Barua ya Kighoma Malima kujiuzulu, amlaumu Kikwete

Hawezi kumzidi Nyerere na huyu wa sasa kwa udini mkuu. Nyerere na huyu wa sasa wamepitiliza mkuu.
Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza. Nyerere hakuwa na rundo la wasomi kama hawa wa miaka ya sasa. Tanzania haikuwa na wingi wa vyuo vikuu. Kiuhalisia ni kwamba Nyerere alipata taabu miaka ile kwa sababu ya uhaba wa watu wenye kuweza kumpa ushauri wa kisomi na wenye mantiki.

Huyu wa sasa anao wigo wa wenye uwezo, na sio dhambi kwake kuwakumbuka baadhi ya jamaa zake, kwani uzoefu wa afrika ndio ulivyo. Lakini waislam wapo wengi tu tena kwenye nafasi nyeti. Mmoja wa washauri wake wa karibu ni muislam, na ni kichwa kweli kweli, amekabidhiwa mamlaka moja nyeti.
 
Kweli Nyerere alikuwa mdini sana, hebu fikiria kataifisha shule za kanisa ili waislamu wasone bila kusilimishwa huu ni udini wa kiwango cha juu sana haijapata kutokea.

Mchina wa jF.
Na washawasha!
Yaani uzembe wa kwenye malezi ya kaya moja moja, unageuzwa kuwa ndio udini wa Mwalimu Nyerere!.

Mtu kaweka msisitizo kwenye kuzaa tu bila ya kulea vyema hao wanaozaliwa halafu maisha yakiwashinda hao watoto, lawama zote anabebeshwa RIP Julius Nyerere!!.
 
Kweli Nyerere alikuwa mdini sana, hebu fikiria kataifisha shule za kanisa ili waislamu wasone bila kusilimishwa huu ni udini wa kiwango cha juu sana haijapata kutokea.

Mchina wa jF.
Na washawasha!

Mkuu rejea kwenye historia ya elimu Afrika Mashariki utaelewa kwanini shule za kanisa zilitaifishwa. Ukweli ni kuwa toka wakati wa ukoloni shule za kanisa zilikuwa zinaendeshwa kwa ruzuku toka serikalini. Sasa tulipopata uhuru ikawa ni vigumu kutoa fedha moja kwa moja kuzipa hizi shule ndio maana ili kuzinusuru hizi shule ikabidi zitaifishwe kwa ahadi ya kuzirudisha kwenye makanisa hapo hali itakapotengemaa. Cha kustaajabisha shule nyingi za kanisa zimerudishwa kwa wamiliki wake ilhali zile za Waislamu bado zinamilikiwa na serikali.
 
Acha kupiga chenga ya mwili, pwenti hapa mi kuwa kutaifishwa kulipunguza waislamu wasomi wa aina ya mh Yusuph Makamba. Maana wa aina yake ni wachache wengine walibatizwa na kuwa wakristu na hawakurudi nyuma tena.
Katika mazingira kama haya bado wale wakereketwa wa niwa dini yetu humlaumu ndg JK Nyerere eti ni mdini, oshie ni kazi kweikwei.


Mchina wa jF.
Na washawasha!

Mkuu rejea kwenye historia ya elimu Afrika Mashariki utaelewa kwanini shule za kanisa zilitaifishwa. Ukweli ni kuwa toka wakati wa ukoloni shule za kanisa zilikuwa zinaendeshwa kwa ruzuku toka serikalini. Sasa tulipopata uhuru ikawa ni vigumu kutoa fedha moja kwa moja kuzipa hizi shule ndio maana ili kuzinusuru hizi shule ikabidi zitaifishwe kwa ahadi ya kuzirudisha kwenye makanisa hapo hali itakapotengemaa. Cha kustaajabisha shule nyingi za kanisa zimerudishwa kwa wamiliki wake ilhali zile za Waislamu bado zinamilikiwa na serikali.
 
Mkuu uwe basi mlaini katika kuelewa, hivi hujui kuwa kuna lugha hapa duniani maandishi huazia kulia kuelekea kushoto. Henu soma hii post yangu tena anzia kushoto kuelekea kulia utanisoma.

Mchina wa jF.
Na washawasha!

Yaani uzembe wa kwenye malezi ya kaya moja moja, unageuzwa kuwa ndio udini wa Mwalimu Nyerere!.

Mtu kaweka msisitizo kwenye kuzaa tu bila ya kulea vyema hao wanaozaliwa halafu maisha yakiwashinda hao watoto, lawama zote anabebeshwa RIP Julius Nyerere!!.
 
Kumbe yale mambo ya kuchanganya/mix neno haruni.

Mchina wa jF
Na washawasha!
Mkuu niliwahi kuisikia hiyo. Kwamba mzee Rukhsa alikaa na RIP Haruni yule polisi, akaanza kuimwaga hadharani mikakati ya siri, baadae akaja kugundua kuwa Haruni aliyeongea naye ni mkatoliki mzuri tena aliyekuwa akisali pale Saint Joseph.

Kaka Sheping kumbe wewe ni mhenga fulani.....hahahaha.
 
Alianza Kigoma...akafata Dr Salim Ahmed akaja Dr Omar Ali juma na baadae Lowassa akaambiwa wacha nianze mie then utafata....kilicho fata ni historia
Mbio za ikulu haziachi watu salama
 
Back
Top Bottom