Barua kwako dada Josephine Mushumbusi

Barua kwako dada Josephine Mushumbusi

Ww umejaje kama ana2control through Hayo manguvu ya giza ? Na ww ndyo walewale.
 
All TRUTH hajatudhalilisha,
ametoa fundisho mke wa slaa hata chumbani hasafishi,
ndipo Ngwajima akaamua kumtuma mama Mushi akamsaidie
Josephine kazi za ndani, aibu gani hii?

Watu wanatamba na mikorogo kumbe kitanda anatandikiwa
na mwanamke mwenzie.
 
Hii barua ni kwa gwajima au kwa Rose! Unahalalisha mangapi ambayo yapo kinyume na maandiko kwa kumsupport rose! yes Gwajima anaweza kuwa na spiritual manipulation but he makes sense on what he speaks! Tangu lini gwajima ameongoza nchi hii au ameamrisha kitu serikali ikatekeleza mpaka unasema anacontrol taifa!

Kila kitu na majira yake, kuna wakati wa kulia na wa kufurahi, kulikuwa na wakati wa ccm its time for it to go!
 
Ndiyo vizuri, na nyie wanaume mmkome;
unamwacha mke na watoto unaenda kuparamia miamba;

Ngoja huo msaada wa baba yao wa kambo ccm uishe ndipo
hapo watakapotii akili.

Mwenye akili ajifunze hapo;
Mamndenyi katika utetezi wa jinsia
 
Last edited by a moderator:
Ni vema, ila toba ya kweli inataka turudishe vyote tulivyoiba kwa wenyewe. Naye amrudishe mume wa mtu kwa mkewe kwanza na kumrudia mume wake halali ndipo aanze hayo maombi na toba.
 
Sasa hivi Dr Slaa na Ccm ni mabesti. Kwa vile anawaunga mkono. Na hana nguvu tena za kuwasema vibaya.
 
Busara ya mushumbusi ingekuwa ni kumkanya bwanaake slaa kutomuongelea Gwajima kwakuwa ni kiongozi wake aliyemuamini ataweza kumlea kiroho,sasa ameruhusu slaa amshambulie kwa hiyo Gwajima anatoa ufafanuzi wahali ilivyokuwa
 
Kuomba bila kulijua Neno ni bure.Wivu na kukaa na hasira kifuani ni dhambi na pepo hawezi kumtoka mtu mwenye roho

ya wivu na hasira... ataomba sana na ataombewa sana mapepo ya tatulia tu lakini hayawezi kumtoka..

Msaidieni kumfundisha aijue kweli
 
Ni bora Josephine anaye mcontrol mumewe kuliko Gwajima anayelicontrol Taifa na hayo Ma spiritual manipulation.

Queen Esther

hivi huelewi kuwa slaa angepata urais hata baraza la mawaziri angepangiwa na mkewe? rais gani ambaye siku nyingine anaweza kukatazwa asiende ofisini?au hujajua kuwa angekuwa rais pangekuwa na mgogoro wa nani ndiye first lady halali? hujui josephine ni mchepuko?
 
Nani anaweza kumwombea msaliti ila nakwambia malipo ya usaliti ni hapa hapa duniani
 
Ushauri wa kwanza kwa Josephine siyo kutolewa mapepo Bali ni kwa yeye kutubu dhambi zake zote na kuamua kuziacha na amkaribishe Yesu katika maisha take kama Bwana na mwokozi wake!
Akilifanya hilo kwa dhati mapepo lazima yaondoke na ni rahisi kufanyiwa HUDUMA hiyo.
Halafu aache kuingilia ndoa ya Rose Kamili. Bila toba ya kweli mapepo hayatoki!!! Chakula cha mapepo ni dhambi!!!
 
nimesoma vizuri sana maoni yako DADA lakini ninachokiona ni kwamba Dr. Slaa licha ya kuwa mcha Mungu lakini amezidiwa sana nguvu na mkewe.
kuhusu Gwajima ni halali kusema vile kwa kuwa alikuwa akijibu kuhusu yeye alipoitwa na Dr. Slaa kuwa ni mshenga. swali sasa dada yangu wa hiari ulitaka aache kujibu? kwani kujibu tuhuma kwa kiongozi wa Dini ndiyo unakuwa unafanya spiritual manipulatino? siasa zinatuathiri kama kwamba yunashindwa kuwa focused kwenye hoja madhubuti bila kuwa biased!
 
Weye Queen wa "Baharini" Esther; tafuta maombezi uyatoe mapepo uliyonayo ndio upate upako Wa kuhimili vishindo vya Gwajima, vinginevyo "Utapepesuliwa" bila kujitambua!
 
Ni bora Josephine anaye mcontrol mumewe kuliko Gwajima anayelicontrol Taifa na hayo Ma spiritual manipulation.

Queen Esther

Acha kuchanganya mambo mawili hapa. Kuna mke na hawara. Sawa?
Hivi huyo boyfriend wako anaweza kuja kwenu kwa baba yako kudai amenyimwa unyumba? Nijibu halafu tuendelee
 
Yaan unataka tumjadili kimada?. Atafanyaje maombi na yeye mzinifu? Ndoa kwanza mengine baadae
 
Queen Esther ninakufahamu. Nilidhani wewe ni mama mtu mzima sana na kwa mwonekano wako niliona kama una Neno kumbe huna.

Huwezi kushabikia suala la kisiasa na ushabiki wako wa ccm ukaufanya imani ya kiroho . huu ni wendawazimu.

Unapaswa kutubu kwa kufanya kazi za manabii wa baali waliomfariji ahabu katika upotevu kwamba aende vitani atashinda.

Huwezi kujustify tabia za Mshumbusi kwa kila andiko labda la shetani.

1. Ni wapi Biblia imeandika "mwanamke amtawale mmewe"? Utakuwa unainadika wewe.


2. Ni wapi katika mafundisho ya ndoa ya Biblia, mwanamke yeyote mwenye hekima anayestahili faraja ambaye alimtupia mabeg mme wake kwa sababu tu mwanamme hajatii mke?


3. Nionyeshe andiko lisemalo "ENYI WAUME WATIINI WAKE ZENU", ili usimame na Josephine kwa kumtupia mabegi mmewe na kumfukuza eti kwa sababu Slaa amechelewa kumtii.


4. Ni andiko gani linalosema wanawake wawe na tamaa za madaraka na utajiri kiasi cha kuwalazimisha waume zao kutii nia zao?

Maneno haya hayajasemwa na UKaWA. Yamethibitishwa kwa vinywa vya mashahidi zaidi ya watatu. Wewe unaandiko gani la kubatilisha masuala yaliyo nje?

Nimekudharau wewe mama na hutaniona karibu nawe tena. Hata wajukuu zangu, hawatakuja kwako kwa suala lolote la kiroho kwa sababu huna Mungu na humjui Mungu wewe.


Endelea na udanganyifu wako. You are so myopic hata kuchambua ukweli huwezi. Kila kitu kwako ni mungu wako ccm. Pole mama.
 
mwita ke mwita

Hata shetani analijua neno, tena kwa kutetemeka. Pia alimjaribu Yesu kwa neno!!!

Hoja hapa ni SPIRITUAL MANIPULATION'

Queen Esther


Wakati wewe hoja ni spiritual manipulation sisi hoja ni Tanzania mpya kupitia Lowasa. Tunaangalia maslahi kwa upande wetu yako wapi, sio Gwajima wala Mushumbuzi.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom