Barua ya Kighoma Malima kujiuzulu, amlaumu Kikwete

Jk ni Mwanasiasa na hiyo ndio ilikuwa Kick yake 1995 mpaka akaingia 3 bora ya Mbio za Urais kwa kuwa alionekana ni Mwanasiasa Jasiri ( alikuwa na Miaka 5 tu Kama Waziri akiwa na Miaka 45) kumtuhumu Mwanasiasa Kama Prof Kighoma Tena wa Enzi zile

Prof Malima alikuwa Mjenzi mzuri sana wa hoja lakin tusisahau Jk alikuwa anasoma Majibu ya CAG sio Mawazo yake

Zile zilikuwa Figisu za Mbio za Urais 1995 huku ikionekana Prof Malima alikuwa na nia ya Urais!

Kwny Siasa zetu kuonesha Nia ya kuwania Urais ni Changamoto sana


Kwa haraka haraka naweza kusema Jk ndio Waziri Pekee wa Fedha kwa zaid ya Miaka 20 aliyetoka pale Hazina bila ya Msuko suko

Kighoma Malima, Wizara ya Fedha ndio chanzo cha kupotea

Prof Simon Mbilinyi 1996 Wizara ya Fedha ndio chanzo cha kupotea kisiasa

Daniel Yona na Mramba Wizara ya Fedha ndio chanzo cha Matatizo ya kufungwa yaliyomkuta

Zakhia Hamdani Meghji Wizara ya Fedha ndio chanzo cha kupotea 2007

Mustapha Mkulo Wizara ya Fedha ndio iliyosababisha akapotea

William Mgimwa Wizara ya Fedha ndio ilipelekea Kifo chake

Jk ndio pekee kafanikiwa kutoka Treasury na kuendelea na Siasa zake Tangu 1990!
sema alikaa wizara hii kipindi kifupi sana .
 
Hiyo Barua ilikuwa kaandikiwa Rais wa Jamhuri wa wakati huo, inawezekana pia imevujia Jumba jeupe
Acjhilia mbali "KUVUJIA" jumba jeupe, hii ni presidential document, lazima iko kwenye faili pale jumba jeupe kwa kumbukumbu. Hilo usiwe na shaka nalo!
 
Jk ni Mwanasiasa na hiyo ndio ilikuwa Kick yake 1995 mpaka akaingia 3 bora ya Mbio za Urais kwa kuwa alionekana ni Mwanasiasa Jasiri ( alikuwa na Miaka 5 tu Kama Waziri akiwa na Miaka 45) kumtuhumu Mwanasiasa Kama Prof Kighoma Tena wa Enzi zile

Prof Malima alikuwa Mjenzi mzuri sana wa hoja lakin tusisahau Jk alikuwa anasoma Majibu ya CAG sio Mawazo yake

Zile zilikuwa Figisu za Mbio za Urais 1995 huku ikionekana Prof Malima alikuwa na nia ya Urais!

Kwny Siasa zetu kuonesha Nia ya kuwania Urais ni Changamoto sana


Kwa haraka haraka naweza kusema Jk ndio Waziri Pekee wa Fedha kwa zaid ya Miaka 20 aliyetoka pale Hazina bila ya Msuko suko

Kighoma Malima, Wizara ya Fedha ndio chanzo cha kupotea

Prof Simon Mbilinyi 1996 Wizara ya Fedha ndio chanzo cha kupotea kisiasa

Daniel Yona na Mramba Wizara ya Fedha ndio chanzo cha Matatizo ya kufungwa yaliyomkuta

Zakhia Hamdani Meghji Wizara ya Fedha ndio chanzo cha kupotea 2007

Mustapha Mkulo Wizara ya Fedha ndio iliyosababisha akapotea

William Mgimwa Wizara ya Fedha ndio ilipelekea Kifo chake

Jk ndio pekee kafanikiwa kutoka Treasury na kuendelea na Siasa zake Tangu 1990!
Duuuh hatari sana
 
