......siasa kitu mbaya sana.Jk ni Mwanasiasa na hiyo ndio ilikuwa Kick yake 1995 mpaka akaingia 3 bora ya Mbio za Urais kwa kuwa alionekana ni Mwanasiasa Jasiri ( alikuwa na Miaka 5 tu Kama Waziri akiwa na Miaka 45) kumtuhumu Mwanasiasa Kama Prof Kighoma Tena wa Enzi zile
Prof Malima alikuwa Mjenzi mzuri sana wa hoja lakin tusisahau Jk alikuwa anasoma Majibu ya CAG sio Mawazo yake
Zile zilikuwa Figisu za Mbio za Urais 1995 huku ikionekana Prof Malima alikuwa na nia ya Urais!
Kwny Siasa zetu kuonesha Nia ya kuwania Urais ni Changamoto sana
Phillip Mpango anaelekea kuzama na kufata nyayo za wenzake.Jk ni Mwanasiasa na hiyo ndio ilikuwa Kick yake 1995 mpaka akaingia 3 bora ya Mbio za Urais kwa kuwa alionekana ni Mwanasiasa Jasiri ( alikuwa na Miaka 5 tu Kama Waziri akiwa na Miaka 45) kumtuhumu Mwanasiasa Kama Prof Kighoma Tena wa Enzi zile
Prof Malima alikuwa Mjenzi mzuri sana wa hoja lakin tusisahau Jk alikuwa anasoma Majibu ya CAG sio Mawazo yake
Zile zilikuwa Figisu za Mbio za Urais 1995 huku ikionekana Prof Malima alikuwa na nia ya Urais!
Kwny Siasa zetu kuonesha Nia ya kuwania Urais ni Changamoto sana
Kwa haraka haraka naweza kusema Jk ndio Waziri Pekee wa Fedha kwa zaid ya Miaka 20 aliyetoka pale Hazina bila ya Msuko suko
Kighoma Malima, Wizara ya Fedha ndio chanzo cha kupotea
Prof Simon Mbilinyi 1996 Wizara ya Fedha ndio chanzo cha kupotea kisiasa
Daniel Yona na Mbilinyi Wizara ya Fedha ndio chanzo cha Matatizo ya kufungwa yaliyomkuta
Zakhia Hamdani Meghji Wizara ya Fedha ndio chanzo cha kupotea 2007
Mustapha Mkulo Wizara ya Fedha ndio iliyosababisha akapotea
William Mgimwa Wizara ya Fedha ndio ilipelekea Kifo chake
Jk ndio pekee kafanikiwa kutoka Treasury na kuendelea na Siasa zake Tangu 1990!
Embu tufafanulie juu ya uhusiano wa kifo cha mgimwa na uwazir wa fedhaJk ni Mwanasiasa na hiyo ndio ilikuwa Kick yake 1995 mpaka akaingia 3 bora ya Mbio za Urais kwa kuwa alionekana ni Mwanasiasa Jasiri ( alikuwa na Miaka 5 tu Kama Waziri akiwa na Miaka 45) kumtuhumu Mwanasiasa Kama Prof Kighoma Tena wa Enzi zile
Prof Malima alikuwa Mjenzi mzuri sana wa hoja lakin tusisahau Jk alikuwa anasoma Majibu ya CAG sio Mawazo yake
Zile zilikuwa Figisu za Mbio za Urais 1995 huku ikionekana Prof Malima alikuwa na nia ya Urais!
Kwny Siasa zetu kuonesha Nia ya kuwania Urais ni Changamoto sana
Kwa haraka haraka naweza kusema Jk ndio Waziri Pekee wa Fedha kwa zaid ya Miaka 20 aliyetoka pale Hazina bila ya Msuko suko
Kighoma Malima, Wizara ya Fedha ndio chanzo cha kupotea
Prof Simon Mbilinyi 1996 Wizara ya Fedha ndio chanzo cha kupotea kisiasa
Daniel Yona na Mbilinyi Wizara ya Fedha ndio chanzo cha Matatizo ya kufungwa yaliyomkuta
Zakhia Hamdani Meghji Wizara ya Fedha ndio chanzo cha kupotea 2007
Mustapha Mkulo Wizara ya Fedha ndio iliyosababisha akapotea
William Mgimwa Wizara ya Fedha ndio ilipelekea Kifo chake
Jk ndio pekee kafanikiwa kutoka Treasury na kuendelea na Siasa zake Tangu 1990!
Soma kwa makini hii barua kisha tuambie umejifunza nini? Na kwa nini zamani mawaziri walikuwa wanajibika kuliko siku hizi?
View attachment 511436
Embu tufafanulie juu ya uhusiano wa kifo cha mgimwa na uwazir wa fedha
Watu wanaongea mambo ya maana wewe unakazania mdini mdini jenga hoja sio alikuwa alikuwa inakusaidia nini wewe?Prof. angekuwepo hadi leo sijui hali ingekuaje. Maana jamaa alikuwa mdini aliyepindukia Lipumba ni cha mtoto.