiri ( alikuwa na Miaka 5 tu Kama Waziri akiwa na Miaka 45) kumtuhumu Mwanasiasa Kama Prof Kighoma Tena wa Enzi zile

Prof Malima alikuwa Mjenzi mzuri sana wa hoja lakin tusisahau Jk alikuwa anasoma Majibu ya CAG sio Mawazo yake

Zile zilikuwa Figisu za Mbio za Urais 1995 huku ikionekana Prof Malima alikuwa na nia ya Urais!

Kwny Siasa zetu kuonesha Nia ya kuwania Urais ni Changamoto sana
......siasa kitu mbaya sana.
 
Jk ni Mwanasiasa na hiyo ndio ilikuwa Kick yake 1995 mpaka akaingia 3 bora ya Mbio za Urais kwa kuwa alionekana ni Mwanasiasa Jasiri ( alikuwa na Miaka 5 tu Kama Waziri akiwa na Miaka 45) kumtuhumu Mwanasiasa Kama Prof Kighoma Tena wa Enzi zile

Prof Malima alikuwa Mjenzi mzuri sana wa hoja lakin tusisahau Jk alikuwa anasoma Majibu ya CAG sio Mawazo yake

Zile zilikuwa Figisu za Mbio za Urais 1995 huku ikionekana Prof Malima alikuwa na nia ya Urais!

Kwny Siasa zetu kuonesha Nia ya kuwania Urais ni Changamoto sana


Kwa haraka haraka naweza kusema Jk ndio Waziri Pekee wa Fedha kwa zaid ya Miaka 20 aliyetoka pale Hazina bila ya Msuko suko

Kighoma Malima, Wizara ya Fedha ndio chanzo cha kupotea

Prof Simon Mbilinyi 1996 Wizara ya Fedha ndio chanzo cha kupotea kisiasa

Daniel Yona na Mbilinyi Wizara ya Fedha ndio chanzo cha Matatizo ya kufungwa yaliyomkuta

Zakhia Hamdani Meghji Wizara ya Fedha ndio chanzo cha kupotea 2007

Mustapha Mkulo Wizara ya Fedha ndio iliyosababisha akapotea

William Mgimwa Wizara ya Fedha ndio ilipelekea Kifo chake

Jk ndio pekee kafanikiwa kutoka Treasury na kuendelea na Siasa zake Tangu 1990!
Phillip Mpango anaelekea kuzama na kufata nyayo za wenzake.
 
Jk ni Mwanasiasa na hiyo ndio ilikuwa Kick yake 1995 mpaka akaingia 3 bora ya Mbio za Urais kwa kuwa alionekana ni Mwanasiasa Jasiri ( alikuwa na Miaka 5 tu Kama Waziri akiwa na Miaka 45) kumtuhumu Mwanasiasa Kama Prof Kighoma Tena wa Enzi zile

Prof Malima alikuwa Mjenzi mzuri sana wa hoja lakin tusisahau Jk alikuwa anasoma Majibu ya CAG sio Mawazo yake

Zile zilikuwa Figisu za Mbio za Urais 1995 huku ikionekana Prof Malima alikuwa na nia ya Urais!

Kwny Siasa zetu kuonesha Nia ya kuwania Urais ni Changamoto sana


Kwa haraka haraka naweza kusema Jk ndio Waziri Pekee wa Fedha kwa zaid ya Miaka 20 aliyetoka pale Hazina bila ya Msuko suko

Kighoma Malima, Wizara ya Fedha ndio chanzo cha kupotea

Prof Simon Mbilinyi 1996 Wizara ya Fedha ndio chanzo cha kupotea kisiasa

Daniel Yona na Mbilinyi Wizara ya Fedha ndio chanzo cha Matatizo ya kufungwa yaliyomkuta

Zakhia Hamdani Meghji Wizara ya Fedha ndio chanzo cha kupotea 2007

Mustapha Mkulo Wizara ya Fedha ndio iliyosababisha akapotea

William Mgimwa Wizara ya Fedha ndio ilipelekea Kifo chake

Jk ndio pekee kafanikiwa kutoka Treasury na kuendelea na Siasa zake Tangu 1990!
Embu tufafanulie juu ya uhusiano wa kifo cha mgimwa na uwazir wa fedha
 
Back
Top Bottom