Hata prof Simon Mbilinyi hakutumiza hata Mwaka lakin alichomoka kwa kshfa
JK alikaa wizara hii kipindi cha kuelekea uchaguzi ,kumbuka mpaka kuelekea uchaguzi ndani ya CCM zilishawaka yeye na katibu mkuu wa chama Mhagama ,pamoja na waziri mkuu wake Msuya .Kumbuka hiki ndicho kilichomyima ushindi ndani ya CCM wakati wanarudia na Mkapa kwani wale wafuasi wa Msuya walihamishia kula zao kwa mkapa
 
Jk ni Mwanasiasa na hiyo ndio ilikuwa Kick yake 1995 mpaka akaingia 3 bora ya Mbio za Urais kwa kuwa alionekana ni Mwanasiasa Jasiri ( alikuwa na Miaka 5 tu Kama Waziri akiwa na Miaka 45) kumtuhumu Mwanasiasa Kama Prof Kighoma Tena wa Enzi zile

Prof Malima alikuwa Mjenzi mzuri sana wa hoja lakin tusisahau Jk alikuwa anasoma Majibu ya CAG sio Mawazo yake

Zile zilikuwa Figisu za Mbio za Urais 1995 huku ikionekana Prof Malima alikuwa na nia ya Urais!

Kwny Siasa zetu kuonesha Nia ya kuwania Urais ni Changamoto sana


Kwa haraka haraka naweza kusema Jk ndio Waziri Pekee wa Fedha kwa zaid ya Miaka 20 aliyetoka pale Hazina bila ya Msuko suko

Kighoma Malima, Wizara ya Fedha ndio chanzo cha kupotea

Prof Simon Mbilinyi 1996 Wizara ya Fedha ndio chanzo cha kupotea kisiasa

Daniel Yona na Mramba Wizara ya Fedha ndio chanzo cha Matatizo ya kufungwa yaliyomkuta

Zakhia Hamdani Meghji Wizara ya Fedha ndio chanzo cha kupotea 2007

Mustapha Mkulo Wizara ya Fedha ndio iliyosababisha akapotea

William Mgimwa Wizara ya Fedha ndio ilipelekea Kifo chake

Jk ndio pekee kafanikiwa kutoka Treasury na kuendelea na Siasa zake Tangu 1990!


Hivi mama Saada Mkuya yuko wapi siku hizi?

Ama kweli wizara ya Fedha na wizara ya Polisi(Mambo ya Ndani/Usalama wa Raia) huwa ni mtego wa kisiasa. Yani ukichemka kidogo tu ndo mwisho wa "Political career " yako
 
JK alikaa wizara hii kipindi cha kuelekea uchaguzi ,kumbuka mpaka kuelekea uchaguzi ndani ya CCM zilishawaka yeye na katibu mkuu wa chama Mhagama ,pamoja na waziri mkuu wake Msuya .Kumbuka hiki ndicho kilichomyima ushindi ndani ya CCM wakati wanarudia na Mkapa kwani wale wafuasi wa Msuya walihamishia kula zao kwa mkapa

Hapo Mhagama nadhani ni typing error ulimaanisha Lawrence Gama!

Mie nilikuwa nazungumzia Kashkash za Wizara ya Fedha kwa Mawaziri mbalimbali sio hekaheka za Uchaguzi ngazi ya Chama !
 
Hivi mama Saada Mkuya yuko wapi siku hizi?

Ama kweli wizara ya Fedha na wizara ya Polisi(Mambo ya Ndani/Usalama wa Raia) huwa ni mtego wa kisiasa. Yani ukichemka kidogo tu ndo mwisho wa "Political career " yako

Sahihi kabisa!

Saada Mkuya yupo yupo tu Siku hizi kazi yake kupiga ukelele wa ndiooooooo na kuuliza Maswali ya nyongeza
Lawrence Masha, Augustine Mrema, Joseph Mungai , Amran Mayagila, Muhidin Kimario, Ally Ameir Mohamed, Omar Ramadhan Mapuri, Harith Bakari Mwapachu, Charles Kitwanga, Dkt Nchimbi wote MSINGI wa kupotea kwao kumetokana na kuwa kwao Mawaziri wa Mambo ya Ndani/ Usalama wa Raia,

hata Mzee Ally Hassan Mwinyi alishapotea kwa kujiuzulu akiwa Wizara ya Mambo ya ndani sema tu Fitna za Seif Sharif kwa Aboud Jumbe from no where zikamuibua Tena Mzee Ruksa 1984 kwa Ushauri wa Hayati Sheikh Thabit Kombo Katibu wa Mwisho wa ASP na Mtu aliepigwa risasi akiwa na Mzee Abeid Karume 1972 sema tu Siku yake ilikuwa haijafika ndie alimshauri Nyerere nafasi ya Jumbe apewe Mwinyi na si Seif Sharif kutuliza vurugu Visiwani

