Slaa aliwaambia ajisafishe si zugazuga ...wakabaki wanarukaruka ....nipeni list ya hao wabunge anaokuja nao ili tujue ni Asset au Liability....wakarukaruka ...... walivyoona ngoma nzito wanaeneza propaganda eti Josephine ndio kamkataza .....CDM yenye damu za watu imeuzwa kirahisi rahisi tu ...
Ina maana Gwajima alishatinga hadi chumbani kwa Josephine? Kagenzi alikuwa wapi?
Kama kweli unampenda mbona unashindwa kumwambia ajiombee kwanza kwa mungu apate kufunga ndoa maana mungu anachukizwa na uchafu anaoendelea kuufanya?
Khaa!! Lakini bado hili halisafishi UFISADI WA LOWASSA ambayo ndiyo hoja kuu ya Dr Slaa :glasses-nerdy:Josephine mke mke wa mtu,Slaa mme wa mtu.Hakuna utukufu wowote hapo.
AmenBinti mleta hoja..huyo Yesu umsemae akuumbie moyo safi wakujifunza kujenga hoja..pole sana kwa kukaukiwa
Khaa!! Lakini bado hili halisafishi UFISADI WA LOWASSA ambayo ndiyo hoja kuu ya Dr Slaa :glasses-nerdy:
Josephine kwani ni mke wa Nani?
Hivi unaelewa ulichoandika lakini?Soma vizuri nilichoaandika. Tumuombe Mungu AFUNUE MARINDA. ...
...
...
All TRUTH hajatudhalilisha,
ametoa fundisho mke wa slaa hata chumbani hasafishi,
ndipo Ngwajima akaamua kumtuma mama Mushi akamsaidie
Josephine kazi za ndani, aibu gani hii?
Watu wanatamba na mikorogo kumbe kitanda anatandikiwa
na mwanamke mwenzie.
Mchumba wa Slaa
AZIMA BIBLE JIRANI USOME MAANA YA KUFUNUA MARINDA.
Uchumba wa kudumu?
Kama hakuwasalisha sala ya toba, watafute wewe ufanye kazi hiyo..wala mtu mwenye Roho wa kweli wa Mungu hawezi kufanya mabishano haya unayofanya wewe...Soma vizuri nilichoaandika. Tumuombe Mungu AFUNUE MARINDA. Tuache kuhukumiana na kumdhalilisha Josephine wakati hao wadhalilishaji nao wanatuhumiwa kwa uchafu???.
Bwana Yesu hakuja kumdhalilisha mtu bali alikuja ili wote waifikie toba.
Mch. Gwajima amesema kila wakati alikuwa akienda kwa Dr. Slaa. Sijaona mahali amesema alienda kuwaongoza sala ya toba. Hata alipoingia kwenye kikao cha UKAWA. Sijaona mahali ameongoza watu sala ya toba.
Je alimshawishi Mhe. Mbowe aibadili Bilcannas iwe kanisa?? Mbona sielewi utumishi alioufanya Kama Mchungaji???
Mimi na wewe tuombe ila majibu yanatoka kwa BWANA.
Queen Esther
Aliye msafi na awe wa kwanza kumrushia jiwe Josephine.
Suala la uzinzi kwenye ndoa za watu wengi ni bayana. Ni wanawake wangapi wamezaa watoto nje ya waume zao?? Refer ripoti ya DNA Test ya mkemia mkuu wa Serikali. Je ni wanaume wangapi wamezaa nje ya ndoa na wengine hata wake zao hawajui???
Kwanini ngoma inapigwa upande mmoja.
Pia sitaki kujadili personal life ya Dr. Slaa; issue hapa ni SPIRITUAL MANIPULATION" za huyu anayejiita mtumishi wa Mungu.
Queen Esther
Biblia inasema uzinzi usitajwe kati yenu.
Je uzinzi aliotuhumiwa nao Gwajima hujauona?
Mbasha ameomba mtoto akapimwe DNA Test. Mbona Flora amekataa???
Hiyo nakala ya cheti cha ndoa weka hapa kila mtu akione.
Queen Esther
mwita ke mwita
Hata shetani analijua neno, tena kwa kutetemeka. Pia alimjaribu Yesu kwa neno!!!
Hoja hapa ni SPIRITUAL MANIPULATION'
Queen Esther