... Tunahitaji Mchungaji wa kutupeleka kwa Bwana Yesu Kristo ...
Slaa hawezi kuwa na amani kamwe kwa dhambi ya kuvunja sacrament za kanisa:Slaa amrudie rose kamili..mke wa ujana wake
Ila kwa mtazamo wangu askofu gwajima kawadhalilisha wanawake kama vile wao hawana maamuzi ndani ya familia.
hivi huelewi kuwa slaa angepata urais hata baraza la mawaziri angepangiwa na mkewe? rais gani ambaye siku nyingine anaweza kukatazwa asiende ofisini?au hujajua kuwa angekuwa rais pangekuwa na mgogoro wa nani ndiye first lady halali? hujui josephine ni mchepuko?
Mushumbusi alishafunga ndoa, sasa ushauri wa kufunga ndoa ipi? Mara ya pili? Labda abadili dini, huo ndo ushauri utakaomsaidia afunge ndoa tena.Ifike mahala kama wachamungu tupinge kwa nguvu zote wanaume au wanawake kuishi na wanaume bila ndoa,leo hii unamshauri mushumbuzi kwa upeo wako lakin unasahau kuwa Penye dhambi mapepo ndyo makazi,
Mushumbuzi lazma afuatwe na pepo wachafu Hasa wa kibur na kisilan kwa kuwa hana ndoa, Siku nyingine njoo na makala ya kumshauri afunge ndoa
mwita ke mwita
Hata shetani analijua neno, tena kwa kutetemeka. Pia alimjaribu Yesu kwa neno!!!
Hoja hapa ni SPIRITUAL MANIPULATION'
Queen Esther
Biblia inasema uzinzi usitajwe kati yenu.Wewe umeandika waraka kwa Josephine, cheti cha Rose hakihusiki hapa. Omba nakala ya cheti cha ndoa cha Josephine upewe fasta. Halafu hayo maombi yako kwa sasa hayawezekani maana mapepo yanayomsumbua ni ya uzinzi. Ili mapepo yatoke aachane na huyo mchumba akae peke yake au arudi kwa Mahimbo
loh! Hii nilikuwa sijaisikia. Nimeshai save. Lowassa alienda?
Tatizo lako ni pale ulipojua jambo moja spiritual manipulation unadhani kila kitu ni spiritual manipulation, Je, Gwajima alikuwa anam manipulate nani. Kama ni mapepo aliyakemea, na ndivyo inavyotakiwa. Yeye ameelezea matukio yaliyotokea. Ungemwambia atubu na kuacha kukaa na mume wa mtu.
Unauhakika na maeneno yako Juu ya GwajimaNi bora Josephine anaye mcontrol mumewe kuliko Gwajima anayelicontrol Taifa na hayo Ma spiritual manipulation.
Queen Esther
Unauhakika na maeneno yako Juu ya Gwajima
Mamdenyi umemaliza! Badala ya kumwonea huruma mwanaume mwenzetu we unakandamiza. Haya bibie acha tukome!Ndiyo vizuri, na nyie wanaume mmkome;
unamwacha mke na watoto unaenda kuparamia miamba;
Ngoja huo msaada wa baba yao wa kambo ccm uishe ndipo
hapo watakapotii akili.
Mwenye akili ajifunze hapo;
badala umshauri akaombewe atolewe mapepo ya kwao unasema gwajima ndo anatumia nguvu za giza kama yeye josephne ana nguvu za nuru yaan yesu iweje nguvu za giza za gwajima ndo zimuangushea acha upagani ata wewe uanaitaji kuzaliwa sec.time
Ina maana Gwajima alishatinga hadi chumbani kwa Josephine? Kagenzi alikuwa wapi?All TRUTH hajatudhalilisha,
ametoa fundisho mke wa slaa hata chumbani hasafishi,
ndipo Ngwajima akaamua kumtuma mama Mushi akamsaidie
Josephine kazi za ndani, aibu gani hii?
Watu wanatamba na mikorogo kumbe kitanda anatandikiwa
na mwanamke mwenzie.