Mwigulu akivuka salama hapo huenda akawa Mkubwa zaid mbele ya safari japo Makombora ya kumtungua yameashaanza kujaribiwa na si rahisi kuyakwepa yote
 
Hivi mama Saada Mkuya yuko wapi siku hizi?

Ama kweli wizara ya Fedha na wizara ya Polisi(Mambo ya Ndani/Usalama wa Raia) huwa ni mtego wa kisiasa. Yani ukichemka kidogo tu ndo mwisho wa "Political career " yako
Bi Mkuya sidhani kama angeweza siasa za kashkash za kugombea. Sikumsikia hata kwenye kugombania viti maalum, achilia mbali kwenye majimbo.
 
Enzi hizo pesa yetu ilikuwa bado ktk ubora wake.. Acha iitwe pesa madafu
 
Prof. Malima bila shaka ''alisukumwa/alikuwa forced'' kuandika barua ya kujiuzuru maana by then vita ya uRais ilikuwa imeshika kasi. Huwezi tu kukurupuka kuachia ngazi kwa tuhuma tu, ambazo tena unadai una majibu yake murua kabisa. May his soul RIP.
 
Jk ni Mwiba mbaya sana kwny Siasa za Fitna!

Kuna Kigogo mmoja aliwahi kuniambia Jk alikuwa 'Nyoka' I. a Usalama wa Taifa Tangu akiwa Shuleni!

Chuoni alikuwa Makamu wa Rais wa Serikal ya Wanafunzi kuwa scan wenzie

Baada ya ASP na TANU kuungana wanasema alipelekwa Znz kuwa study wanaopinga Muungano Pamoja na Muunganiko wa ASP na TANU kwa kuwa kuna waliopinga Kuua Chama chao cha Afro shiraz( ilisemwa anaenda ku Harmonise TANU na ASP)

Alipoingia Jeshini akafanywa Mwalimu wa Siasa Jeshini japo hakuwa amesomea Siasa wala hakuwa Gwiji wa Masuala ya Kijeshi

Na Kwny Siasa alitumia weledi WA Jeshi, Michezo, Umjini, ujanja binafsi na ukwere kufanikisha Siasa zake


Mimi hapo ndio ninapomkubali JK.... sidhani kama Tz tunaweza kupata strategist(Master strategist )mwingine kama JK. Huyu jamaa alikua mjanja mno na ana mbinu nyingi sana mpaka muda mwingine unawaza kama kweli huwa anafikiria peke yake au ana jopo??

Wakati wa JK alikumbwa na skendo kibao ambazo zingeweza kumuangusha ila alikua anazipunch zote. Na pia kitu kingine nilichojifunza always alikua na plan A,B,C mpaka F nadhani. Ukifuatilia mkanganyiko wa Sitta,Lowasa yeye alikuwamo.....ila akawawachezesha ngoma wao. Ukija ishu ya Meghji na Rostam akapanchi

Kipindi fulani walimu walifura wakataka kuandamana wakati wa Sulivan Sumit or WEF(mpaka barabara ya mliman city ikawekwa minazi mipya mikubwa)
Aliipunch hii ishu bila kutegemea.... he was so good katika siasa.

Kubwa kuliko ni jinsi alivyojitahidi kuwafanya watu wamkumbuke yeye kwa kufanya figisu za kuleta oposite wake kabisa(sina uhakika na hili ila najua atakua anafurahi sana kwa hii kasi tunayopewa sasa)

Huyu jamaa namuheshimu mno. Kudos mzee wa mjini JK. Kilimo chema Msoga
 
Back
Top Bottom